Nchi ya Israel ina sera gani kuhusu mtu mweusi kiujumla?

Nchi ya Israel ina sera gani kuhusu mtu mweusi kiujumla?

As far as i know Israel au Wayahudi ndio taifa ambalo raia wake wapo wa kila rangi, kuna weusi, kuna colored, kuna wazungu na Waarabu, kuna wale wanaitwa Mafaharasha hao ndio black Jews na most of them wanatokea Ethiopia, sasa kama wanabaguliwa au laa hilo sina hakika nalo. Kuhusu huo utofauti wao wa rangi ndio hasa unawasaidia sana kwenye masuala ya ushushushu, wapo Saudia, wapo Iran, wapo Iraq, wapo hadi huko Al Qaida na kwingine kote, yasemekana hata lile shambulio la September 11, 2001 pale world trade centre kulikua na Wayahudi wengi tu waliokua wakifanya kazi kwenye lile jengo but cha kushangaza ni kwamba, hakuna Myahudi hata mmoja aliyekwenda kazini that day, why? Is because some of the Jews wana ngozi za Kiarabu na walikua ni member wa kikundi cha kigaidi cha Osama bin Laden with a special mission, haoa ndio walilikisha information to Mosaid na Mosaid nao wakawapa taarifa Wayahudi wenzao wa New York.
Hayo ni baadhi ya ninayo yajua kuwahusu Jews na mambo yao
Hao Black Hebrew Israelites, ndio waliopelekea Waziri mkuu kutoa hiyo kauli baada ya ku claim kua wao ni Wayahudi tena asilia na wakataka waishi Israel kama raia na kupata haki zote za msingi, walikataliwa hivyo wakawa wanaishi kama wakimbizi huku wanapokea msaada kutoka Marekani,

Kuna siku yalitokea machafuko ambapo Wayahudi waliwavamia kwenye kambi zao na kuwapiga ikapeleka vifo vya watu zaidi ya mia moja,

Mataifa mengine yalipohoji jibu lilitoka ni hilo, hao watu HAWATAKIWI na wakiachwa watasambaa kama Kansa, kumbuka Waafrica tuna ndoa za mke zaidi ya Mmoja na pia hatuna Uzazi wa mpango na hiyo ipo kwenye sheria zao hao Black Hebrew,
Serikali ya Israel ikaona mbali sana.......

"Israeli law offers citizenship for all Jews throughout the world, but the Black Hebrew Israelites could produce no evidence to substantiate their Jewish heritage. After much investigation, the Chief Rabbinate of Israel thus decided that the Black Hebrew Israelites were not really Jewish and were not entitled to citizenship."
 
Hao Black Hebrew Israelites, ndio waliopelekea Waziri mkuu kutoa hiyo kauli baada ya ku claim kua wao ni Wayahudi tena asilia na wakataka waishi Israel kama raia na kupata haki zote za msingi, walikataliwa hivyo wakawa wanaishi kama wakimbizi huku wanapokea msaada kutoka Marekani,

Kuna siku yalitokea machafuko ambapo Wayahudi waliwavamia kwenye kambi zao na kuwapiga ikapeleka vifo vya watu zaidi ya mia moja,

Mataifa mengine yalipohoji jibu lilitoka ni hilo, hao watu HAWATAKIWI na wakiachwa watasambaa kama Kansa, kumbuka Waafrica tuna ndoa za mke zaidi ya Mmoja na pia hatuna Uzazi wa mpango na hiyo ipo kwenye sheria zao hao Black Hebrew,
Serikali ya Israel ikaona mbali sana.......

"Israeli law offers citizenship for all Jews throughout the world, but the Black Hebrew Israelites could produce no evidence to substantiate their Jewish heritage. After much investigation, the Chief Rabbinate of Israel thus decided that the Black Hebrew Israelites were not really Jewish and were not entitled to citizenship."
Source ya taarifa yako ni ipi??

Unakumbuka operation Solomon waliwahamisha hawa Waethiopia (black JEWS) wanini kama hawakuwahitaji??
Screenshot_20210616-110731_Google.jpg
Screenshot_20210616-110835_Chrome.jpg
 
Nikuambie ukweli mchungu, ngozi nyeusi toka Africa ina laana ya asili. Wanapenda umbea, kusengenya, ngono, na roho mbaya ya uchawi. Utasikia rais fukuza huyu, fukuza yule wanachotaka ni kuona mwingine anaingia kwenye shida kama za kwake. Africa countries are shitholes.
Wewe na waliokuzaa ndio mna laana
 
Hivi kwanini linapokuja swala la nchi ya Israel watu hurukwa na akili nakuleta mihemuko ya ajabu? Mkuu kauliza swali huenda kapata kibarua au kaalikwa kwanini usimjibu km ushawahi kuishi au km hujawahi ishi kwanini usinyamaze. Israel imekuwa km Mungu haihojiwi na ukiihoji utajibiwa majibu ya hovyo from no where!
 
Kama watakua wapo watakua wanakosea, japo sijashuhudia matukio hayo. Unajua mkuu serikali kama ya huko omani iko very careful na hazina upendeleo wala ubaguzi kwa jamii yoyote, Akigundulika mtu amefanya uovu wowote anachukuliwa hatua haijalishi mzawa, mhindi, mwafrika, mzungu n.k. ni haki sawa kwa wote!

Ukilinganisha na hapa kwetu mtu mweupe anabambikiwa kesi za uongo atasumbuliwa/nyanyasika weee mbali na hayo atakamuliwa hela na kutaifishiwa mali zake, nyumba n.k wakati amefanya kwa hela zake mwenyewe. Ebu niambie baraka/maendeleo yatapatikana wapi kwa style hii mkuu, nyumba za msajili inasemekana ni za wahindi walijenga kwa hela zao serikali za Nyerere na Magufuli wakawanyang'anya na kuzipangisha kwa hela ndogo na zimechoka kshenzi na wameshindwa kuzikarabati. (Dhulma mbaya sana mkuu, na haimuachi mtu salama) ndio haya sasa serikali imeshindwa kuziendeleza NHC. Mama samia tunamuombea Mungu amuongoze na amjaarie afya njema, na amjaarie atende haki sawa kwa wote bila kujali dini, kabila na utaifa. Aamiin.
Ulibisha mambo haya ya waarabu nlipokuambia

Yaone hapa[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]View attachment 1851470
Screenshot_20210713-123600_Facebook.jpg
 
Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?

Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu mweusi?
Mie nimefika Chuo chao maarufu pale Galilea GIMI kiko Mji Nazareth.
Nilikaa mwezi mzima pale ila nilitembelea sehemu mbalimbali za Israel.
Sikuona ubaguzi wowote, nakumbuka tulikuwa tukitumia canteen moja na wenyeji pale Chuoni.
Ni wakarimu , wanajali na hupenda sana kujifunza toka kwa wageni.
 
Ulibisha mambo haya ya waarabu nlipokuambia

Yaone hapa[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]View attachment 1851470View attachment 1851471
Binadamu sio wote tunapendana, huyo SADA PODA anaesema alikua anatamani kwenda lakini akaambiwa asijaribu ataenda kunyanyasika tu huko haswa kingono akaona asikilize ya walimwengu.. huyo aliemwambia maneno haya kwanza alitakiwa ampime kabla ya kuchukua maamuzi ya kutokwenda uarabuni, huenda hakumtakia mwenzie afanikishe kama ambavyo yeye amefanikisha.


Huyo GIDE MCHAFU, hajui kuwa wako waarabu na wahindi waliozaliwa na kukulia huku! Tena waarabu kama sio asilimia 100 basi 95 wamezaliwa huku na kukulia huku, hawa huwezi sema sio wazawa. Eti wanakalia nyumba za msajili, hajui kuwa hizo nyumba za msajili walijenga wao wenyewe wahindi nyerere akaja kutaifisha! Hii ni dhulma kubwa mno wamefanyiwa wageni.


Huyo salha suleyman amewaona wasichana wengi sana wakiteswa huko, huo kama sio unafiki ni nini! Je, tutajuaje ayasemayo kama nikweli!

Tatizo lenu mnapenda kuzungumzia ya waarabu tu, tena bila ushahidi wowote, lakini ya huku mnajitoa ufahamu kana kwamba hayatokeagi. Haya bana


Leo mke kamuuwa mumewe kwa kumchoma moto hadi kufa kisa wivu wa mapenzi. Huu sio ukatili ila kwa waarabu ni ukatili 🤣🤣🤣🤣
 
Magufuli alivyokuwa akiwabagua wapinzani hamuoni hadi akatabiri kufika mwaka 2020 hawatakuwepo lakini yeye ndiye hayupo. Ubaguzi upo pote tu na hauna kwao kama alivyowahi kusema Mwl. Nyerere.
Ila wanao kutuma wakulipe vizuri.

Mtu Amepumzika kwa baba ake wa milele

We umekazana tuu Magufuli magufuli.

Watu kama ninyi sijui....?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Sera ya mtu mweusi ipoje mkuu
Nimejiuliza sana maana yake nini, nimeshindwq pata majibu. Maana kuwa na sera juu ya Rangi fulani, hiyo ni Racism. Na haiwezekani serikali iwe na sera, explicitly, ya namna hiyo, hata kama kimatendo wako na ubaguzi.
 
Ningependa kufahamu taifa la Israel lina sera gani kuhusu mtu mweusi?

Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?

Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu mweusi?

Nawasilisha
kwa taarifa yako walishakuja Ethiopia mara n yingi sana kubeba watu weusi na kwenda kuwafanya raia wa israel. wapo hadi jeshini. nchi gani nyingine duniali iliwahi kuja africa na ndege kubeba waafrica kwenda kuwapa uraia nchini kwao?
 
Back
Top Bottom