Nchi ya Israel ina sera gani kuhusu mtu mweusi kiujumla?

Nchi ya Israel ina sera gani kuhusu mtu mweusi kiujumla?

Mwarabu asili ni mtu mweusi,ukimuona muarabu mweupe ni mchanganyiko toka mababu na mabibi,walioana na wazungu weupe.Wapo waliobakia weusi,ndio waarabu wasili,lakini watu kwakupenda weupe,wale wa asili(weusi),ndio wanaonekana ni machotara,wakati ni waarabu wasiochanganyika(machotara).

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Huyu ndio wale viumbe wanafiki waliovaa ngozi ya kondoo wakati ndani ni mbwa mwitu, anaacha kukemea madhalimu wanayofanyiwa Dada zetu hapo hapo bongo, anaanza kubwabwaja na ya uarabuni. Wakati bongo tu hapo Kuna ukatili wa kutosha.

Huyu jamaa hata kwa watoto wake watakua na kazi ya ziada sana, kama alivyokaririshwa wakati mdogo, basi na wanae atawakaririsha na kuwajaza chuki vivyo hivyo. Namuonea huruma sana
Huyo houseboy anahusikaje na Ubaguzi wa rangi?? Mbona articles zipo nyingi na mavideo YouTube? Kuhusu waarabu hasa wa OMAN

Ndio maana unakimbilia videos bila kujua ukweli ! Huku matukio yanaonekana wazi hata wewe unalijua hilo lakini umetuliaa kama hujui kinachoendelea.


Leo kuna ukatili umefanyika huko usukumani katika kijiji flani wilaya ya kishapu, mume kamchoma mkewe kisu na kisha kujiripua na maguta ya petroli wakiwa wote baba mama na mtoto na kupelekea kufa, huku mama na mwanae wakionekana wamekumbatiana baada ya kuungua. Baba ana 30 na mama ambae ni mke wake ana 25. Ebu pata picha tukio hili lingetokea uarabuni japo haliwezi kutokea. Je, utajisikiaje?


Acha chuki!

Acha chuki mzee
 
Huyu jamaa hata kwa watoto wake watakua na kazi ya ziada sana, kama alivyokaririshwa wakati mdogo, basi na wanae atawakaririsha na kuwajaza chuki vivyo hivyo. Namuonea huruma sana


Ndio maana unakimbilia videos bila kujua ukweli ! Huku matukio yanaonekana wazi hata wewe unalijua hilo lakini umetuliaa kama hujui kinachoendelea.


Leo kuna ukatili umefanyika huko usukumani katika kijiji flani wilaya ya kishapu, mume kamchoma mkewe kisu na kisha kujiripua na maguta ya petroli wakiwa wote baba mama na mtoto na kupelekea kufa, huku mama na mwanae wakionekana wamekumbatiana baada ya kuungua. Baba ana 30 na mama ambae ni mke wake ana 25. Ebu pata picha tukio hili lingetokea uarabuni japo haliwezi kutokea. Je, utajisikiaje?


Acha chuki!

Acha chuki mzee
Mkuu brutality ipo kila sehemu hata ngazi za familia mtu na wanawe au mkewe hapa tunazungumzia UBAGUZI, shida unayoipata unataka kuleta UDINI.

Separate the two uone Waarabu wanavowatumikisha waswahili
 
Mkuu brutality ipo kila sehemu hata ngazi za familia mtu na wanawe au mkewe hapa tunazungumzia UBAGUZI, shida unayoipata unataka kuleta UDINI.

Separate the two uone Waarabu wanavowatumikisha waswahili
Huyo muarabu ni mtu mweusi,hata wazungu(white),wanamuhesabu muarabu ni mtu mweusi sio mweupe(white).

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
We ni mpuuzi waTZ wangapi wadada wanyanyaswa OMAN wengine wanasimulia hawatakaa waruddi huko.

TBC walishawahi kufanya mahojiano na wadada wanaonyanyaswa kingono Oman.

Hata yule msimuliaji.wa THE STORY BOOK wasap alishawahi kusimulia unyama wanaofanyiwa watu.weusi Arabuni kwa ujumla.
Pumbavu zako, hayo ya uarabuni mbona mbali sana huko, wakati hapa Tz hao dada zako yanawapata mkubwa kuliko hayo.
 
Separate the two uone Waarabu wanavowatumikisha waswahili


Huu ujinga wa kujiona na kujihisi unabaguliwa sijui utaisha lini! Hapa bongo mabinti wanapigishwa kazi na mishahara midogo lakini itaonekana kitu cha kawaida, lakini ikitokea kwa mwarabu afanyishwe hivyo itaonekana unyanyasaji.. mfano! Wewe hapo akuite mkuu bhachu wewe ni kima/sokwe si utakuchukulia poa na wala hutamind! lakini white akuite hilo neno utalichukuliaje!


Kwanza kabisa housegirl wa kibongo wengi wao ni mzigo tu, wavivu sana na muda mwingi wako kwenye simu wakichati na mashoga zao na wengine wanachati na mijanaume huku wanaacha kilichowapeleka huko, je,huo mshahara anaopewa utakua wa halali!!! Anapewa laki 4 hadi laki tisa na kidogo kwa mwezi alafu anakuharibia kazi nawe umwangalie tu!!! Bosi anapigika huko jangwani ili tu apate kuishi na familia yaje na kumpatia mshahara housegirl wake, alafu binti lenyewe halibebeki!!! Hata kama ni mimi mzee siwezi kuvumilia huo mzigo wa kuchati chati na kulalalala, lazima nimtimue tu. . Ndio maana unakuta wengine wanashindwa kuwaajiri hawa madada wa kibongo, uganda, kenya, rwanda, ethiopian n.k, na hupelekea kuwaajiri wahindi, nepal, bangladeshi, indonesia na wafilipini.
 
Pumbavu zako, hayo ya uarabuni mbona mbali sana huko, wakati hapa Tz hao dada zako yanawapata mkubwa kuliko hayo.
Kuna tofauti ya unayoyasema na UBAGUZI

Yaani hata laymen anaelewa.

Kuna watu wananyanyaswa na wazazi au watoto wao. This is not a focal point of discussion.

Mada iliyoletwa inalenda "Sera za Israel juu ya mtu mweusi"

Kama akili yako ipo sawa umeelewa ila kama ni dwarf endelea kubishana
 
Huu ujinga wa kujiona na kujihisi unabaguliwa sijui utaisha lini! Hapa bongo mabinti wanapigishwa kazi na mishahara midogo lakini itaonekana kitu cha kawaida, lakini ikitokea kwa mwarabu afanyishwe hivyo itaonekana unyanyasaji.. mfano! Wewe hapo akuite mkuu bhachu wewe ni kima/sokwe si utakuchukulia poa na wala hutamind! lakini white akuite hilo neno utalichukuliaje!


Kwanza kabisa housegirl wa kibongo wengi wao ni mzigo tu, wavivu sana na muda mwingi wako kwenye simu wakichati na mashoga zao na wengine wanachati na mijanaume huku wanaacha kilichowapeleka huko, je,huo mshahara anaopewa utakua wa halali!!! Anapewa laki 4 hadi laki tisa na kidogo kwa mwezi alafu anakuharibia kazi nawe umwangalie tu!!! Bosi anapigika huko jangwani ili tu apate kuishi na familia yaje na kumpatia mshahara housegirl wake, alafu binti lenyewe halibebeki!!! Hata kama ni mimi mzee siwezi kuvumilia huo mzigo wa kuchati chati na kulalalala, lazima nimtimue tu. . Ndio maana unakuta wengine wanashindwa kuwaajiri hawa madada wa kibongo, uganda, kenya, rwanda, ethiopian n.k, na hupelekea kuwaajiri wahindi, nepal, bangladeshi, indonesia na wafilipini.
Akiwa mvivu una option ya kutomlipa mshahara au kumuachisha kazi. Wao wakiwaajiri wanawapora Passports zao na kuwafanya watumwa sometimes hata wakingono though sio saaana Arabuni kama ilivyo Ulaya and USA
 
Akiwa mvivu una option ya kutomlipa mshahara au kumuachisha kazi. Wao wakiwaajiri wanawapora Passports zao na kuwafanya watumwa sometimes hata wakingono though sio saaana Arabuni kama ilivyo Ulaya and USA

Kama watakua wapo watakua wanakosea, japo sijashuhudia matukio hayo. Unajua mkuu serikali kama ya huko omani iko very careful na hazina upendeleo wala ubaguzi kwa jamii yoyote, Akigundulika mtu amefanya uovu wowote anachukuliwa hatua haijalishi mzawa, mhindi, mwafrika, mzungu n.k. ni haki sawa kwa wote!

Ukilinganisha na hapa kwetu mtu mweupe anabambikiwa kesi za uongo atasumbuliwa/nyanyasika weee mbali na hayo atakamuliwa hela na kutaifishiwa mali zake, nyumba n.k wakati amefanya kwa hela zake mwenyewe. Ebu niambie baraka/maendeleo yatapatikana wapi kwa style hii mkuu, nyumba za msajili inasemekana ni za wahindi walijenga kwa hela zao serikali za Nyerere na Magufuli wakawanyang'anya na kuzipangisha kwa hela ndogo na zimechoka kshenzi na wameshindwa kuzikarabati. (Dhulma mbaya sana mkuu, na haimuachi mtu salama) ndio haya sasa serikali imeshindwa kuziendeleza NHC. Mama samia tunamuombea Mungu amuongoze na amjaarie afya njema, na amjaarie atende haki sawa kwa wote bila kujali dini, kabila na utaifa. Aamiin.
 
Kama watakua wapo watakua wanakosea, japo sijashuhudia matukio hayo. Unajua mkuu serikali kama ya huko omani iko very careful na hazina upendeleo wala ubaguzi kwa jamii yoyote, Akigundulika mtu amefanya uovu wowote anachukuliwa hatua haijalishi mzawa, mhindi, mwafrika, mzungu n.k. ni haki sawa kwa wote!

Ukilinganisha na hapa kwetu mtu mweupe anabambikiwa kesi za uongo atasumbuliwa/nyanyasika weee mbali na hayo atakamuliwa hela na kutaifishiwa mali zake, nyumba n.k wakati amefanya kwa hela zake mwenyewe. Ebu niambie baraka/maendeleo yatapatikana wapi kwa style hii mkuu, nyumba za msajili inasemekana ni za wahindi walijenga kwa hela zao serikali za Nyerere na Magufuli wakawanyang'anya na kuzipangisha kwa hela ndogo na zimechoka kshenzi na wameshindwa kuzikarabati. (Dhulma mbaya sana mkuu, na haimuachi mtu salama) ndio haya sasa serikali imeshindwa kuziendeleza NHC. Mama samia tunamuombea Mungu amuongoze na amjaarie afya njema, na amjaarie atende haki sawa kwa wote bila kujali dini, kabila na utaifa. Aamiin.
Mkuu haya tuwaachie wenyewe
 
Nchi zote ambazo sio za Waafrika hazina sera yoyote kuhusu mtu mweusi zaidi ya kumtumia kimajaribio
 
Nikuambie ukweli mchungu, ngozi nyeusi toka Africa ina laana ya asili. Wanapenda umbea, kusengenya, ngono, na roho mbaya ya uchawi. Utasikia rais fukuza huyu, fukuza yule wanachotaka ni kuona mwingine anaingia kwenye shida kama za kwake. Africa countries are shitholes.
Umechanganyikiwa na wewe ndio unalaana
 
Ningependa kufahamu taifa la Israel lina sera gani kuhusu mtu mweusi?

Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?

Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu mweusi?

Nawasilisha
Huko ni mbali, ungeanza kuuliza Tanzania ina sera gani kuhusu wazungu

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Waziri Mkuu wao aliwahi kusema "Ngozi nyeusi ni kama Kansa, ikiingia inatakiwa kukatwa haraka sana kabla haijasambaa"

Tafakari, Chukua hatua.
As far as i know Israel au Wayahudi ndio taifa ambalo raia wake wapo wa kila rangi, kuna weusi, kuna colored, kuna wazungu na Waarabu, kuna wale wanaitwa Mafaharasha hao ndio black Jews na most of them wanatokea Ethiopia, sasa kama wanabaguliwa au laa hilo sina hakika nalo. Kuhusu huo utofauti wao wa rangi ndio hasa unawasaidia sana kwenye masuala ya ushushushu, wapo Saudia, wapo Iran, wapo Iraq, wapo hadi huko Al Qaida na kwingine kote, yasemekana hata lile shambulio la September 11, 2001 pale world trade centre kulikua na Wayahudi wengi tu waliokua wakifanya kazi kwenye lile jengo but cha kushangaza ni kwamba, hakuna Myahudi hata mmoja aliyekwenda kazini that day, why? Is because some of the Jews wana ngozi za Kiarabu na walikua ni member wa kikundi cha kigaidi cha Osama bin Laden with a special mission, haoa ndio walilikisha information to Mosaid na Mosaid nao wakawapa taarifa Wayahudi wenzao wa New York.
Hayo ni baadhi ya ninayo yajua kuwahusu Jews na mambo yao
 
Back
Top Bottom