Kwani Taifa la Tanzania lina sera gani kuhusu Wayahudi? Imeandikwa wapi hiyo sera?Ningependa kufahamu taifa la Israel lina sera gani kuhusu mtu mweusi?
Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?
Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu mweusi?
Nawasilisha
Unajidhalilisha sana, Israel awe na sers kuhusu mtu mweusi ili iweje. Kwani mtu mweusi hawezi kukamilika hadi watu wa taifa jingine wamtambue. Hivi haya mawazo ya kudhani mnatakiwa kutambuliwa huwa mnayatoa wapi. Mnatuaibisha watu weusi. We are people just like other races, we don't need recognition from other races to prove our humanity. We recognise ourselves and that's enough.Ningependa kufahamu taifa la Israel lina sera gani kuhusu mtu mweusi?
Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?
Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu mweusi?
Nawasilisha
kwani 2020 si ndio ilikuwa safari tamati ya upinzani bungeni!!!Magufuli alivyokuwa akiwabagua wapinzani hamuoni hadi akatabiri kufika mwaka 2020 hawatakuwepo lakini yeye ndiye hayupo. Ubaguzi upo pote tu na hauna kwao kama alivyowahi kusema Mwl. Nyerere.
Tupe ushahidi siyo kubwabwaja tu.!!!!Waziri Mkuu wao aliwahi kusema "Ngozi nyeusi ni kama Kansa, ikiingia inatakiwa kukatwa haraka sana kabla haijasambaa"
Tafakari, Chukua hatua.
Kwa mwaka huu pekee sijaona mtu mjinga kama wewe!!!1. Rabbi mkuu wa Israel aliwaita watu weusi nyani
Rabbi mkuu ni equivalent ya askofu mkuu ama sheikh mkuu.Chief rabbi calls black people 'monkeys'
Rabbi Yitzhak Yosef's comments denounced as 'racially charged' and 'utterly unacceptable' by Anti-Defamation Leaguewww.independent.co.uk
2. Wa Ethiopia wayahudi waliokwenda Israel wanawake wao walipewa dawa za kufunga vizazi ili wasizaliane.
Ethiopian women in Israel 'given contraceptive without consent'
Israel's health ministry is investigating claims that Ethiopian immigrants have unwittingly had Depo-Provera jabs for yearswww.theguardian.com
3. Israel hawataki wakimbizi weusi wengine wanawalipa ili waondoke nchini mwao.
Israel: African migrants told to leave or face imprisonment
The UN refugee agency says the plan to deport thousands violates international and Israeli laws.www.bbc.com
4. Kuna ofa zinatolewa Israel raia ukimkamata mkimbizi mweusi unapewa hela kama milioni 20.
Israel will pay new civilian immigration inspectors $9,000 bonuses to expel African migrants
An advertisement called for civilians with a bachelor's degree and a valid driver's license to crack down on "illegal aliens"qz.com
5.hata hao polisi weusi wa Israel hawana hadhi, kila siku wanapigwa na weupe.
Sawa ukimaliza pangua hoja nilizoletaKwa mwaka huu pekee sijaona mtu mjinga kama wewe!!!
Waacha kuchafua bandiko la watu.na udini wakoUkipata majibu uniulizie hali ya ubaguzi wa mtu mweusi Saudia, Oman na Waarabu kwa ujumla
Huyu ndio wale viumbe wanafiki waliovaa ngozi ya kondoo wakati ndani ni mbwa mwitu, anaacha kukemea madhalimu wanayofanyiwa Dada zetu hapo hapo bongo, anaanza kubwabwaja na ya uarabuni. Wakati bongo tu hapo Kuna ukatili wa kutosha.Mfanyakazi wa ndani auwa mama na watoto wawili
Huyu Einstein ana chuki na waarabu, na hiyo ipo kwenye damu. Sio kwamba hajui ubaguzi na ukatili unaoendelea huku, anajua lakini anajitoa ufahamu, na kama nilivyosema chuki ipo kwenye damu huyu jamaa.
Cheki hapa mkuu
........ Lakini kwa mipango ovu ya huyo Magufuli na wala sio kwa matokeo ya uchaguzi na ndio maana Mungu amemuadhibu vilivyo na kazi yake haina makosa.kwani 2020 si ndio ilikuwa safari tamati ya upinzani bungeni!!!
Mungu hapiganii haki za wasaliti......... Lakini kwa mipango ovu ya huyo Magufuli na wala sio kwa matokeo ya uchaguzi na ndio maana Mungu amemuadhibu vilivyo na kazi yake haina makosa.
Upo ubaguzi sana kuna mwanang mmoja binamu yake alienda huko alibaguliwa hadi ikafika mahali akaamua kurudi Tanzania hana hamu na hao watyNingependa kufahamu taifa la Israel lina sera gani kuhusu mtu mweusi?
Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?
Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu mweusi?
Nawasilisha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nkiwahi kuuliza SERA za Waarabu juu ya Wapalestina mbona hawawachukui kama wakimbizi badala yake wanakimbilia Ulaya na America??Kwa mwaka huu pekee sijaona mtu mjinga kama wewe!!!
We ni mpuuzi waTZ wangapi wadada wanyanyaswa OMAN wengine wanasimulia hawatakaa waruddi huko.Waacha kuchafua bandiko la watu.na udini wako
We ni mpuuzi waTZ wangapi wadada wanyanyaswa OMAN wengine wanasimulia hawatakaa waruddi huko.
TBC walishawahi kufanya mahojiano na wadada wanaonyanyaswa kingono Oman.
Hata yule msimuliaji.wa THE STORY BOOK wasap alishawahi kusimulia unyama wanaofanyiwa watu.weusi Arabuni kwa ujumla.
Huyo mwarabu mwenyewe ni mtu mweusi,ukimuona mweupe ana asili ya mchanyiko na watu wa Ulaya ya mashariki,toka enzi za mababu na bibi,wakizungu walioletwa kama watumwa,nakuona na waarabu(weusi wa asili),ndio kupatikana weupe(mchanganyiko).Ukipata majibu uniulizie hali ya ubaguzi wa mtu mweusi Saudia, Oman na Waarabu kwa ujumla
Source please!!??Huyo mwarabu mwenyewe ni mtu mweusi,ukimuona mweupe ana asili ya mchanyiko na watu wa Ulaya ya mashariki,toka enzi za mababu na bibi,wakizungu walioletwa kama watumwa,nakuona na waarabu(weusi wa asili),ndio kupatikana weupe(mchanganyiko).
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Huyo houseboy anahusikaje na Ubaguzi wa rangi?? Mbona articles zipo nyingi na mavideo YouTube? Kuhusu waarabu hasa wa OMANIla wee jamaa nimekuvulia njuga. Kila kona wewe na waarabu tu, sijui walikufanya nini aise! Umeshindwa kuongelea ya hapa namna ukatili unavyendelea unakimbilia kwa waarabu wakati hujashuhudia ila umesimuliwa na kuokoteza viclip mitandaoni.
Umeona mama na wanae wameuawa hapa bongo hivi karibuni dhidi ya houseboy?
Mwaka huu kuna mama kamkill housegirl huko dar hukuyaona?
Video za matukio mengine nimekuwekea hapo juu i think umeziona, ila umekomalia waarabu tu. Aise wee jamaa unaonekana una chuki sana na roho mbaya kwa waarabu.
Wewe waangalie vizuri,hao unaoita watu weupe(waarabu),tabia zao,maisha yao,hawana tofauti na weusi,mwarabu hata awe mweupe vipi,hana tofauti na mwafrika mweusi,kitabia,kitamaduni,malezi,kiuchumi,nkSource please!!??
Hao unaoita waarabu wa Oman,ni weusi,hao wanaotesa wafanyakazi ni machotara wa kiarabu na wazungu,toka mababu na mabibi zao,ndio ukawaona weupe,muarabu sio mweupe ni mweusi.Huyo houseboy anahusikaje na Ubaguzi wa rangi?? Mbona articles zipo nyingi na mavideo YouTube? Kuhusu waarabu hasa wa OMAN