Sasa tulieni arekebishe hayo mapungufu! Kumbe anayajua! Basi naimani ataya solve! Kuliko kumpa mtu asiyeyajua au anayajua kijujuu tu!!Kampuni zote zililetwa na CCM magufuli alikuwa Bungeni na pia alikuwa kwenye baraza la mawaziri hakuwahi kupinga au hata kutoa maoni kipindi hicho
Juzi juzi wamemshauri atoe pesa za kuidhoofisha chadema kawapa lakini wameziminya wanasoma upepo maana wanaona hali ni ngumu mno, wakiona vipi watazichukuchia iwe ni kiinua mgongo chao kwani wanahofia baada ya uchaguzi watafikishwa CCM au kuvuliwa madarakaCcm ilishakufa polepole na bashiru ni wachumia tumbo awajui siasa awaijui ccm walimshauri boss wenu vibaya
Lisu ndiye aliyapinga tokea 1998 yeye anajua zaidi kuliko mtukufu magufuli mnufaika wa mabaya yao kwa kipindi kirefuSasa tulieni arekebishe hayo mapungufu! Kumbe anayajua! Basi naimani ataya solve! Kuliko kumpa mtu asiyeyajua au anayajua kijujuu tu!!
Mkuu,mm sikuchangia kama shabiki wa kisiasa,nimechangia mmada Mimi kama Mimi,naona umenichukulia kama shabiki wa chama fulani,fuatilia comments zangu,sina mambo hayo Mkuu.Hata ukiwa na smart phone waweza kupinga utabiri na kuishi kwa kukariri kutukuza zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu na polepole pia, kuaminisha watu hakuna mipaka waweza kuwaaminisha kuwa pesa za miradi yote ikiwemo flyover ni pesa binafsi za mtukufu mwenyekiti wa CCM siyo pesa za walipa kodi na maendeleo ni Hisani za CCM siyo kitu cha haki na lazima.
Kumbe nyinyi mnataka machafuko yatokee ndiyo shida yenu!? Mwana Kulitafuta Mwana Kulipata!! Nakukumbusha tu!!Hiyo mbinu ya wakuu wa wilaya kuendelea kuwapa vitambulisho vya kura kwa mlango wa nyuma wenye kadi A ccmhaitawabeba. Safari hii hamtaamini macho yenu, na mkichezea tu box la kura lazima kilichotokea Kenya kitokee na hapa.
Kwenye twiter yake anapata kichambo cha maana tu! Sema ndio hivyo kaahidiwa madini hivyo lazima akaze moyoHivi huyu Amsterdam hajakutana na Wazaramo wenye Nchi yao waamchambe hadi azimie, akiamka hapo nduki hadi Ulaya!!
Wwe ndiyo unasema huyo ni Magufuli, huyo ni Mimi!!IQ kubwa ya vichambo?!Unafanya mzaha kama aliechora hiyo picha ya Magufuli katika avatar yako!
Leo anasikia anaenda kunywa chai kwa mama ntilie pale ubungeVipi leo anaratiba gani,
Wwe endelea kujidanganya humu,huwezi kumjua mtu humu kupitia hicho kio cha simu yako!!Na ww umeng'ang'ana na neno piga spana ili uonekane unaenda na maneno ya fashion ya mjini, kumbe ni jizee fulani lililopoteza ramani. Wala huna mvuto wa kutumia hilo neno maana linawafaa zaidi vijana.
Ccm ilishakufa polepole na bashiru ni wachumia tumbo awajui siasa awaijui ccm walimshauri boss wenu vibaya
Uyu JPMWakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana.
Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli alikufa kabla hajamuua Daudi.
Na mwisho wa siku Daudi akawa mfalme mahali pake katika Israeli na kuliongoza taifa la Israeli katika mafanikio makubwa kiuchumi kwa sababu tu daudi alimsikiliza Mungu katika namna ya kuongoza watu katika mafanikio yao na haki siku zote aliitanguliza mbele na ndio maana alipendwa sana na wananchi wake.
Kwenye nchi yetu kuna jambo linaenda kutokea na wale wasioamini mpaka washuhudie kwa macho wataona kama alivyoona Tomaso.
Kila Mtu aliye wake na asiye wake anakwenda kumpigia kura na hii ni kutokana na maono aliyopewa katika taifa hili.
Amini Usiamini lakini ndicho kitakachoenda kutokea.
Watu wanaoamini katika ulimwengu wa roho ule usioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika kwa masikio ya kawaida wananielewa nilichosema.
Hamtaki afanye kampeni na sasa hamtaki hata atembee mitaani? Wewe ni mnufaika wa utawala huu dhalimu wa kidikteta si tayari umetajirika kupitia blackmail iweje kutwa unahangaika na lisu? Tulia ule mali zako haramu ulizochuma kupitia mgongo wa unyama wenuLeo anasikia anaenda kunywa chai kwa mama ntilie pale ubunge
Sasa mnapiga magoti ya nini.Uje tena baaada ya October useme Ccm ilishakufa
Tutawafundisha mwaka huu, lissu akiwaletea hata wabunge wawili mkatambike
CCM is totally obstructedKwahiyo na wewe unaamini Lisu atakuwa rais sababu alipanda mwendokasi akaenda kariakoo?
Wewe ndiyo utatambika kukwepa aibu kwani hutaamini kuwa Tumeccm inaenda kuumbuka uchakachuaji utafeli kwa nguvu za munguUje tena baaada ya October useme Ccm ilishakufa
Tutawafundisha mwaka huu, lissu akiwaletea hata wabunge wawili mkatambike
Mnaotaka machafuko ni nyinyi mliozoea kunajisi box la kura. Ni kweli mtatupiga sana, ila baada ya kutupiga ni lazima tutaheshimiana, watakaoongozwa unyama huo wakiishia pabaya. Kamtazame Elbshir wa Sudan ana hali gani kwasasa baada ya kufanya mauaji makubwa kwa watu wake.Kumbe nyinyi mnataka machafuko yatokee ndiyo shida yenu!? Mwana Kulitafuta Mwana Kulipata!! Nakukumbusha tu!!