Mara mia kutopiga kura au kutoshiriki kura kuliko kuwa kiherehere kama Kunyaland (Kenya)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara mia kutopiga kura au kutoshiriki kura kuliko kuwa kiherehere kama Kunyaland (Kenya)
Kwani hizo zinakinzana? Sioni mfanano wowote na sisi kuwepo NAM.Pia sisi ni COMESA, SADC na EAC. Tunaenda upepo unakoenda
Mwalimu hili fungua uzi maalum wa kutoa somo. Inawezekana kwenye hili hadi watu wetu wa diplomasia wamejikoroga.Nadhani issue siyo sera ya Non-Aligned movement ambayo umuhimu wake haupo tena, na wala Tanzania haijawahi kuhudhuria mkutano wa NAM tangu mwaka 2012 wakati Bilal aliiwakirisha Tanzania huko Iran. Tatizo la tanzania hapa ni uongozi wa kibabaishaji.
hhahahah ...ukiwa kiherehere wa kuombaomba mikopo lazima usiwe na msimamoMisaada ni kitu kibaya sana huwezi kuwa huru kuamua cha kufanya
madikiteta walewaleAhaa. Kumbe ni wajamaa ndiyo maana rais wa Eritrea haachii madaraka since 1993
sahihiNadhani issue siyo sera ya Non-Aligned movement ambayo umuhimu wake haupo tena, na wala Tanzania haijawahi kuhudhuria mkutano wa NAM tangu mwaka 2012 wakati Bilal aliiwakirisha Tanzania huko Iran. Tatizo la tanzania hapa ni uongozi wa kibabaishaji.
ndumila kuwilihhahahah ...ukiwa kiherehere wa kuombaomba mikopo lazima usiwe na msimamo
Hizo jumuia zinakinzana kwa sababu malengo yanafananaKwani hizo zinakinzana? Sioni mfanano wowote na sisi kuwepo NAM.
Siyo relevant kulinganisha na suala la uwepo wetu NAM vs “voting absenteeism” kule UN.Hizo jumuia zinakinzana kwa sababu malengo yanafanana
I assume you were not normal when you sent this comment. Ukrain and Russia conflict cannot be compared with ones parents. Hopeless.Siku Wakigombana Mama yako na Baba yako najua utaelewa namaanisha nini!?