Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namaanisha sisi Kama Tanzania huru,hatuchaguliwi Marafiki wala Maadui!!Hamfungamani na haki wala udhalimu! Ndivyo unavyomaanisha?
Wwe unaelewa ebu tueleze hata kwa ufupi Basi!? Maana nyinyi ndiyo mkisha gombana hata na wapenzi wenu mnatulazimisha na sisi tuchaguwe side! Watu Wazima Ovyoo!!Huelewi hata falsafa ya kutofungamana upande wowote ilikuwa inahusu nini!!
Siku Wakigombana Mama yako na Baba yako najua utaelewa namaanisha nini!?Hiyo ina maanisha nini haswa? Wanafiki au?
Mkuu "Nyumba ya Nguchiro na mchwa", tofauti hizo ulizo orodhesha hapo nazifahamu barabara, lakini nikukumbushe, kabla ya jeshi la Kenya kuwa chini ya mwamvuli wa AU, walifanya uvamizi nchini Somalia, hata kama nia yao ilikuwa ni kuwashughulikia Shaabab. Mfanano wa uvamizi huo na wa Urusi upo, ila najua hutopenda kuangalia huko.Uwepo wa majeshi ya Kenya na Uganda huko Somalia ni tofauti kabisa na hili na Ukraine na Urusi. Haya yapo kule Somalia kwa umbrella ya AU; urusi amekwenda Ukraine kwa kutaka kuitawala Ukraine na kuinyang'anya sovereignty yake.
Mgogoro wa Kenya na Somali kwenye bahari ya hindi haufanani na huu kabisa. Kenya na Somalia wanabishania mpaka wa majini na kuna tume ya usuluhishi inashughulikia mgogoro huo. Urusi haina mgogoro wowote wa mpaka na ukraine, bali tu haipendi serikali ya ukraine iliyochaguliwa na watu na inataka kuiondoa kabisa serikali ili kusudi iweke ya kwake.
Undumila kuwili na wala hakuna maana yoyote zaidi ya kutaka misaada kutoka kote kote.Ni muafrika mjinga pekee atakae jihusisha na mambo ya migogoro ya mabeberu.
Kukaa kimya napo ni jibu.
Hata Russia ni Wazungu.Kenya km kawa wazee wa kushoboka na wazungu
Misaada ni kitu kibaya sana huwezi kuwa huru kuamua cha kufanyasafi sana kwa serikali. wakati mwingine ni vizuri kukaa kimya unawaachia wenye viherehere
Tigray ni huko Ethiopia ila jimbo ni semi-autonomous. Eritrea imekuwa ikishirikiana na Ethiopia kuwaadhibu Tigray ambao wanapakana na Eritrea.Mie nikajua tigray ni huko ethiopia!
MsishangaeMisaada ni kitu kibaya sana huwezi kuwa huru kuamua cha kufanya
Pia sisi ni COMESA, SADC na EAC. Tunaenda upepo unakoendaSisi hatukuwa wajamaa tokea tukiwa NAM?
Kama siyo unafiki, kwanini tulikuwa wajamaa halafu tena tuwe NAM?
IpooJaman tume abstain
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Iviii kumbe ile NAM ya shuleniiii bd ipogo nkajua ikogo shuleni tyu
Ahaa. Kumbe ni wajamaa ndiyo maana rais wa Eritrea haachii madaraka since 1993Eritrea alipata misaada ya kijeshi kutoka Urusi ndio maana ameufyata.
Ndugu wakigombana shika Jembe nenda kalime! Wakipatana Chukua kapu nenda kavune!!Hiyo ina maanisha nini haswa? Wanafiki au?