Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Tanzania imepiga kura na kusema yenyewe iko upande wowote ambako upepo utakakokwenda na yenyewe ipo; abstention, yaani haina msimamo!Tanzania na haikupiga kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania imepiga kura na kusema yenyewe iko upande wowote ambako upepo utakakokwenda na yenyewe ipo; abstention, yaani haina msimamo!Tanzania na haikupiga kura
Kura ile haikuwa ina maana ya alignment na nchi yoyote, ilikuwa ni kura ya kulaani kitendo cha taifa moja kutoheshimu mipaka inayotambuliwa na umoja wa mataifa na kufanya kuvamizi wa kijeshi dhidi taifa jingine. Dunia ya leo ambapo vita baridi imekwisha hakuna tena swala na non-alignement, ndiyo maana makampuni ya marekani yamekuwa yanafanya biashara urusi. Ni Putin ndiye bado anaota vita baridi na anataka kuturudisha huko.Jaman tume abstain
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Iviii kumbe ile NAM ya shuleniiii bd ipogo nkajua ikogo shuleni tyu
Huelewi hata falsafa ya kutofungamana upande wowote ilikuwa inahusu nini!!Hapana sisi hatufangamani na upande wowote ule!!
Hapana, siyo kujiripua..amejibainishaEritrea amejilipua!
Wenye busara hutoa neno ili liponye!issues si uoga wala sitetei. Ila kuna nchi zimekaa kimya na zina uwezo kuliko tz.
Si ujinga but ni busara
Wewe unayeelewa weka hapa ili asiyeelewa ajifunze.Huelewi hata falsafa ya kutofungamana upande wowote ilikuwa inahusu nini!!
to abstain maana yake imebaki neutral, haipo upande wowote, yaani haikupiga kura.Tanzania imepiga kura na kusema yenyewe yenyewe uko upande wowote ambako upepo utakakokwenda na yenyewe ipo; abstention, yaani haina msimamo!
Lakini "kukaa kimya" hakumaanishi 'hukusema kitu', au huonyeshi msimamo wako unakolalia!Sometimes ni bora kukaa kimya.
Kwa maneno mengine Tanzania haifungmani na upande wowote, na huu ndiyo msimamo wa Tanzania tangu tupate uhuru, kwa hiyo kwa masuala yanayohusiana na vita kati ya east na west, huwa haiungi mkono upande wowote.Tanzania imepiga kura na kusema yenyewe yenyewe uko upande wowote ambako upepo utakakokwenda na yenyewe ipo; abstention, yaani haina msimamo!
Zanzibar sijaiona [emoji41][emoji41][emoji41]
Hapana. Kenya hatoi fundisho lolote hapa, bali anazo sababu maalum za kufanya hivyo, sababu ambazo sidhani kuwa zinampa heshima ya kuwa "mtoa fundisho".Kama hii ndiyo diplomasia yetu kweli, basi Tanzania imetia aibu sana. Proud sana kwa wa majirani Kenya ambapo balozi wao alitoa fundisho linalohusu kuheshimu mipaka.
Hii inasaidia nini kama si uchonganishi tu na mataifa yenye nguvu na walafi wa mali za Africa, vita vyao ni vyao... Kiherere ya nini
Zanzibar hawezi kujihusisha na mambo madogo madogo kama haya ambayo anamtuma kijana wake (Tanzania) ayashughulikie, huku yeye akila kuku kwa mrija!Zanzibar sijaiona [emoji41][emoji41][emoji41]
Ova
Sio kwamba Tanzania haina msimamo, huo ndio msimamo wake...!