Kwann una kambi za wakimbizi hapa nchini? Ni za kazi gani? Ni sehem gani nyingine umewah sikia lina mgogoro wa aina hiyo alafu majiran woooote wakagoma pokea wakimbizi?Kuwapokea ni kukubali kuwaachia nchi watu ambao si yao.Kinachotakiwa ni kuwasaidia wabaki pale walipo na kuwafungulia wanaotaka kwenda kuwasaidia waende huko.
Hamas naye ana mabwana zake.Siyo Israel pekee anayepigana vita na kushinda bali mabwana zake anaowadekea USA na EU ndo humpa kampani ya misaada ya silaha.
Mfano sasahivi Marekani na nchi mbalimbali zinapeleka silaha za kivita Israel ili ipambane na HAMAS.
Israel bila mabwana zake ni wepesi mno kwa HAMAS na wala sio kwa Palestina yote. Size yake ni HAMAS tu.
Kwahiyo wa Israel waliouliwa na hammas sio binadamu ni mbuzi hawahitaji msaada huu unafiki wenu wakianzisha uchokozi kisha mkijibiwa mnakuja kutafuta huruma mnaonewaMnafeli Sana.
Palestina wanahitaji msaada si kwasababu Ni Waislamu, hapana wanahitaji msaada kwasabab Ni binadamu wenzetu ktk dunia hii.
Ukishaingiza udini tayari Kuna sehemu ya dunia itajitenga nao.
Ishawishi dunia, weka udini mbali kabisa mtafanikiwa.
Punguza kusoma kwa mihemko. SOMA Tena utanielewa.Kwahiyo wa Israel waliouliwa na hammas sio binadamu ni mbuzi hawahitaji msaada huu unafiki wenu wakianzisha uchokozi kisha mkijibiwa mnakuja kutafuta huruma mnaonewa
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Yaani unasema waislamu!
Nyinyi hata mkiwa wenyewe tupu (waislamu) mnatwangana tu.
Mfano Sudani Yemen, Somalia Nigeria ya kazkazin Syria nk.
Shida ni nini nyie waislamu?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mngekuwa mnayajua haya msinge wavamia juzi jumamosi kwa sababu walikuwa wametulia zao.Ni udhalilishaji wa hali ya juu huu wanaofanyiwa wapalestina.Eti watu milioni na laki moja wahame haraka ndani ya masaa 24.Maskini wanawake na watoto wanapata tabu huku Marekani ikitoa kauli za kifedhuli zaidi.
Kiongozi mmoja wa wizara ya mambo ya nje anasema hataki kusikia kauli ya kuitaka Israel kusitisha vita au kutafuta suluhu ikitolewa na afisa yoyote katika mazungumzo yake na vyombo vya habari
wayahudi wamlilie myahudi mwenzao? Usilete vichekesho.Sasa ni lini waisrael walimlilia Yesu awasaidie kwenye vita, wao wanaamini kwenye silaha zao na jeshi lao hatujawahi kusikia wakimuita Yesu wala Yahweh wala Yehova, ila hao wapalestina kila siku wanamlilia Allah ila haendi kuwasaidia ndio maana watu wanahoji yuko wapi huyo Allah wanayemuita kila siku
Halafu miaka yote hiyo ya kuwaponda wakristo na wayahudi, na kujifanya unajua kuchambua na kukosoa vifungu vya Biblia kumbe hujui hata wayahudi wanaamini nini juu ya Yesu, ndio maana unalazimisha kuwanasibisha na wakristo wakati ukristo na uyahudi ni dini mbili tofauti kabisa
Ukae ukijua wayahudi hawaamini kama Yesu ni mwana wa Mungu wao wanaamini yule Messiah aliyetabiriwa kwao bado hajazaliwa, ila atazaliwa siku moja na atakuja kuwakomboa hivyo huyo Yesu wanayemuamini wakristo wao wayahudi hawamtambui kama mkombozi wao kama ulivyomaanisha hapo, wanaamini Torati ya Musa hawalitambui agano jipya na maandiko yao mengi ni tofauti na wakristo
Ndiyo ukweli wenyewe huo.Palestina wana jijua wao ndio wenye nchi, Israel ni walowezi.
Ukiangalia kote duniani wanaoiunga mkono Hamas wamekuwa ni wengi kuliko wanaoilaumu kama wewe.Nchi kama Ufaransa imebidi ipige marufuku maandamano ya kuipongeza Hamas. Na Ujerumani mpaka kuna viongozi wa Marekani wameilaumu kwa kuwa na maandamano makubwa ya kuiunga mkono Hamas
Huo ni ukweli 100%.Acha uongo, ufaransa Ina waarabu wahamijaji wengi Sana.
| Regions with significant populations of Arabs in Europe | |
|---|---|
| France | 4,000,000-7,000,000 |
| Spain | 1,600,000–1,800,000 |
| Germany | 1,401,950 |
| Netherlands | 682,873 |
Jumamosi si mlikuwa mnashangilia huku mkisema Allah Akhbar ? kimsingi Israeli inataka kusafisha ukanda wa Gaza ili kung'oa mizizi yote ya ugaidi. Hamas wana uungwaji mkono wa Iran, Hezbollah na makundi mengine. Lengo la Marekani, Uingereza na Ufaransa ni kuzuia /kutoa kitisho kwa waliokuwa wanajipanga kuungana na Hamas kwenye vita. Hii itaipa Israeli muda wa kumshughulikia Hamas kwa uhuru wote.Ni udhalilishaji wa hali ya juu huu wanaofanyiwa wapalestina.Eti watu milioni na laki moja wahame haraka ndani ya masaa 24.Maskini wanawake na watoto wanapata tabu huku Marekani ikitoa kauli za kifedhuli zaidi.
Kiongozi mmoja wa wizara ya mambo ya nje anasema hataki kusikia kauli ya kuitaka Israel kusitisha vita au kutafuta suluhu ikitolewa na afisa yoyote katika mazungumzo yake na vyombo vya habari
Arab league imeshakuwa compromised na Marekani, Wapalestina pekee ndio watakaojikomboa.
Aluta continua...
Palestinians are showing that they will not be erased
Palestinians have reminded the world of their existence, and struggle for freedom in the only way that works.www.google.com
Ukiangalia kote duniani wanaoiunga mkono Hamas wamekuwa ni wengi kuliko wanaoilaumu kama wewe.Nchi kama Ufaransa imebidi ipige marufuku maandamano ya kuipongeza Hamas. Na Ujerumani mpaka kuna viongozi wa Marekani wameilaumu kwa kuwa na maandamano makubwa ya kuiunga mkono Hamas
Yule Putin mnaemshobokeaga leo hana jambo na nyie ahhhahhah
Hapana Sina maana hiyo bali 🇺🇸 amepeleka meli za kivita kama ikitokea vita mashariki ya kati awe amesogeza silaha zake
Kwa Iran na USA wanajuana mkuu
Hivi karibuni prison swaps 🇺🇸 katoa $6b ila kwa wayahudi anaona wauwawe tu
Siasa mbaya sana acha tuwe washabiki mandazi tu
Hata mimi huwa najiuliza, Waarabu wako wengi wanashindwa nini kuteteana na kuamua liwalo na liwe?