Nchi za Kikristo zinawezaje kuishi kwa amani namna nii?

Nchi za Kikristo zinawezaje kuishi kwa amani namna nii?

Hizo nchi zina UTAJIRI wa aina yoyote mkubwa kama MAFUTA?

Zinaingiliwa na nchi zingine katika chaguzi zao, migogoro yao ya ndani n.k?

Hadi umri huo hujui kwanini baadhi ya nchi za imani tofauti na UKRISTO zinapigana vita vya kutengenezwa? Au umeamua kujifurahisha?
Huo ni uwongo, ni kukimbia msingi wa tatizo.

Kuna baadhi ya mafundisho yanayotolewa na wanazuoni, yanachochea uharibifu. Maadam hayo mafundisho yanaendelea, hilo tatizo litaendelea.
 
Hizi ni baadhi ya nchi zinazo endeshwa kwa misingi ya kikristo na huwezi kuwa kiongozi wa dola ikiwa wewe si mkristo Malta, Armenia, Vatican, England, Denmark, Norway, Iceland nk.

Swali langu ni kwanini huwezi sikia vikundi vya waasi wa kilokole au waasi wa kikatoliki wakiwa msituni wakimpambania mola wao?

Kwanini nchi nyingine kama Syria utasikia sijui wa sunni wameingia msituni kupambana na wasia? Je wanafeli wapi?

Je, nchi zinazo jinasibu zinaongozwa kwa dini ya amani zinawezaje kukosa utulivu miaka nenda rudi?
Nchi kama hizo haziwezi kuwa na vita sababu tayari Zina makoloni yao wanayochota mali kwa wapumbavu huku Africa na America .......haujui kua kanisa la Roma sadaka huenda hadi Vatican then wenye akili hula Bata na hizo pesa?
Yes nchi kama Libya,Iraq,Syria hizo lazima ziwe na vita sababu raia hawawezi kubali madini yao kuchotwa kizembe eti uwekezaji, ama eti parokia iwepo watu wachange hela zao zikaliwe Europe
 
Waarabu kwanini hawakimbilii nchi za Kislam wanakimbilia kwenye nchi za Kikristo?
Mpumbavu huongea bila Takwimu,.......
Hii ni takwimu ya nchi ambazo mfano raia wa Syria wamekimbilia,.......enhee hizo ulizotaja ni nchi za kikristo zina raia asilimia ngapi wa Syria ukilinganisha na hizo nchi unazoziita za kiislam?
Unaweza weka mfano wako kitakwimu wa ulichokisema?
Je wewe sio mpumbavu?😃😄
 

Attachments

  • Screenshot_20241211-085341.png
    Screenshot_20241211-085341.png
    247.8 KB · Views: 1
Hizi ni baadhi ya nchi zinazo endeshwa kwa misingi ya kikristo na huwezi kuwa kiongozi wa dola ikiwa wewe si mkristo Malta, Armenia, Vatican, England, Denmark, Norway, Iceland nk.

Swali langu ni kwanini huwezi sikia vikundi vya waasi wa kilokole au waasi wa kikatoliki wakiwa msituni wakimpambania mola wao?

Kwanini nchi nyingine kama Syria utasikia sijui wa sunni wameingia msituni kupambana na wasia? Je wanafeli wapi?

Je, nchi zinazo jinasibu zinaongozwa kwa dini ya amani zinawezaje kukosa utulivu miaka nenda rudi?
Inaonyesha kabisa wewe ni kilaza na hujui hata yanayoendelea duniani, hakuna nchi ya kikristo hapo katika zote ulizotaja kasoro vatican
 
Mpumbavu huongea bila Takwimu,.......
Hii ni takwimu ya nchi ambazo mfano raia wa Syria wamekimbilia,.......enhee hizo ulizotaja ni nchi za kikristo zina raia asilimia ngapi wa Syria ukilinganisha na hizo nchi unazoziita za kiislam?
Unaweza weka mfano wako kitakwimu wa ulichokisema?
Je wewe sio mpumbavu?😃😄
Ukiona mkimbiz wa Syria kakimbilia Iraq ujue kakosa means au hana vigezo ila kila mujahideen anapenda kwenda uropa kula mema yanchi
 
Hizi ni baadhi ya nchi zinazo endeshwa kwa misingi ya kikristo na huwezi kuwa kiongozi wa dola ikiwa wewe si mkristo Malta, Armenia, Vatican, England, Denmark, Norway, Iceland nk.

Swali langu ni kwanini huwezi sikia vikundi vya waasi wa kilokole au waasi wa kikatoliki wakiwa msituni wakimpambania mola wao?

Kwanini nchi nyingine kama Syria utasikia sijui wa sunni wameingia msituni kupambana na wasia? Je wanafeli wapi?

Je, nchi zinazo jinasibu zinaongozwa kwa dini ya amani zinawezaje kukosa utulivu miaka nenda rudi?
Yesu ni amani, na ndiye anayetoa amani ,hata wanafunzi wake alikua anawasalimia amani iwe nanyi ,to mean is the provider of peace
 
Huo ni uwongo, ni kukimbia msingi wa tatizo.

Kuna baadhi ya mafundisho yanayotolewa na wanazuoni, yanachochea uharibifu. Maadam hayo mafundisho yanaendelea, hilo tatizo litaendelea.
Mpumbavu hua hareason
1.Wanazuoni wanatoa wapi pesa?
2.Haujajiuliza Libya imepigana Civil war zaidi ya miaka 10,ila uchumi wake ni mara 5 ya Tanzani ama Kenya isiyo na vita?
3.kwa nini Iraq ina fast development after war, kuliko nchi yeyote ya Africa?
4.mbona D.R.C Ina vita na sio Islamic/Arabic country?😃😄😄,unajua Kwa Nini?
5.ushasikia Taliban baada ya kuchukua nchi imefanya mashambulizi yeyote?,ndani ama nje ya nchi?
6.hao unaodhani wanapigana vita ya dini wanatoa wapi pesa?😃😂
Je wewe sio mpumbavu?
 
Nchi kama hizo haziwezi kuwa na vita sababu tayari Zina makoloni yao wanayochota mali kwa wapumbavu huku Africa na America .......haujui kua kanisa la Roma sadaka huenda hadi Vatican then wenye akili hula Bata na hizo pesa?
Yes nchi kama Libya,Iraq,Syria hizo lazima ziwe na vita sababu raia hawawezi kubali madini yao kuchotwa kizembe eti uwekezaji, ama eti parokia iwepo watu wachange hela zao zikaliwe Europe
huko saudi arabia huwa mnaenda bure kuhiji? Huona kuwa mnapeleka hela kuijenga saudi arabia kiuchumi mnapoenda kutalii kidini?
 
Hizo nchi zina UTAJIRI wa aina yoyote mkubwa kama MAFUTA?

Zinaingiliwa na nchi zingine katika chaguzi zao, migogoro yao ya ndani n.k?

Hadi umri huo hujui kwanini baadhi ya nchi za imani tofauti na UKRISTO zinapigana vita vya kutengenezwa? Au umeamua kujifurahisha?
Norway ina utajiri mkubwa wa gesi na mafuta kuliko nchi nyingi za uarabuni. Hata Denmark imekuwa na utajiri wa gesi na mafuta kwa muda mrefu tu.
 
Hizi ni baadhi ya nchi zinazo endeshwa kwa misingi ya kikristo na huwezi kuwa kiongozi wa dola ikiwa wewe si mkristo Malta, Armenia, Vatican, England, Denmark, Norway, Iceland nk.

Swali langu ni kwanini huwezi sikia vikundi vya waasi wa kilokole au waasi wa kikatoliki wakiwa msituni wakimpambania mola wao?

Kwanini nchi nyingine kama Syria utasikia sijui wa sunni wameingia msituni kupambana na wasia? Je wanafeli wapi?

Je, nchi zinazo jinasibu zinaongozwa kwa dini ya amani zinawezaje kukosa utulivu miaka nenda rudi?
Labda unajitoa ufahamu bila kujijua!je hizo vita au hivyo vikundi vya kigaidi katika hizo nchi unazoziita za kiislamu vimetengenezwa na nani?je silaha vinatoa wapi?je kongo nayo ni nchi ya kiislamu?au hitler alikua sheikh?
 
Hizo nchi zina UTAJIRI wa aina yoyote mkubwa kama MAFUTA?

Zinaingiliwa na nchi zingine katika chaguzi zao, migogoro yao ya ndani n.k?

Hadi umri huo hujui kwanini baadhi ya nchi za imani tofauti na UKRISTO zinapigana vita vya kutengenezwa? Au umeamua kujifurahisha?
Kwa nn wapigane vita ya kutengenezwa? Hawana akili?
Wamekuwa ng'ombe ambaye anashikishwa jembe alime kwa lazima???
 
Wamevuka hizo hatua. Hakuna sehemu zilikuwa na vita kama Ulaya karne ya 8 mpaka 12. Kama umewahi kusikia kuhusu Vikings, walikuwa ni wazungu wakristo na makatili kweli kweli.

Wamevuka hizo hatua
 
Wamevuka hizo hatua. Hakuna sehemu zilikuwa na vita kama Ulaya karne ya 8 mpaka 12. Kama umewahi kusikia kuhusu Vikings, walikuwa ni wazungu wakristo na makatili kweli kweli.

Wamevuka hizo hatua
Vikings hawakuwa Wakristo,
 
Back
Top Bottom