Nchi za Kikristo zinawezaje kuishi kwa amani namna nii?

Nchi za Kikristo zinawezaje kuishi kwa amani namna nii?

Wamevuka hizo hatua. Hakuna sehemu zilikuwa na vita kama Ulaya karne ya 8 mpaka 12. Kama umewahi kusikia kuhusu Vikings, walikuwa ni wazungu wakristo na makatili kweli kweli.

Wamevuka hizo hatua
Kwa hiyo waarabu na hizo nchi wapo, miaka mamia nyuma ya Dunia?

Kwa kiasi fulani nakubaliana nawe, maana hata enzi za Masiha, jamii ya wayahudi ilikuwa inaongozwa na sheria za torati, ndiyo hizo za kupiga watu mawe.
 
Kama nchi za kiislam Zina Amani mbona Al Asad hakukimbikia Iran kwa jamaa zake wa damu?
Amani we unedefine vipi?
Mfano nchi nyingi za kiafrica masikini,wao amani wanadefine amani ni kua kimya mukilala njaa,hamuna madawa,huduma duni za elimu,hamuna maji Wala umeme,kazi kutumia vitu used to, huku rasilimali zenu zikichukuliwa na wageni😄😅🤣
Waarabu Amani,kwao ni kumiliki rasilimali zao 100% ziwaletee maendeleo na anayedili kutaka kuzichukua munauwana.
Umeona tofauti hapo.
Thus why Saudi Arabia ni rafiki wa U.S,sababu Saudi anatumia rasilimali zake 100% kujiletea maendeleo.
Hata Iran ni rafiki wa Russia ndio maana,Kamikaze Drones from Iran zinaisamabaratisha Ukraine,na Hadi kiwanda kimejengwa kwa msaada wa Iran kule Russia.
Tatizo wa Uislam sio ukristo bali *haki*ya kutumia kilicho Chao Kwa uhuru
 
Y
Siamini kama wewe ni mzima. Yawezekana ni miongoni mwa hao walioharibiwa akili ambao huwa wanajilipua hovyo. Hakuna mwenye akili timamu ambaye huwa anatoa arguments zake kwa kutukana wengine.
Mimi nafanya arguments za hoja na watu wenye akili timamu, wewe tafuta we
Kamusi ya kiswahili inasema MPUMBAVU ni mtu asiyejua akajifanya anajua----BAKITA na TUKI inatukana?
Yes mtu yeyote kama ana amini kuwa na amani ni kuchukuliwa rasilimali zako huku wewe ukiletewa vyandarua na kondomu😄😁😆
Huku wenzako wakipigania rasilimali zao kwa jasho na damu ni magaidi ......huyo MTU ni definite MPUMBAVU
 
Ukiiondoa Vatican hizo nchi nyingine zilizobaki ni atheists/ agnostics majority au nusu ya raia wake wengi ni wasio na dini/irreligious. Hizo nchi haziendeshwi kwa misingi ya dini yoyote.
Kwa kifupi "nchi hizo alizozitaja zote hazina dini isipokuwa Vatican tu"
 
Hizi ni baadhi ya nchi zinazo endeshwa kwa misingi ya kikristo na huwezi kuwa kiongozi wa dola ikiwa wewe si mkristo Malta, Armenia, Vatican, England, Denmark, Norway, Iceland nk.

Swali langu ni kwanini huwezi sikia vikundi vya waasi wa kilokole au waasi wa kikatoliki wakiwa msituni wakimpambania mola wao?

Kwanini nchi nyingine kama Syria utasikia sijui wa sunni wameingia msituni kupambana na wasia? Je wanafeli wapi?

Je, nchi zinazo jinasibu zinaongozwa kwa dini ya amani zinawezaje kukosa utulivu miaka nenda rudi?
Hao viongozi wa nchi za mahgharibi na Amerika ndiyo wanaoanzisha na kuvipa fedha na silaha hivyo vikundi.
Ushahidi ni huu hapa wa Hilary Clinton.

View: https://www.youtube.com/watch?v=uJI_AlmwEJw
 
Hizi ni baadhi ya nchi zinazo endeshwa kwa misingi ya kikristo na huwezi kuwa kiongozi wa dola ikiwa wewe si mkristo Malta, Armenia, Vatican, England, Denmark, Norway, Iceland nk.

Swali langu ni kwanini huwezi sikia vikundi vya waasi wa kilokole au waasi wa kikatoliki wakiwa msituni wakimpambania mola wao?

Kwanini nchi nyingine kama Syria utasikia sijui wa sunni wameingia msituni kupambana na wasia? Je wanafeli wapi?

Je, nchi zinazo jinasibu zinaongozwa kwa dini ya amani zinawezaje kukosa utulivu miaka nenda rudi?
Allah ni lazima apiganiwe. Kuna thwawabu kubwa sana kwenye kumpigania Allah
 
Hizo nchi zina UTAJIRI wa aina yoyote mkubwa kama MAFUTA?

Zinaingiliwa na nchi zingine katika chaguzi zao, migogoro yao ya ndani n.k?

Hadi umri huo hujui kwanini baadhi ya nchi za imani tofauti na UKRISTO zinapigana vita vya kutengenezwa? Au umeamua kujifurahisha?
Huko Somalia walipojikita al-Shabaab kuna utajiri wa mafuta?
 
Ukristo sio source ya amani kwa nchi hizo bali ni literacy levels na watawala kutenda haki kwa watu wao, period
 
Kwa wakristo dini ni personal, hulazimishwi kua muumini, wa waislamu dini ni community, lazima kila mtu awe na dini, ukikataa dini ni kifo na mbaya zaidi kila mtu anatafsiri yake ambayo anataka ailazimishe kwa mwenzake.
Mfano halisi ni hapo Zenji, yaani amri za dini ni amri za lazima za jamii.

Uislam ukiachwa huru (bila kusimamiwa na sheria za serikali) utapoteana ndani ya muda mfupi sana.
 
Mpumbavu hua hareason
1.Wanazuoni wanatoa wapi pesa?
2.Haujajiuliza Libya imepigana Civil war zaidi ya miaka 10,ila uchumi wake ni mara 5 ya Tanzani ama Kenya isiyo na vita?
3.kwa nini Iraq ina fast development after war, kuliko nchi yeyote ya Africa?
4.mbona D.R.C Ina vita na sio Islamic/Arabic country?😃😄😄,unajua Kwa Nini?
5.ushasikia Taliban baada ya kuchukua nchi imefanya mashambulizi yeyote?,ndani ama nje ya nchi?
6.hao unaodhani wanapigana vita ya dini wanatoa wapi pesa?😃😂
Je wewe sio mpumbavu?
Libya ina uchumi gani imara mkuu, utakuwaje na uchumi imara wakati wawekezaji hawaji kuwekeza nchini kwako kwajili ya vita, nchi ambayo mpaka slave trade imerudi unasema ina uchumi imara?
Iraq uchumi wwk
Mpumbavu hua hareason
1.Wanazuoni wanatoa wapi pesa?
2.Haujajiuliza Libya imepigana Civil war zaidi ya miaka 10,ila uchumi wake ni mara 5 ya Tanzani ama Kenya isiyo na vita?
3.kwa nini Iraq ina fast development after war, kuliko nchi yeyote ya Africa?
4.mbona D.R.C Ina vita na sio Islamic/Arabic country?😃😄😄,unajua Kwa Nini?
5.ushasikia Taliban baada ya kuchukua nchi imefanya mashambulizi yeyote?,ndani ama nje ya nchi?
6.hao unaodhani wanapigana vita ya dini wanatoa wapi pesa?😃😂
Je wewe sio mpumbavu?
 
Uislam umekuja takriba miaka 700 baada ya Ukristu, hivyo bado upo hatua za awali za makuzi.
Kuna Karne zitafika mambo ya kutumia nguvu kupigania Allah yatakoma
 
Ye hajui kua wakoloni inawezakua hata kampuni kama Barrick kule mara na Geita inachota Mali Kwa niaba ya Canada na U.S government thus why mukitofautiana ndege Yako inakamatwa kwenye nchi zao?
Nchi hii wakrito wanaongoza kwa elimu,ila ni moja ya jamii ya wapumbavu kuliko jamii yeyote ile
Thuy why uchumi wa Zanzibar ambaoo huongoza kwa kufeli form four ama six ni mara 2 ya uchumi wa mkoa wote wa Kagera na Kilimanjaro kwenye wasomi wengi😄😁😁
Huu si uhanithi,.....elimu Ina faida gani sasa?
Tanga kwa waislam wavivu,mamwinyi,enhee,watu wa pwani hawasomi 🤣🤣 ni jiji,ila Kagera kwa wasomi,madoctors,maprofessors, stendi tu ya basi kama Banda la nguruwe🤣🤣
nani anajenga stendi?
 
Libya ina uchumi gani imara mkuu, utakuwaje na uchumi imara wakati wawekezaji hawaji kuwekeza nchini kwako kwajili ya vita, nchi ambayo mpaka slave trade imerudi unasema ina uchumi imara?
Iraq uchumi wwk
Mpumbavu ni mtu anayeweza ongea chochote bila kua na Takwimu/facts/references.
Raia wa Libya ana Uchumi mara 5ya raia wa Tanzania ama Kenya😃😄😆
Je we unasikiliza propaganda kua Northe Korea na Iran ni mataifa masikini🤣🤣,wakati wanadevelop nuclear weapons na ICBM,
Je wewe sio mpumbavu?
 

Attachments

  • Screenshot_20241211-115553.png
    Screenshot_20241211-115553.png
    155.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241211-115637.png
    Screenshot_20241211-115637.png
    154.5 KB · Views: 2
Ukiiondoa Vatican hizo nchi nyingine zilizobaki ni atheists/ agnostics majority au nusu ya raia wake wengi ni wasio na dini/irreligious. Hizo nchi haziendeshwi kwa misingi ya dini yoyote.
Hujui kitu.
 
Mpumbavu ni mtu anayeweza ongea chochote bila kua na Takwimu/facts/references.
Raia wa Libya ana Uchumi mara 5ya raia wa Tanzania ama Kenya😃😄😆
Je we unasikiliza propaganda kua Northe Korea na Iran ni mataifa masikini🤣🤣,wakati wanadevelop nuclear weapons na ICBM,
Je wewe sio mpumbavu?

Tatizo mnaangaliaga data afu hamchanganua akili vitu mnavyoviona, Utalinganishaje data za GDP za nchi ambayo export yake kuu ni mafuta (malighafi ambayo ni sababu kubwa kwanini wanapigana in the first place ) na Kenya ambayo sekta yake kubwa ni kilimo tena informal
Ni sawa sawa hapa bongo useme GDP yetu kubwa kumbe nusu ya namba mnayoona imebebwa na waarabu na wahindi hawazidi 30; huu ndio uhalisia wa Libya, GDP kubwa lakini pesa karibia yote inatokea kwenye visima vya mafuta vilivyoshikiriwia na wachache pamoja na washirika wao waliopambana kuiua nchi ; ukiondoa hayo manamba iliyoandika Wakenya unaowadharau kwa GDP ndogo wanaishi vizuri kuliko hao waarabu huko Libya
Msisome data juu juu, ingieni ndani mchanganue msingi wa kile kinachoandikwa
 
Back
Top Bottom