Tena Iran angekuwa na uhakika kabsa wa kuwala dada zake wa Kiislamu wale wajinga bikira 72Kama nchi za kiislam Zina Amani mbona Al Asad hakukimbikia Iran kwa jamaa zake wa damu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena Iran angekuwa na uhakika kabsa wa kuwala dada zake wa Kiislamu wale wajinga bikira 72Kama nchi za kiislam Zina Amani mbona Al Asad hakukimbikia Iran kwa jamaa zake wa damu?
MapumbavuWanaishi kwa kilichoandikwa kwenye maandiko.Ndg zetu waislam wao wameambiwa wakifa wakimpigania mola wao mlezi kuna mademu bikira 72 na mikenyenge itakuwa na nguvu haswa.Wee huogopi?
MajingaPendaneni, Mpende jirani yako kama NAFSI YAKO...
Kule ukifa ukiwa unaipambania dini wewe ni PEPO MOJA KWA MOJA..
Wapi na lini ulisikia Aliyejitoa Mhanga ni Mkristo??
Kule ukijitoa Mhanga unapata Swawabu
Wananpambania Allah wa Hamas?Majinga
Somalia kuna mafuta? Hamas walipomuuwa Joshua huku wakimtaja Allah walikuwa wanapigania mafuta?Hizo nchi zina UTAJIRI wa aina yoyote mkubwa kama MAFUTA?
Zinaingiliwa na nchi zingine katika chaguzi zao, migogoro yao ya ndani n.k?
Hadi umri huo hujui kwanini baadhi ya nchi za imani tofauti na UKRISTO zinapigana vita vya kutengenezwa? Au umeamua kujifurahisha?
Mauwaji au vita vinaweza kutokea popote na kwa sababu mbali mbali. Ukiona mahali Kuna ugaidi au chokochoko zinashamiri basi marekani yuko nyuma ya pazia.Hizi ni baadhi ya nchi zinazo endeshwa kwa misingi ya kikristo na huwezi kuwa kiongozi wa dola ikiwa wewe si mkristo Malta, Armenia, Vatican, England, Denmark, Norway, Iceland nk.
Swali langu ni kwanini huwezi sikia vikundi vya waasi wa kilokole au waasi wa kikatoliki wakiwa msituni wakimpambania mola wao?
Kwanini nchi nyingine kama Syria utasikia sijui wa sunni wameingia msituni kupambana na wasia? Je wanafeli wapi?
Je, nchi zinazo jinasibu zinaongozwa kwa dini ya amani zinawezaje kukosa utulivu miaka nenda rudi?
Mpumbavu ni mtu anayeweza ongea chochote bila kua na Takwimu/facts/references.
Raia wa Libya ana Uchumi mara 5ya raia wa Tanzania ama Kenya😃😄😆
Je we unasikiliza propaganda kua Northe Korea na Iran ni mataifa masikini🤣🤣,wakati wanadevelop nuclear weapons na ICBM,
Je wewe sio mpumbavu?
Tusaidie kwa nn Finland na Norway na Denmark na Sweden hakuna ujinga kama wa middle east watu kifanya upumbavu huku wanamtaja Allah ( "Allahu akbar")Umeuliza swali la kivivu ukitarajia upate ufafanuzi ambao tayari kwa jinsi ulivyouliza swali yamkini unajibu lako hivyo wewe haupo tayari kuujua ukweli.
Ikiwa utautaka ukweli itabidi urudi nyuma uanze kusoma historia ya dunia na umalize usome siasa za dunia.
Hapo utapata ukweli kama lengo lako ni kujifunza na unataka kujua. Mpende kujifunze na kusoma itawasaidia kuwa na majibu ya maswali mepesimepesi.
Wewe hata nchi za kikiristo huzijui na bado unauliza swali la kitoto.Nina mashaka na uwezo wako wa akili na matumizi yake😄😄😄
Pia wewe hujui matumizi ya hiyo simu uliyonayo.
#ELIMU! ELIMU!ELIMU!
Tatizo mnaangaliaga data afu hamchanganua akili vitu mnavyoviona, Utalinganishaje data za GDP za nchi ambayo export yake kuu ni mafuta (malighafi ambayo ni sababu kubwa kwanini wanapigana in the first place ) na Kenya ambayo sekta yake kubwa ni kilimo tena informal
Ni sawa sawa hapa bongo useme GDP yetu kubwa kumbe nusu ya namba mnayoona imebebwa na waarabu na wahindi hawazidi 30; huu ndio uhalisia wa Libya, GDP kubwa lakini pesa karibia yote inatokea kwenye visima vya mafuta vilivyoshikiriwia na wachache pamoja na washirika wao waliopambana kuiua nchi ; ukiondoa hayo manamba iliyoandika Wakenya unaowadharau kwa GDP ndogo wanaishi vizuri kuliko hao waarabu huko Libya
Msisome data juu juu, ingieni ndani mchanganue msingi wa kile kinachoandikwa
Madrasa ( bikira 72)wale waumini sijui huwa wanaaminishana nini, kiongozi wao akisema tuandamane wote wanaunga mkono hakuoa wa kuhoji wala kupinga
Wewe na wapuuzi wenzio mmeanza kuchangia bila hata kumkosoa mleta mada kwa utumbo aliouandika coz ukiitoa vatican hizo zote sio nchi za kikristo.Umejibu nini sasa!? Kama una uelewa mpana zaidi ya mleta mada ungeandika hapa ila kwa ulichoandika ni kama umetuonesha kiwango chako cha ujinga.
Mpumbavu ni mtu asiyejua akajifanya kuelezea kitu kama anajua😀
Hiko nilichokuwekea na ninachokuwekea sio GDP ni Per capital income,......ya Libya ni mara Tano ya Tanzania na Kenya,............
Kwa akili zako unazosema unachanganua,Libya wana maisha magumu kuliko simiyu kule?,......
Kwa hio ambao munachanganua akili hamusomagi data?
No wonder Karume hakusoma ila akamuingiza kingi Nyerere msomi wa Uingerezea sababu ya akili kama zako,Leo Zanzibar ina watu kama mbagala ila GDP yake ni kubwa kuliko Kanda yaziwa yote🤣🤣
Na wewe unaamini denmark na uingereza ni nchi za kikristo?Waarabu kwanini hawakimbilii nchi za Kislam wanakimbilia kwenye nchi za Kikristo?
Kwahiyo wewe Dunia nzima umeiona somalia na Comoro 😂😂. Huoni aibubona hizo nyingine umekwepa kuzitaja?Somalia wanapiganishwa na nani bro? Comoro tu hapo tuliwasaidia sisi; kile kisiwa nacho over 80% ya wakazi wake ni Waislamu. Unaionaje Zanzibar nje ya nuungano, pana amani pale? Hawa suruali fupi wanaweza kuishi na suruali ndefu kwa amani? Tusisingizie mataifa mengine; Angola pia kuna mafuta, wanapigana? Mafuta hayapo Uarabuni pekee yake, Venezuela yapo, Uganda nao wataanza kuchimba soon
MfalmeEngland kikngozi wa dola ni nani? Mfalme au waziri mkuu?
gallow bird
Soma maudhui jumla na uyaelewe. Anzia fungu la 12 na kuendelea ndiyo utelewa kama alikuwa anajisemea mwenyewe au ilikuwa ni (direct) reported speech.
wanachonganishwa na mataifa ya ki keisto ili wapigane wao kwa wao na kujitoa muhangakama wanachonganishwa huoni kuwa hawama akili?