MADAXWEYNE
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,562
- 3,380
Mashaalah wa islam si kondoo. Wana akili zao za kutoshaWaislam ni ......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashaalah wa islam si kondoo. Wana akili zao za kutoshaWaislam ni ......
Urusi, Canada, Mexico, Australia na Brazil raia wengi ni Wakristo.Nchi nyingi za kikistro hazina malighafi za kuendesha viwanda vyao,wengi wanategemea Africa or mashariki ya kati ,na iliwavipate hivyo inabidi waanzishe vita ilikuvichukua Kwa wingi, mfano US anaweza endesha nchi Kwa miaka 100 bila kuchimba or tafuta tena kwakua ameiba sana Iraq,Afghanistan,Lybia,in nutshell ppt penye vita ijue westerners wamebeba na wanaendelea kubeba
Teh!we Jamaa bhana. Pale middle East the only problem ni JAMHURI YA KIISLAMU YA IRAN.😄😄😄😄😄🥱🥱🥱 hapo jalalani ndo takataka gani hizi wanazalisha!!!!
Sasa ww advance ulisoma history ila hukuelewa, nadhani ww ulikuwa unasolve sana mitihani hukupenda kusoma vitabu. Kwa kifupi wewe ulisoma kufaulu.
Back to the topic Mzozo wa middle east kama sijasahau unaelezewa vizuri sana huko advance level of secondary education ya Tz, fukuafukua madesa yako vizur utaukuta.
#ELIMU!ELIMU!ELIMU!
Waarabu ni wajinga tu acha kuwatetea ,hivi wao hawana akili ya kujua kuwa kuna watu wana wachonganisha !?Hizo nchi zina UTAJIRI wa aina yoyote mkubwa kama MAFUTA?
Zinaingiliwa na nchi zingine katika chaguzi zao, migogoro yao ya ndani n.k?
Hadi umri huo hujui kwanini baadhi ya nchi za imani tofauti na UKRISTO zinapigana vita vya kutengenezwa? Au umeamua kujifurahisha?
Hizi ni baadhi ya nchi zinazo endeshwa kwa misingi ya kikristo na huwezi kuwa kiongozi wa dola ikiwa wewe si mkristo Malta, Armenia, Vatican, England, Denmark, Norway, Iceland nk.
Swali langu ni kwanini huwezi sikia vikundi vya waasi wa kilokole au waasi wa kikatoliki wakiwa msituni wakimpambania mola wao?
Kwanini nchi nyingine kama Syria utasikia sijui wa sunni wameingia msituni kupambana na wasia? Je wanafeli wapi?
Je, nchi zinazo jinasibu zinaongozwa kwa dini ya amani zinawezaje kukosa utulivu miaka nenda rudi?
Kwanini Iran iwe tatizo vipi Israel anayefanya ulowezi kwa ardhi ya wengine.Vipi Marekani na Ulaya wanaosupply silaha na fedha mabilioni kwa Israel ili kuchochea vita.Teh!we Jamaa bhana. Pale middle East the only problem ni JAMHURI YA KIISLAMU YA IRAN.
Nchi za kikristo zinaishi kwa amani , Russia na Ukraine huku nchi za kikristo za West zikiipa silaha Ukraine
by way, England si nchi ya kikristo pamoja na nchi za west labda vatican ambayo hujiita ni nchi ya kikristo
View: https://www.youtube.com/watch?v=odwsxXqEIqE
Maarabu majinga wee,na hiyo dini Yao ndio inawafanya wasiwe na akili kabisa mpaka wanakubali KuchonganishwaKwa nn wapigane vita ya kutengenezwa? Hawana akili?
Wamekuwa ng'ombe ambaye anashikishwa jembe alime kwa lazima???
Hizi ni baadhi ya nchi zinazo endeshwa kwa misingi ya kikristo na huwezi kuwa kiongozi wa dola ikiwa wewe si mkristo Malta, Armenia, Vatican, England, Denmark, Norway, Iceland nk.
Swali langu ni kwanini huwezi sikia vikundi vya waasi wa kilokole au waasi wa kikatoliki wakiwa msituni wakimpambania mola wao?
Kwanini nchi nyingine kama Syria utasikia sijui wa sunni wameingia msituni kupambana na wasia? Je wanafeli wapi?
Je, nchi zinazo jinasibu zinaongozwa kwa dini ya amani zinawezaje kukosa utulivu miaka nenda rudi?
Waarabu kwanini hawakimbilii nchi za Kislam wanakimbilia kwenye nchi za Kikristo?
Kama wanakubali kugombanishwa basi hao ni wajinga tena wapumbavu wasio na Akili
Somalia na afghanstan kuna utajiri gani huko?
Unaonekana unajua mambo mengi sana! Tuambie chochote unachokielewa kuhusu boko haram, alshabab na Alqaida na uhusiano na dini ya Kiislamu,maana wote hawa wakichinja mtu,wakiuwa mtu na wakiteka mtu( watoto wa shule kule Nigeria) huwa wanatamka "allahu Akbar"Kwanini Iran iwe tatizo vipi Israel anayefanya ulowezi kwa ardhi ya wengine.Vipi Marekani na Ulaya wanaosupply silaha na fedha mabilioni kwa Israel ili kuchochea vita.
Ndomaana nasema ili kuelewa huo mgogoro kinagaubaga inabidi uweke mahaba na mihemko pembeni kisha utumie akili ndogo tu ya kuzaliwa utajua mbivu na mbichi.
#ELIMU!ELIMU!ELIMU!
Kwahiyo waislamu wanawaua waislamu wenzao?
Unaonekana unajua mambo mengi sana! Tuambie chochote unachokielewa kuhusu boko haram, alshabab na Alqaida na uhusiano na dini ya Kiislamu,maana wote hawa wakichinja mtu,wakiuwa mtu na wakiteka mtu( watoto wa shule kule Nigeria) huwa wanatamka "allahu Akbar"
EnglandUkiiondoa Vatican hizo nchi nyingine zilizobaki ni atheists/ agnostics majority au nusu ya raia wake wengi ni wasio na dini/irreligious. Hizo nchi haziendeshwi kwa misingi ya dini yoyote.
England
View attachment 3175046
Denmark
View attachment 3175047
Malta
View attachment 3175049
Armenia
View attachment 3175050
Norway
View attachment 3175052
Unajua comment kama hii yako zinapendwa na watu kwa sababu ya kukosa uhalisia na evidence, haswa brother min -me ambaye hayuko interested na ukweli bali kuona ukristo ukiongelewa vibaya, kitu ambacho hamjui ni kwamba hata uongo unaweza kuonekana kama ukweli if huo uongo ukaongelewa katika tone ya kishujaa.
England
View attachment 3175046
Denmark
View attachment 3175047
Malta
View attachment 3175049
Armenia
View attachment 3175050
Norway
View attachment 3175052
Unajua comment kama hii yako zinapendwa na watu kwa sababu ya kukosa uhalisia na evidence, haswa brother min -me ambaye hayuko interested na ukweli bali kuona ukristo ukiongelewa vibaya, kitu ambacho hamjui ni kwamba hata uongo unaweza kuonekana kama ukweli if huo uongo ukaongelewa katika tone ya kishujaa.
| LGBT rights in: | Same-sex sexual activity | Recognition of same-sex unions | Same-sex marriage | Adoption by same-sex couples | LGB people allowed to serve openly in military | Anti-discrimination laws concerning sexual orientation | Laws concerning gender identity/expression |
|---|---|---|---|---|---|---|---|
joint adoption legal in 17/27 member states | 4/27 states ban some anti-gay discrimination. 23/27 states ban all anti-gay discrimination |