Nchi za Kikristo zinawezaje kuishi kwa amani namna nii?

Nchi za Kikristo zinawezaje kuishi kwa amani namna nii?

Kwahiyo wewe Dunia nzima umeiona somalia na Comoro 😂😂. Huoni aibubona hizo nyingine umekwepa kuzitaja?
Si umehusisha na rasilimali eti ndio maana Marekani kazibonda, nimeona nikuoneshe nchi ambazo hazina rasilimali ambazo kwa mujibu wako, hizo rasilimali ndio zimeishawishi USA kuzifanya zisiwe na amani; haya Somalia na Comoro ambazo zina waislamu over 80% ya wakazi wake, ehee na zenyewe zinapigana kwasababu USA kawagombanisha? Juzi kati hapo, Msumbiji pia, kikundi cha Kiislma chenye msimamo mkali, kimesababisha nchi ile kukosa amani, nacho ni USA? Well, let's assume kwamba kote huko ni USA ndio sababu, swali ni je, kwanini nyie Waislamu mnadanganyika kirahisi hivo na Wamarekani hata mkaanza kuuana wenyewe kwa wenyewe? Huoni kama mnajitukana kwamba nyie hamna akili? Yaani mwerevu mmoja anazichukua akili zake kuua ndugu zako; huo kama sio WEHU ni nini?
 
Somalia na afghanstan kuna utajiri gani huko?
Somalia wana mafuta mengi na Afghanistan wana one of the largest reserve ya Lithium, in short kwenye ulimwengu unaokuja wa Magari ya Umeme Afghanistan wata play role kubwa sana. Inakadiriwa Lithium yao ina thamani zaidi ya $1 trillion usd

 
Nchi za kikristo ni zipi?, kama nchi zenye wakristo wengi hata Congo DrC, ina wakristo wengi?, Peace is a philosophical term?, hivi amani ni nini ?,na hizo grounds za definition utayoitoa ,je ni universal kwa kila watu ? Ethiopia mbona inakimbiwa sana na watu wake ?
 
Hivi mfano Congo ingekua ni nchi iliyojaa waislam ata 30% unafikiri vikundi kama M23 na vinginevyo visingeitwa vya kigaidi kweli?

Usiendeshwe na propaganda za kimagharibi kama hujawahi fika kwenye nchi husika.
 
Somalia wana mafuta mengi na Afghanistan wana one of the largest reserve ya Lithium, in short kwenye ulimwengu unaokuja wa Magari ya Umeme Afghanistan wata play role kubwa sana. Inakadiriwa Lithium yao ina thamani zaidi ya $1 trillion usd

Kwahiyo hicho ndo chanzo cha vita huko wao kwa wao? Nitajie kampuni angalau hata 1 tu inayochimba mafuta somalia au inayojiandaa kwenda huko na ndo chanzo cha vita
 
Ukiiondoa Vatican hizo nchi nyingine zilizobaki ni atheists/ agnostics majority au nusu ya raia wake wengi ni wasio na dini/irreligious. Hizo nchi haziendeshwi kwa misingi ya dini yoyote.
Mkuu Mimi kwa uelewa wangu,nchi zote za western ni za kikristo,zinaongozwa kikristo.kama mawazo yangu ni ya uongo, naomba unitajie nchi za western ambazo MUISLAMU anaweza kuwa raisi???
 
Ndiyo wanaosababisha matatizo yao,unazo takwimu za wakimbizi wa kiarabu waliokimbilia nchi za kiislam ukilingsnisha na waliokimbilia ulaya?
Jana tuu hapa Al Jazeera wanaonesha wakimbizi wengi wa Syria wapo German wanashangilia kwa swala la Asaad kuondolewa,unachobishia ni Nini?
 
Wakristo wamepewa uhuru katika kumfuata Mungu.

Waislam wanaswagwa kumfuata Allah, hawaruhusiwi kufikiri wala kutumia akili kwa yale wanayoambiwa na viongoZi wao wa dini. Ikitokea kiongozi ni gaidi, wafuasi wake wote wanatumbukizwa kwenye ugaidi.
Mkuu unataka kusema viongozi wa waislamu wana nguvu ya kuwaburuza waumini wao kuliko viongozi wa wakristo wanavyoweza kuwaburuza waumini wao? Hebu tutizame mifano ya nchini kwetu.
 
Kutokana na mafundisho. Islam inataka kupotea kutokana na mwezi kuzama kwenye matope. Unadhani mtu ukimweleza pointi hiyo unafikiri atakuelewa? So wanapoona watu hawaelewi hutumia nguvu nyingi kubaki on trending.
Unataka kusema hilo la mwezi kuzama kwenye matope ni kubwa kuliko watu wasivyoelewa Mungu mmoja kagawanyika mara 3? Utatu.
 
Hizo nchi za ulaya si za kikristo lkn Zina wafuasi wachache wakristo, na wengi wasiamini uwepo wa Mungu(ATHEIST), kiuhalisia ni nchi ambazo zinazoongoza kwa watu wasiofuata wala kuamini dini yoyote,

Nchi nyingi za ulaya hazina dini, kilichowafanya muamini ni watu wa dini fulan sababu kuu ni effects za utawala wa roma na hilo kanisa la Roma ambalo nalo liligawika na kuunda vijikanisa vidogo kama ulutheri, usabato na TAKATAKA zingine.

pia sababu nyingine ni kuwa ktk Sheria zao dini ya ukristo haipigwi vita sababu haina itikadi za hovyo za kulazimishana kuamini mambo fulan kama ilivyo dini ya uislam ambayo waumini wake Wana mihemko ya kuwahukumu wasiofuata taratibu za dini,

Sababu kuu ya kufanikiwa kucontrol itikadi Kali za kidini imesababishwa na elimu+Sheria za utu na uhuru wa mtu kuamini anachokipenda, tofauti na nchi ambazo mpaka Leo hii zinatumia Sheria za kitabu kilichoandikwa na wajinga wa mamia ya miaka iliyopita huku suala la UTU+UHURU wa mtu ukipigwa vita, kwa namna hii mifarakano, kusalitiana na kupigana kisa tofauti za misimamo ya kidini hakuwezi kuisha.
Umesema hizo nchi watu wengi ni wasiokuwa na dini na wasiomini Mungu na hiyo nadhani ndio kinachowafanya waweze kucontrol itakadi za dini maana hakuna hao waumini wengi wa dini. Ndio maana kwao inawezekana hata wapenzi wa jinsia moja kuzingatiwa uhuru wao kitu ambacho hata Tanzania hakiwezekani kwa sababu ya waumini wengi wa imani za dini.
 
Wakristo wanaishi na wengine vzr kwa amani, kila waislam kimaandiko wanataman kuua kila asiye muislam hapo ndo tatizo linaanza
Utaishi vp kwa amani na mwengine ambaye anataka kukuuwa? Wewe unaweza kuishi na mtu ambaye anataka kukuuwa?
 
Maana yako ni ipi mkuu?
Maana yangu ni kwamba hauwezi kujisifu kuwa wewe unaishi kwa amani na wengine ikiwa hao wengine wenyewe hawataki kuishi kwa amani na wewe wanataka kuuwa, ukiona unaishi kwa amani na watu wengine basi hao wengine nao wamechagua kuishi kwa amani na wewe.
 
Kwahiyo hicho ndo chanzo cha vita huko wao kwa wao? Nitajie kampuni angalau hata 1 tu inayochimba mafuta somalia au inayojiandaa kwenda huko na ndo chanzo cha vita
Wewe umeuliza hizo nchi zina Mali gani nimekujibu Mali walio nazo,
 
Unataka kusema hilo la mwezi kuzama kwenye matope ni kubwa kuliko watu wasivyoelewa Mungu mmoja kagawanyika mara 3? Utatu.
Hakuna andiko linalosema Mungu kagawanyika Mara tatu. Lkn hata Kama amegawanyika kinachokushangaza Nini hapo?
Coz mm kinanishanga kuzama kwenye tope wakati huu wa teknology Mambo yanajulikana Sasa kwamba mlipigwa na bado mnashadadia Kama mmelishwa limbwata
 
Back
Top Bottom