Nchi za Kikristo zinawezaje kuishi kwa amani namna nii?

Nchi za Kikristo zinawezaje kuishi kwa amani namna nii?

Kwa nini walienda German,wasingeenda huko uturuki kwa waislamu wenzao,ni kwamba hawajui Kama Kuna uturuki au shida Nini?
Kuna wakimbizi zaidi ya 3m wa syria uturuki,hapo bado nchi zingine za kiislam wapo,huko ujerumani waende tu,wazungu si ndiyo wanachokonoa nchi za watu!
 
Tatzo kubwa Linaanzia Unapoambiwa ukifa Kwa Kujitoa Mhanga Unaenda Peponi yani Ukishakalilishwa hivyo hapo ujue Shida inapo Anzia
 
Kuna wakimbizi zaidi ya 3m wa syria uturuki,hapo bado nchi zingine za kiislam wapo,huko ujerumani waende tu,wazungu si ndiyo wanachokonoa nchi za watu!
Asa wafanye kukimbilia kwa waislamu wenzao na sio kwenda kwa makafiri
 
Huko kwa makafiri walioleta fitna ndiyo kuzuri
Halafu mkifika kwa makafiri mnaanza kudai sijui hamtaki nguruwe wawe mlo mashuleni,mara mnadai sharia za kiislamu,mmepewa hitadhi haf mnaleta chokochoko Tena?? Huwa najiuliza akili zao haziko vizuri au?
 
Hizo nchi zina UTAJIRI wa aina yoyote mkubwa kama MAFUTA?

Zinaingiliwa na nchi zingine katika chaguzi zao, migogoro yao ya ndani n.k?

Hadi umri huo hujui kwanini baadhi ya nchi za imani tofauti na UKRISTO zinapigana vita vya kutengenezwa? Au umeamua kujifurahisha?
Mafuta yapo urusi na nchi za Scandinavian
 
Halafu mkifika kwa makafiri mnaanza kudai sijui hamtaki nguruwe wawe mlo mashuleni,mara mnadai sharia za kiislamu,mmepewa hitadhi haf mnaleta chokochoko Tena?? Huwa najiuliza akili zao haziko vizuri au?
Wapi wakimbizi wa syria wamedai hayo?.. unahangaika kihoja kama malaya anayetafuta bwana!
 
Hakuna andiko linalosema Mungu kagawanyika Mara tatu. Lkn hata Kama amegawanyika kinachokushangaza Nini hapo?
Coz mm kinanishanga kuzama kwenye tope wakati huu wa teknology Mambo yanajulikana Sasa kwamba mlipigwa na bado mnashadadia Kama mmelishwa limbwata
Habari za kuzama kwenye matope ni kwamba hakuna mafundisho ya waislamu yenye kusema jua huwa linazama kwenye matope, na hata ikiwa hivyo ni tofauti na issue ya kusema Mungu ni mmoja ila hapo hapo kuna Mungu Baba, Mwana na Roho mtakatifu suala ambalo hata wakristo wenyewe hawalielewi na ndio linahusu Mungu wanae muamini.
 
Habari za kuzama kwenye matope ni kwamba hakuna mafundisho ya waislamu yenye kusema jua huwa linazama kwenye matope, na hata ikiwa hivyo ni tofauti na issue ya kusema Mungu ni mmoja ila hapo hapo kuna Mungu Baba, Mwana na Roho mtakatifu suala ambalo hata wakristo wenyewe hawalielewi na ndio linahusu Mungu wanae muamini.
Vipi swala lenu lakusema mtume Muhammad Ali panda na farasi mpka mbinguni ili apewe swala tano unaona linaingia akilini mtu kupanda na farasi mpka mbinguni au ni uchwara??
 
Usipojielewa halafu ukawa dini ile, ndo hawachelewi kusema ukijilipua moja kwa moja peponi.
Kila mtu na anavyoamini, kuna watu wasiojielewa walikanyagana kama mende na wengine kupoteza maisha kwa kugombea kukanyaga mafuta kwa kuamini walivyoaminishwa.
 
Vipi swala lenu lakusema mtume Muhammad Ali panda na farasi mpka mbinguni ili apewe swala tano unaona linaingia akilini mtu kupanda na farasi mpka mbinguni au ni uchwara??
Shida ipo wapi kutoingia akilini? Kuna mambo kibao yapo ila hayaingii akilini.
 
Kila mtu na anavyoamini, kuna watu wasiojielewa walikanyagana kama mende na wengine kupoteza maisha kwa kugombea kukanyaga mafuta kwa kuamini walivyoaminishwa.

Majanga juu ya majanga
 
Kumbe marekan yupo huko anaendelea kupgana huko
We UNAFKIRI kujenga Nchi ni kama kucheza tu game la simu? Utawaliwe na wazungu, upate uhuru miaka zaidi ya 40 nchi yako haitawaliki akitoka huyu anakuja huyu, then upewe nchi miaka 2 itengemae?
 
Habari za kuzama kwenye matope ni kwamba hakuna mafundisho ya waislamu yenye kusema jua huwa linazama kwenye matope, na hata ikiwa hivyo ni tofauti na issue ya kusema Mungu ni mmoja ila hapo hapo kuna Mungu Baba, Mwana na Roho mtakatifu suala ambalo hata wakristo wenyewe hawalielewi na ndio linahusu Mungu wanae muamini.
Sio lazima waelewe maana tunatofautiana uelewa. Lkn mbona iko wazi na imenyooka kabisa. Iko hivi; yesu Ni mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote kabla ya dunia na baada yakufufuka. Ukitaka maandiko unapewa.

Mungu anamtoto mmoja ambaye Ni yesu ambaye naye ametuzaa sisi. Kiufupi unaweza kuiweka hivi, Mungu Ni mmoja ambaye alimuumba/mzaa yesu kristo Kisha yesu akatuumba sisi wanadamu lkn yesu mwenyewe japo alituumba bado anatuhimiza sisi tumjue baba yake coz bila baba yake, yesu mwenyewe asingekuwepo Wala sisi tusingekuwepo. Lkn sisi tunamuona yesu Ni Mungu kwa sababu ya ule uwezo aliopewa wa kutuumba. Sasa Mungu watatu wako wapi?
 
Back
Top Bottom