fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Rishi sunak aliwahi kuwa waziri mkuu england,alikuwa mkristu?Hizi ni baadhi ya nchi zinazo endeshwa kwa misingi ya kikristo na huwezi kuwa kiongozi wa dola ikiwa wewe si mkristo Malta, Armenia, Vatican, England, Denmark, Norway, Iceland nk.
Swali langu ni kwanini huwezi sikia vikundi vya waasi wa kilokole au waasi wa kikatoliki wakiwa msituni wakimpambania mola wao?
Kwanini nchi nyingine kama Syria utasikia sijui wa sunni wameingia msituni kupambana na wasia? Je wanafeli wapi?
Je, nchi zinazo jinasibu zinaongozwa kwa dini ya amani zinawezaje kukosa utulivu miaka nenda rudi?
Bora umenisaidia kumjibu😄😄😄😄Mbona hata wewe unatamka Allahu akbar , au wewe ni mwislamu ??
Uingereza sio taifa la dini ya Ukiristo tena kwa sheria au kwa wingi wa watu, Mfalme au Malkia wa Uingereza kuwa mkuwa wa kanisa la Anglican hakuifanyi Uingereza kuwa taifa la kidini. 46% ya Uingereza ndio Wakristo kwa sasa.
Iyo Palestine ikiwa ww mkamilifu kiakili uwezi Tofautisha na Wahutu waliouliwa kwa umati ndani y kanisani kuna tofauti gani mana Pelestine ni kama Nyumba iliozungukwa pande zote kisha ndio Taifa teule linapigana nao umo ndani watu awanaKwa hiyo hamas walivyokuwa wanabaka kule Israel October 7
Wakikojoa wanasema "allahu akbar" ndo welevu huo? Halafu yameuliwa kwa wingi yana matumaini yakwenda kufanya ngono peponi huku huyo Allah wenu anashuhudia show jinsi watu wanavyotolewa bikira.!!!!!!!! Kweli nyani haoni kundule
wanachonganishwa na mataifa ya ki keisto ili wapigane wao kwa wao na kujitoa muhanga
Zipo nchi nyingi tu za kiislamu zenye amani kama ,Brunei, Malaysia, Oman,Qatar,Kuwait Indonesia,United Arab Emirates.
Denmark ni taifa la Kikristo kama Tanzania ilivyoandika ni taifa la kijamaa katika katiba yake.
Anglican UK wameruhusu ndoa za jinsia mojanchi gani ni ya Kikristo ?? Nchi ya kikristo inaruhusu mwanume kuolewa na mwanaume mwenzake ??
Huko West kuna kitu wanaita "Christian Atheism". Hawa ni watu wanaojiita Wakristo lakini hawaamini mungu.England
View attachment 3175046
Denmark
View attachment 3175047
Malta
View attachment 3175049
Armenia
View attachment 3175050
Norway
View attachment 3175052
Unajua comment kama hii yako zinapendwa na watu kwa sababu ya kukosa uhalisia na evidence, haswa brother min -me ambaye hayuko interested na ukweli bali kuona ukristo ukiongelewa vibaya, kitu ambacho hamjui ni kwamba hata uongo unaweza kuonekana kama ukweli if huo uongo ukaongelewa katika tone ya kishujaa.
Somalia na afghanstan kuna utajiri gani huko?kweli elimu yako ni ndogo sana au ulisoma Ngumbaro
Anglican uk ni nchi ya kikristo? Pili ni wapi biblia au ukristo unasema ushoga ruksa?Anglican UK wameruhusu ndoa za jinsia moja
Ni kwa vile ulizaliwa jana. Nchi za Kikristo zilishapigana vita vya JIHAD. Wenyewe walilibatiza jina la Cruseders war. Hata Masjid Sofia kule Uturuki wakristo wa Kiorhodox na wakatoliki walishapokezana sana kuimiliki kwa kutumia panga na jambia. Pia Wakristo walishawahi kuikamilia Yerusalemu wa kutumia jambia na mapanga wakimpigania Mungu wao kabla hawajaondolewa na Makundi wa waislam.Hizi ni baadhi ya nchi zinazo endeshwa kwa misingi ya kikristo na huwezi kuwa kiongozi wa dola ikiwa wewe si mkristo Malta, Armenia, Vatican, England, Denmark, Norway, Iceland nk.
Swali langu ni kwanini huwezi sikia vikundi vya waasi wa kilokole au waasi wa kikatoliki wakiwa msituni wakimpambania mola wao?
Kwanini nchi nyingine kama Syria utasikia sijui wa sunni wameingia msituni kupambana na wasia? Je wanafeli wapi?
Je, nchi zinazo jinasibu zinaongozwa kwa dini ya amani zinawezaje kukosa utulivu miaka nenda rudi?
Ulishawahi kuisikia kitu kinait wa HOLY ROMAN EMPIRE?? Basi enzi zile dini halikuwa suala la mtu binafsi. Ilikuwa ni lazima kuishi na kufa ukiutete Ukatoliki. Hadi walipokuja kustaarabika baada ya Mapinduzi ya umwagaji damu ya ya Ufaransa. Mapinduzu haya yalisababisha hadi Papa wa Kikatoliki kufia kizuizini kule Ufaransa. Baada ya pale wakristo waliona kumbe ni ujinga tu dini kuifanya kuwa Communal, ndo uhuru wa kuabudu unachotaka ukaja.Kwa wakristo dini ni personal, hulazimishwi kua muumini, wa waislamu dini ni community, lazima kila mtu awe na dini, ukikataa dini ni kifo na mbaya zaidi kila mtu anatafsiri yake ambayo anataka ailazimishe kwa mwenzake.
Eeee Mkuu ikitokea mwislamu mwenzao kazingua wanakufa nae ili kuwahi bikira pia wameambiwa kwenye maandiko yao kutakuwa na mito ya pombe. mambo ni mengi kweli kweli kuliko MENGI yenyewe mkuundio wapigane waislamu kwa waislamu?
Mola wao anahitaji ushauri kutoka kwa Dokta Janabi
Somalia na afghanstan kuna utajiri gani huko?
Nah ! Ukiacha vatican zoote zinafuata secularism hakuna nchi inayoongozwa "kikristo".Hizi ni baadhi ya nchi zinazo endeshwa kwa misingi ya kikristo na huwezi kuwa kiongozi wa dola ikiwa wewe si mkristo Malta, Armenia, Vatican, England, Denmark, Norway, Iceland nk.
Swali langu ni kwanini huwezi sikia vikundi vya waasi wa kilokole au waasi wa kikatoliki wakiwa msituni wakimpambania mola wao?
Kwanini nchi nyingine kama Syria utasikia sijui wa sunni wameingia msituni kupambana na wasia? Je wanafeli wapi?
Je, nchi zinazo jinasibu zinaongozwa kwa dini ya amani zinawezaje kukosa utulivu miaka nenda rudi?
Anglican UK wameruhusu ndoa za jinsia moja