Pre GE2025 Nchimbi anazungumzia kifo cha Kibao wa CHADEMA, asema "Zikianza kelele ‘Mbowe Must Go’ zinashindikana"

Pre GE2025 Nchimbi anazungumzia kifo cha Kibao wa CHADEMA, asema "Zikianza kelele ‘Mbowe Must Go’ zinashindikana"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Emmanuel Nchimbi , Kuzungumza Na Wahariri na Waandishi waandamizi wa Vyombo Vya Habari Leo Jijini Dar es salaam.


Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema “Kuna kauli ya BAVICHA tumeisikiwa wanasema Samia Must Go, yupo pale kwa mujibu wa Katiba, moja ya sifa ya Kijana anayeandaliwa vizuri ni kufundishwa kuheshimu Katiba… Wanaojua Demokrasia ndio maana Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA mpaka leo, zilipoanza kelele za Mbowe Must Go zimeshindikana kwa kuwa ni kinyume cha Katiba yao.”
 


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Emmanuel Nchimbi , Kuzungumza Na Wahariri na Waandishi waandamizi wa Vyombo Vya Habari Leo Jijini Dar es salaam.

Matendo mnayoyafanya na mnayoyaongea ni ardhi na mbingu.

Mnaendelea kuua kwa kusingizia amani.

CCM haiaminiki na sishawishi mtu ywyote awaamini CCM. Dawa ni kuiweka nje na madaraka wajipange.

CCM inafanya mazungumzo na vyama na haifanyi maridhiano na raia ambao kimsingi tunavunjiwa haki zetu

Swali kuu.
Vituo vingi vya polisi kuna karakana za kutesea na kuua watu. Hizi karakana zinakidhi Katiba na sheria za nchi yetu?
 


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Emmanuel Nchimbi , Kuzungumza Na Wahariri na Waandishi waandamizi wa Vyombo Vya Habari Leo Jijini Dar es salaam.

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema “Kuna kauli ya BAVICHA tumeisikiwa wanasema Samia Must Go, yupo pale kwa mujibu wa Katiba, moja ya sifa ya Kijana anayeandaliwa vizuri ni kufundishwa kuheshimu Katiba… Wanaojua Demokrasia ndio maana Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA mpaka leo, zilipoanza kelele za Mbowe Must Go zimeshindikana kwa kuwa ni kinyume cha Katiba yao.”

Hazikushindwa kwa sababu ya katiba bali hazikuungwa mkono na wengi. Hata hii kama haitaungwa mkono na watu wengi haitafanikiwa. Kumtaka kiongozi aliyekuwa madarakani aondoke ni sehemu ya uhuru wa maoni unaolindwa na Katiba. Kusema aondoke ni maana sanduku la kura ndio litamuondoa na si vinginevyo.

Ni kama vile kusema kuwa "tunataka kiongozi aliyekuwepo aendelee kwa miaka mingine" sio kuvunja kabisa. Hakumaanishi kuwa watalazimisha aendelee bali watafanya kila jitihadi apigiwe kura za kuendelea.

Kama kusema " must go" ni kuvunja Katiba basi hata kusema " mitano mingine" pia ni kuvunja Katiba. Tuwaachie watu waseme na tuhakikisha kuwa uamuzi wa mwisho unakuwa wa wapiga kura.

Amandla...
 


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Emmanuel Nchimbi , Kuzungumza Na Wahariri na Waandishi waandamizi wa Vyombo Vya Habari Leo Jijini Dar es salaam.

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema “Kuna kauli ya BAVICHA tumeisikiwa wanasema Samia Must Go, yupo pale kwa mujibu wa Katiba, moja ya sifa ya Kijana anayeandaliwa vizuri ni kufundishwa kuheshimu Katiba… Wanaojua Demokrasia ndio maana Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA mpaka leo, zilipoanza kelele za Mbowe Must Go zimeshindikana kwa kuwa ni kinyume cha Katiba yao.”

Kumbe hata wewe Nchimbi, unajua kuwa Chadema Wana Katiba yao, ambayo inamruhusu Mbowe awe ni Mwenyekiti wao Hadi sasa!

Sasa Kwa nini huwapigi marufuku hao CCM wenzako "wachochezi" ambao Kila siku hawachoki kushinikiza Mbowe, ang'oke kutoka chama hicho Cha Chadema??😳
 
#shemustgo!

I don't know why, but i think she must resign. CCM please let her go.
Msimung'unye maneno .
Tunajua mnambembeleza aendelee kuwepo ila hata yeye alishasema hakuwahi kuiwazia nafasi aliyonayo ni kwa kudra tu. She don't have any vision for this country. Thus why tunapelekwa pelekwa tu.
 


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Emmanuel Nchimbi , Kuzungumza Na Wahariri na Waandishi waandamizi wa Vyombo Vya Habari Leo Jijini Dar es salaam.

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema “Kuna kauli ya BAVICHA tumeisikiwa wanasema Samia Must Go, yupo pale kwa mujibu wa Katiba, moja ya sifa ya Kijana anayeandaliwa vizuri ni kufundishwa kuheshimu Katiba… Wanaojua Demokrasia ndio maana Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA mpaka leo, zilipoanza kelele za Mbowe Must Go zimeshindikana kwa kuwa ni kinyume cha Katiba yao.”

Hii inaonyesha ni kiasi gani ccm na serikali yake ipo kwenye wakati mgumu kuamua mustakabali wa hali ilipofikia,hawakutegemea hali kuwa hivi ilivyo,sasa wanajaribu na kujitahidi kuwalegeza wananchi kwa kumzungumzia Mbowe kirafiki.
 


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Emmanuel Nchimbi , Kuzungumza Na Wahariri na Waandishi waandamizi wa Vyombo Vya Habari Leo Jijini Dar es salaam.

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema “Kuna kauli ya BAVICHA tumeisikiwa wanasema Samia Must Go, yupo pale kwa mujibu wa Katiba, moja ya sifa ya Kijana anayeandaliwa vizuri ni kufundishwa kuheshimu Katiba… Wanaojua Demokrasia ndio maana Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA mpaka leo, zilipoanza kelele za Mbowe Must Go zimeshindikana kwa kuwa ni kinyume cha Katiba yao.”

CCM Must Go!
 
Back
Top Bottom