Pre GE2025 Nchimbi anazungumzia kifo cha Kibao wa CHADEMA, asema "Zikianza kelele ‘Mbowe Must Go’ zinashindikana"

Pre GE2025 Nchimbi anazungumzia kifo cha Kibao wa CHADEMA, asema "Zikianza kelele ‘Mbowe Must Go’ zinashindikana"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Emmanuel Nchimbi , Kuzungumza Na Wahariri na Waandishi waandamizi wa Vyombo Vya Habari Leo Jijini Dar es salaam.

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema “Kuna kauli ya BAVICHA tumeisikiwa wanasema Samia Must Go, yupo pale kwa mujibu wa Katiba, moja ya sifa ya Kijana anayeandaliwa vizuri ni kufundishwa kuheshimu Katiba… Wanaojua Demokrasia ndio maana Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA mpaka leo, zilipoanza kelele za Mbowe Must Go zimeshindikana kwa kuwa ni kinyume cha Katiba yao.”




Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Emmanuel Nchimbi , Kuzungumza Na Wahariri na Waandishi waandamizi wa Vyombo Vya Habari Leo Jijini Dar es salaam.

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema “Kuna kauli ya BAVICHA tumeisikiwa wanasema Samia Must Go, yupo pale kwa mujibu wa Katiba, moja ya sifa ya Kijana anayeandaliwa vizuri ni kufundishwa kuheshimu Katiba… Wanaojua Demokrasia ndio maana Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA mpaka leo, zilipoanza kelele za Mbowe Must Go zimeshindikana kwa kuwa ni kinyume cha Katiba yao.”

Sawa
 
W
Wawarudishe wanachama wa cdm wakiwa hai au wamekufa. Bila kufanya walichofanya wamasai, ccm na serekali yao wataendelea kufaidika na huu ukatili wanaowafanyia wapinzani.

Kusema Samia must go, ndio , uchaguzi unakuja, watu wasio mchagua ,atawndelea vipi kuwa kiongozi!? Utekaji na utesaji kisha mauaji holela yanayo endelea ,nchini , imawashawishi watu kuona kwamba ameshindwa kudhibiti hali ya usalama nchini, kama watu wanapotezwa hovyo, Bunge halichukui hatua, Serikali haichukui hatua, unatarajia vyama vya upinzani vibaki kimya!?
 


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Emmanuel Nchimbi , Kuzungumza Na Wahariri na Waandishi waandamizi wa Vyombo Vya Habari Leo Jijini Dar es salaam.

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema “Kuna kauli ya BAVICHA tumeisikiwa wanasema Samia Must Go, yupo pale kwa mujibu wa Katiba, moja ya sifa ya Kijana anayeandaliwa vizuri ni kufundishwa kuheshimu Katiba… Wanaojua Demokrasia ndio maana Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA mpaka leo, zilipoanza kelele za Mbowe Must Go zimeshindikana kwa kuwa ni kinyume cha Katiba yao.”

Yuko pale kwa mujibu wa katiba au kwa mujibu wa 'kijitabu'?
 
Hazikushindwa kwa sababu ya katiba bali hazikuungwa mkono na wengi. Hata hii kama haitaungwa mkono na watu wengi haitafanikiwa. Kumtaka kiongozi aliyekuwa madarakani aondoke ni sehemu ya uhuru wa maoni unaolindwa na Katiba. Kusema aondoke ni maana sanduku la kura ndio litamuondoa na si vinginevyo.

Ni kama vile kusema kuwa "tunataka kiongozi aliyekuwepo aendelee kwa miaka mingine" sio kuvunja kabisa. Hakumaanishi kuwa watalazimisha aendelee bali watafanya kila jitihadi apigiwe kura za kuendelea.

Kama kusema " must go" ni kuvunja Katiba basi hata kusema " mitano mingine" pia ni kuvunja Katiba. Tuwaachie watu waseme na tuhakikisha kuwa uamuzi wa mwisho unakuwa wa wapiga kura.

Amandla...
Kumtaka kiongozi aliyeingia ikulu kwa kuchaguliwa ( akiwa mgombea mwenza wa hayati JPM) eti aondoke kwa matakwa ya wajinga wachache ni dharau kwake huyo kiongozi na mfumo mzima uliohangaika kumweka ikulu.

Unapoidharau mamlaka ni lazima itashughulika na wewe, huo ndio ukweli wenyewe.

Tafuteni kazi, kuna uwekezaji mwingi sana unaendelea kufanyika ndani ya muda huu hapa Tanzania.
 
Takwimu za kipuuzi hatuzihitaji
Hilo ni jeshi la police au jeshi la wauaji
Juzi tu wameua mwanafunzi Geita
 


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Emmanuel Nchimbi , Kuzungumza Na Wahariri na Waandishi waandamizi wa Vyombo Vya Habari Leo Jijini Dar es salaam.


Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema “Kuna kauli ya BAVICHA tumeisikiwa wanasema Samia Must Go, yupo pale kwa mujibu wa Katiba, moja ya sifa ya Kijana anayeandaliwa vizuri ni kufundishwa kuheshimu Katiba… Wanaojua Demokrasia ndio maana Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA mpaka leo, zilipoanza kelele za Mbowe Must Go zimeshindikana kwa kuwa ni kinyume cha Katiba yao.”

Ndio kasema nini hapo.Au anazugazuga tu.
Aweke wazi kuwa tamko la Mbowe ni la utovu wa nidhamu.
Hata asipokuwa Samia basi na yeye hafai kuwa raisi wa Tanzania.
 
Mkuu, kwa hiyo Tume ya Uchaguzi ya sasa sanduku la kura ni butu, halifanyi kazi. Wanatangaza mshindi wanayemtaka
Ndio maana badala ya kulaumu wanaosema mtu fulani aondoke inabidi wenye mamlaka watuhakikishie kuwa tutapiga kura kwa uhuru kabisa na zitahesabiwa na kutangazwa kwa uwazi na haki. Kama hicho hakiwezekani mbadala wake utakuwa mbaya.

Amandla...
 
Nukuu za Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Dkt. Emmanuel J. Nchimbi akizungumza kwenye Mkutano wa Wahariri na Waandishi Waandamizi wa Vyombo vya Habari tarehe 13 Septemba, 2024 Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba - Dar es Salaam.

IMG-20240913-WA0189.jpg
IMG-20240913-WA0187.jpg
IMG-20240913-WA0186.jpg
IMG-20240913-WA0185.jpg
IMG-20240913-WA0191.jpg
IMG-20240913-WA0190.jpg
IMG-20240913-WA0192.jpg
IMG-20240913-WA0188.jpg
 
Tafuteni kazi, kuna uwekezaji mwingi sana unaendelea kufanyika ndani ya muda huu hapa Tanzania.
Uwezekezaji? Uliwahi kusikia kauli ya hayati Mkapa kuhusu maamuzi ya kuachia miradi ya serikali chini ya wawekezaji?
Serikali kubinafsisha rasilimali zake kwa wawekezaji ni kukwepa uwajibikaji.
 
Back
Top Bottom