Pre GE2025 Nchimbi anazungumzia kifo cha Kibao wa CHADEMA, asema "Zikianza kelele ‘Mbowe Must Go’ zinashindikana"

Pre GE2025 Nchimbi anazungumzia kifo cha Kibao wa CHADEMA, asema "Zikianza kelele ‘Mbowe Must Go’ zinashindikana"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nilitaka kukuona wewe mchambuzi mzuri na muona mbali. Lakini niliposoma hapo kwa Edo ndo nikaona kuwa na wewe kumbe ni wale wale wababaishaji wa siasa.

Ukweli ni kwamba Edo hajawahi kuhama CCM, bali alikuja kuvuruga ushindi wa Chadema na upinzani kwa ujumla baada ya kusikia kuwa vyama vya upinzani vina mpango wa kushirikiana ili visimamishe mgombea mmoja wa kupambana na CCM, na bila shaka mgombea huyo angekuwa ni Dr Slaa kwa wakati ule ndo alikuwa mwenye ushawishi mkubwa kwa upande wa upinzani.

Lengo la CCM kumtuma Edo upinzani ilikuwa ni kuhakikisha kuwa yeye ndo anatumia ushawishi wake na hata pesa zake alizopewa na CCM kumwangusha mgombea yoyote wa upinzani anaetarajiwa kuchaguliwa ili apitishwe yeye kuharibu uchaguzi.

Na kweli baada ya mission kukamilika alirudi alipotoka.
 
Isingekua Mbowe Ccm ingekua imeshatoka madarakani tangu 2015, Ccm wananufaika na Mbowe.
Ila kwasababu Tz Nyumbu ni wengi hawawezi kusoma mchezo
Inawezekana ni kweli. Huyu anakula tu pesa za maccm kwa mwamvuli wa upinzani
 
Nilitaka kukuona wewe mchambuzi mzuri na muona mbali. Lakini niliposoma hapo kwa Edo ndo nikaona kuwa na wewe kumbe ni wale wale wababaishaji wa siasa.

Ukweli ni kwamba Edo hajawahi kuhama CCM, bali alikuja kuvuruga ushindi wa Chadema na upinzani kwa ujumla baada ya kusikia kuwa vyama vya upinzani vina mpango wa kushirikiana ili visimamishe mgombea mmoja wa kupambana na CCM, na bila shaka mgombea huyo angekuwa ni Dr Slaa kwa wakati ule ndo alikuwa mwenye ushawishi mkubwa kwa upande wa upinzani.

Lengo la CCM kumtuma Edo upinzani ilikuwa ni kuhakikisha kuwa yeye ndo anatumia ushawishi wake na hata pesa zake alizopewa na CCM kumwangusha mgombea yoyote wa upinzani anaetarajiwa kuchaguliwa ili apitishwe yeye kuharibu uchaguzi.

Na kweli baada ya mission kukamilika alirudi alipotoka.
Kuelewa hili D mbili hazitoshi, ni mpaka sisi tuliosomea kiuba!!
 
Nilitaka kukuona wewe mchambuzi mzuri na muona mbali. Lakini niliposoma hapo kwa Edo ndo nikaona kuwa na wewe kumbe ni wale wale wababaishaji wa siasa.

Ukweli ni kwamba Edo hajawahi kuhama CCM, bali alikuja kuvuruga ushindi wa Chadema na upinzani kwa ujumla baada ya kusikia kuwa vyama vya upinzani vina mpango wa kushirikiana ili visimamishe mgombea mmoja wa kupambana na CCM, na bila shaka mgombea huyo angekuwa ni Dr Slaa kwa wakati ule ndo alikuwa mwenye ushawishi mkubwa kwa upande wa upinzani.

Lengo la CCM kumtuma Edo upinzani ilikuwa ni kuhakikisha kuwa yeye ndo anatumia ushawishi wake na hata pesa zake alizopewa na CCM kumwangusha mgombea yoyote wa upinzani anaetarajiwa kuchaguliwa ili apitishwe yeye kuharibu uchaguzi.

Na kweli baada ya mission kukamilika alirudi alipotoka.
Hapana, ukiweka hisia kando utanielewa.

Do you know much Mbowe was paid kumu accomodate Lowassa ?whose fault is that , edo or mbowe? Edo alikuwa anatafuta reliefs baada ya kukataliwa, it was mbowe kumkataa na yeye il asimamie misingi ya Chadema ,it is all because of mbowe
Let’s say Edo alitumwa, then mbowe angekataa kumpokea , je kungekuwa na impact yoyote?
Kataa ujinga, make your reasoning reasonable

, Mbowe is snitch and because of him , Chadema has no future

Swallow it
 
Nadhani wote mmemsikia kwa makini Nchimbi, kama mme Connect dot vema mtagundua mbowe ni keen wa CCM and he is a stabilizer.

maandamano kuwekwa two weeks after, nikutafuta stabilization na kwa hakika hayatotokea kwa sababu gvt itanyamazisha wale vimbelembele wote.

maandamano yalipaswa kufanywa the following day baada ya kufanya kikao chao ; maandamano yanapswa kuwa shambulizi la kustukiza na sio kupanga, wakijua unapanga..... then utafeli.

Kwa mfano, Edo kuhama CCM ilikuwa ni shambulizi la kustukiza, it gave them hard time kumkabili Edo na walishindwa. Edo alishinda Urais, suala la nani alitangazwa hilo ni lingine.

Kuna kitu Chadema hampendi kusikia, Mbowe ni zuga boy , sio mpinzani, ni stabilizer . A day mbowe ataachana na Chadema ndio itakuwa rebirth ya chadema na kitaweza kuchukua dola.

For as long as mbowe yupo Chadema .... it will never happen, Mbowe hajawahi kuwa mpinzani.

Mpinzani wa kweli Chadema ni Tundu Lissu, this guy anamaanisha upinzani wake : Mnyika ni mpinzani wa kweli , Sugu ni mpinzani wa kweli. Mbowe ni zuga boy na hana tofauti na ZZK!

Kama huna D mbili, hutonielewa, samahani lakini.

Dr. Megalodon, Otawwa
Mbowe must go
 
There is sense, apparently, in what you are postulating mkuu. Mpaka sasa najiuliza zile simu (5x) anazodai Nchimbi kupigiwa na Mbowe mapema baada ya tukio zilikuwa na umuhimu/lengo gani?

Nchimbi kama nani mwenye umuhimu gani kwa CDM? Au ni uongo?
 
There is sense, apparently, to what you are postulating mkuu. Mpaka sasa najiuliza zile simu (5x) anazodai Nchimbi kupigiwa na Mbowe mapema baada ya tukio zilikuwa na umuhimu/lengo gani?

Nchimbi kama nani mwenye umuhimu gani kwa CDM? Au ni uongo?
Zile SIMU ni kweli ;tatizo kubwa wanachadema wanaugonjwa wa Cognitive dissonance. Narudia tena
Mbowe sio Mpinzani bali ni opportunist.

Mbowe Hana tofauti na Maalim Seif , ZZK .

Ndio manaa Pascal mayalla. Mwandishi nguli na mwenye weledi anasisitza tanzania hakuna upinzani wa kuitoa CCM
Maandamano unaweka 14 days , CCM ikuangalie, sio kwamba hajui, bali hapo anasubiri fungo lake , jamaa ni
Snitch and not to be trusted at all

I wish sana uenyekiti achukue Lissu, Mbowe astaafu…. Naamini chadema itapata rebirth

Otherwise ni waste of time
 
Back
Top Bottom