Nchimbi: Kiongozi wa kweli habagui anaowangoza. Huwezi kuwa na vikosi vya upelelezi muda wote unatafuta wenzako wanasema nini

Hakika Katibu wangu...Kwanza kiongozi anayegawanya watu Hana kujiamini na ana wasiwasi kwakua anajua anapwaya...Kiongozi anayejiamini na anayefanya Kwa weledi hawezi kuwa Kila mara anawaza watu wanasema Nini kwanini na kuweka wambea wakumpelekea maneno maneno yakuokoteza
 
Chongoro alikua vizuri kuliko huyu Nchimbi...

Huyu jamaa hata kuongea hajui...

Nina wasiwasi kama ataweza kumsaidia raisi...

Watu aina ya Nchimbi hua vizuri kwenye mikakati.
Mbona Bashite hajui kuongea na amekuwa kiongozi mkubwa tu??
 
wote hawa wanamwogopa bashite, wanashindwa hata kumtaja au kumwambia mama amwondoe. hii ndio huzuni kubwa kwa taifa hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…