Vianelly Vian
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 337
- 100
Mara zote sisi huomba kitu tusichokuwa nacho. Nahisi mh. Hana moyo wa kusamehe. Je ni visasi vingapi amelipa mpaka sasa?
Haahaha nilikuwa sijajua kumbe yeye ndiye aliyemuua mwangosi du hatari sana