Nchimbi: Mungu nipe moyo wa kusamehe

Angemuomba Mungu amsamehe kwa damu za watu wasio na hatia zilizomwagika kwa makusudio yake na watendaji wa wizara yake Arusha, Moro, Iringa, na bla kujali akawapandisha wauaji cheo.
Damu za wstu hao zitamtesa yeye na kizazi chake chote milele amen.

Kwa nini hawaombi aliowakosea wamsamehe?
 
Tosabiso abangise mopepe santu nalikolo naipele
botema nangae nono ya Yezu mwana nzambe
CHISTMASE mobili mobimba naitese didii
moningate na losambo ya nkolo nzambe nalobi ya
bon a'nnee'. Motema nayaya tete nangai. Izamote
na mwana Nzambe ya 2014

Mkuu tafsiri basi kwa kiswahili
 
Dunia ina maajabu sana aisee binadamu hawa aminiki hawa watakupenda ukiwa na cheo tu......

Sio kweli. Nchimbi kaleta zahma nyingi sana akiwa kama Wazir wa mambo ya ndani na kupelekea serikali kulalamikiwa sana. Huyu kaaminiwa na rais na wananchi lakini he discouraged his supporters. Si kwamba uwezo hana bali kuna kitu nyuma ya pazia. "Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo".
 
Mungu yupi anayemwabudu NCHIMBI ? Maana ametenda karibu yote yaliyokatazwa na mungu .
 

hana uwezo full stop , hayo mengine unapaka rangi tu .
 
un-thankful baboon.
So He doesn't thank JK for all the authority He gave him despite his grave in-competencies??
 
Mwenyezi Mungu atajua adhabu ya kumpa Nchimbi kwa damu za watu ambao amewaua
 
Sasa nchimbi na wenzake wameondolewa, operation uhai mbona haiendelei? Hii kweli si changa la uso kuwanusuru majangili kuendelea na hujuma yao!
 
Hili jamaa jinga kweli badala ya kuomba msamaha linataka kusamehe!! Amina Chifupa anakuangalia wewe hasidi!!
 
Wakuu, hii anamaanisha kuwa uwapo madarakani (serikalini) moyo wa kusamehe unakuwa hauna wa huna nafasi (huruhusiwi) ya kumuomba Mungu akupe huo moyo wa kusemehe? Labda ndio maana babu Seya hatoki!
 
Tosabiso abangise mopepe santu nalikolo naipele
botema nangae nono ya Yezu mwana nzambe
CHISTMASE mobili mobimba naitese didii
moningate na losambo ya nkolo nzambe nalobi ya
bon a'nnee'. Motema nayaya tete nangai. Izamote
na mwana Nzambe ya 2014
Tata Nzambe yoka losambo.
 
Tosabiso abangise mopepe santu nalikolo naipele
botema nangae nono ya Yezu mwana nzambe
CHISTMASE mobili mobimba naitese didii
moningate na losambo ya nkolo nzambe nalobi ya
bon a'nnee'. Motema nayaya tete nangai. Izamote
na mwana Nzambe ya 2014

mkuu umeniacha mwandiga kigoma,hebu tafsir mkuu.
 

CHAMVIGA
Inasemekana pia makashfa ya unga yanayoikumba nchi huyu jamaa ni mhusika mkuu........
 
Last edited by a moderator:
machozi ya binti aliyebakwa na KAPUYA hayataenda bure, ipo siku nawewe binti yako, mkeo au mama ako mzazi atabakwa ndo ujue uchungu wa kubakwa na kushindwa kumchukulia hatua huyo bazazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…