Ndani ya siku 18 za Mama Samia, Taifa limejawa na FURAHA ingawa hajagawa pesa barabarani wala kuongeza mshahara ila maneno tu ya faraja!

Mana anatuteka na maneno mazuri ya kutia faraja na matumaini. Mwendazake Mara atuambie tukae na mavi yetu aisee[emoji23][emoji23]
Hatuna pesa lakini moyo una amani na furaha na ndo kitu kikubwa hicho kwa binadamu...but yule jamaa ilikuwa ukilala unawaza hivi kesho ataamka na lipi jipya nijipange mweeh[emoji848] si kwa mipresha ile ya kizee ingetunyemelea
 
Kuondoka duniani huku haitajiki??[emoji849][emoji849][emoji848][emoji848]
 
Si kweli,magu kafanya mazuri mengi tu,ila mizani inaangukia kwenye mabaya yake,give credit when its due,we stand with Samia period.
Jamaaa kazi alikuwa anapiga hilo halihitaji tochi kujua hili[emoji122][emoji122][emoji122]

Ila...narudia ila...[emoji848][emoji848]
 
Nadhani mama huyu hahitaji kuomba aombewe bali sisi kama taifa kwa imani zetu bila kujali kipato, nafasi/cheo, kanda, kabila ama jinsia tuanze kumwombea afya njema, hekima, busara na nidhamu asiingiwe na kiburi huko mbeleni.
 
Mungu aliwaonea huruma watu wake akaona huyu jiwe akiendelea hali itakuwa mbaya zaidi ndo maana akaona bora amchukue ili Watanzania wapumue.
Watu walimlilia sana MUNGU nikiwemo na mimi hatimaye yametimia.
Jina la Bwana lihimidiwe.
 
Bainisha sheria kandimizi unazozijua mkuu?
Wamekariri hivyo kila siku katiba mpya katiba mpya sa najiuliza katiba mpya itatoa ajira? Itapandisha mishahara? Kama jibu ni ndio bas tuidai lakini mimi nanavyozijua nchi za kiafrica katiba haimat what matters ni maono ya kiongozi aliyepo madarakani.
 
Kijana fuatilia vzr katiba mbona watu walidhamuuliza alichojibu duh !! Eti tusubir kidogo
 
Alafu hii corona ni kama gonjwa la ki freemason fulani kwa nini wanaokufa ni viongozi tuu wa serikali nawa dini fulani tuu kuwa siri gani hapo.
 
Hapo ndo ujue watu hawana jema
Hata usiangaike mkuu...wa hivyo hakuna kitakachomridhisha hata umbebe na mbeleko
Binaadam hawana jema.

Yaani ndani ya siku 18 faraja aliyoileta mama basi bado wapo watu wanapinga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…