Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Tupo nao Kitambaa Cheupe Tunalewa huku wakitamba kuwa maadisa vipenyo...Idara ya usalama wa taifa imekosa watumishi wazalendo na wenye weledi. Wengi wanaajiriwa kwa vimemo kutoka kwa viongozi wa CCM.
CCM inaozesha nchi
Ndo wale walichapana Risasi na Zakaria tarime au siyo?Hii si kauli ya mtu makini. Peaceful transition of leadership inafanyika kila baada ya miaka 10 na tulimpoteza Rais, vyombo vyetu ikiwemo Idara hii vikasimamia usalama wa nchi, nchi iko salama kwa sababu ya hii Idara na mambo mengine ambayo mimi na wewe hautayajui yametuliza nchi kwa sababu ya Idara hii, leo unaleta siasa?
Haipendezi. Tunaweza kujadili changamoto zetu za nchi lakini kwa staha na kutambua kazi kubwa za vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.# Kila neno moja kabla hujaliandika au kulitamka fikiria IMPACT yake. πππ
Kwa yako ndefu toa hoja tukupimeAkili fupi
TABIA YA NCHI NDIYO ILISABABISHA IFIKE HUKO.Nimelala nikakosa usingizi usiku wa leo nikiwaza, ndege yetu ya Tanzania ilifikaje Uholanzi?
1. Hatuna route ya kwenda Uholanzi
2. Hakuna connection useme ilipitia huko ikakamatwa
3. Haikwenda kwa matengenezo ikakamatwa
4. Ndege zote kubwa zimepakiwa kisingizio injini ni mbovu Kumbe zinatafutwa Ili zikamatwe
Nimewaza kuna watanzania wameshiriki Ili ndege ikamatwe ilikokuwa Ili kupata mgao wa 380 bilioni,
Tangu ndege ikamatwe sasa ni mwaka mmoja serikali imepiga kimya.
Tanzania tunaendelea wapi?
Miongoni mwa kazi za idara ni kulinda rasilimali za nchi ndio maana maafisa huchomekwa kila mahali ili kukusanya taarifa na kuzifanyia kazi kabla majanga hayajatokea.Hii si kauli ya mtu makini. Peaceful transition of leadership inafanyika kila baada ya miaka 10 na tulimpoteza Rais, vyombo vyetu ikiwemo Idara hii vikasimamia usalama wa nchi, nchi iko salama kwa sababu ya hii Idara na mambo mengine ambayo mimi na wewe hautayajui yametuliza nchi kwa sababu ya Idara hii, leo unaleta siasa?
Haipendezi. Tunaweza kujadili changamoto zetu za nchi lakini kwa staha na kutambua kazi kubwa za vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.# Kila neno moja kabla hujaliandika au kulitamka fikiria IMPACT yake. πππ
Inasemekana hizo engine zina matatizo, so hiyo ilikuwa inaenda kuchekiwa, wakaitia pin huko huko.
Tunamalizia kupiga deki barabara mama apite, tukimaliza kujigalagaza tutarudi kwenye habari ya ndegeUkisoma kwa makini chanzo Cha kukamatwa ndege yetu huko Netherlands utaona wazi kuwa huu ni mchongo wa wazi kabisa.
Kwa niaba ya watanzania wazalendo nauliza ndege yetu ilifuata Nini Nethelands?
Nailewa sana hoja yako kakaa mkubwa! Ila, kwakuwa bado hatujui imefikaje huko basi tuvute subra. Kama hadi gazeti na siye raia tunajua basi Idara itakuwa inajua zaidi ya mara 100 na hata kinachoendelea kipo viganjani mwao. πππMiongoni mwa kazi za idara ni kulinda rasilimali za nchi ndio maana maafisa huchomekwa kila mahali ili kukusanya taarifa na kuzifanyia kazi kabla majanga hayajatokea.
Sasa Tiss walikuwa wapi hadi lijidege tuliloambiwa kuwa halina uwezo wa kupaa likafika Netherlands π³π±? Tiss inatakiwa iwe ni jicho la nchi, but something fishy is going on
Sasa nadhani utaanza kujua MIGA ni nini?Lisu amefanya yake na Amsterdam wake
Waliipeleka wenyewe baada ya mambo kuwa magumuNimelala nikakosa usingizi usiku wa leo nikiwaza, ndege yetu ya Tanzania ilifikaje Uholanzi?
1. Hatuna route ya kwenda Uholanzi
2. Hakuna connection useme ilipitia huko ikakamatwa
3. Haikwenda kwa matengenezo ikakamatwa
4. Ndege zote kubwa zimepakiwa kisingizio injini ni mbovu Kumbe zinatafutwa Ili zikamatwe
Nimewaza kuna watanzania wameshiriki Ili ndege ikamatwe ilikokuwa Ili kupata mgao wa 380 bilioni,
Tangu ndege ikamatwe sasa ni mwaka mmoja serikali imepiga kimya.
Tanzania tunaendelea wapi?
Sawa tufanye kuwa tumekubaliana na rai yako, una maoni gani juu ya;Hii si kauli ya mtu makini. Peaceful transition of leadership inafanyika kila baada ya miaka 10 na tulimpoteza Rais, vyombo vyetu ikiwemo Idara hii vikasimamia usalama wa nchi, nchi iko salama kwa sababu ya hii Idara na mambo mengine ambayo mimi na wewe hautayajui yametuliza nchi kwa sababu ya Idara hii, leo unaleta siasa?
Haipendezi. Tunaweza kujadili changamoto zetu za nchi lakini kwa staha na kutambua kazi kubwa za vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.# Kila neno moja kabla hujaliandika au kulitamka fikiria IMPACT yake. πππ
Ukitaka kujua wapo suabiri 2025Miongoni mwa kazi za idara ni kulinda rasilimali za nchi ndio maana maafisa huchomekwa kila mahali ili kukusanya taarifa na kuzifanyia kazi kabla majanga hayajatokea.
Sasa Tiss walikuwa wapi hadi lijidege tuliloambiwa kuwa halina uwezo wa kupaa likafika Netherlands π³π±? Tiss inatakiwa iwe ni jicho la nchi, but something fishy is going on
Halafu vile kunyoa vyema,kuvaa Suti na miwani myeusi halafu kujifanya wako serious ndo nini??....Hiyo idara imejaa makanjanja wa uvccm wanachojua ni kuiwezesha ccm ibaki madarakani tu
Acha awanyoosheLisu amefanya yake na Amsterdam wake
Nimelala nikakosa usingizi usiku wa leo nikiwaza, ndege yetu ya Tanzania ilifikaje Uholanzi?
1. Hatuna route ya kwenda Uholanzi
2. Hakuna connection useme ilipitia huko ikakamatwa
3. Haikwenda kwa matengenezo ikakamatwa
4. Ndege zote kubwa zimepakiwa kisingizio injini ni mbovu Kumbe zinatafutwa Ili zikamatwe
Nimewaza kuna watanzania wameshiriki Ili ndege ikamatwe ilikokuwa Ili kupata mgao wa 380 bilioni,
Tangu ndege ikamatwe sasa ni mwaka mmoja serikali imepiga kimya.
Tanzania tunaendelea wapi?
Issue ni Engine... na manufacturer anaweza kuwa na vituo nchi mbalimbali. Swala hapa ni upumbavu wa kuvunja mikataba hovyohovyo. Hawana gharama hawa.Ndege iliyotengenezwa Canada π¨π¦ inaenda kuchekiwa Uholanzi, kwanini iingepelekwa kwa mtengenezaji Canada π?
Nchi ya wahuni!Tunamalizia kupiga deki barabara mama apite, tukimaliza kujigalagaza tutarudi kwenye habari ya ndege
Wahuni haoSerikali ya CCM bure kabisa!