Ndege aina ya Airbus A220 ya (ATCL) ilifikaje nchini Uholanzi na kukamatwa?

Ndege aina ya Airbus A220 ya (ATCL) ilifikaje nchini Uholanzi na kukamatwa?

Hii si kauli ya mtu makini. Peaceful transition of leadership inafanyika kila baada ya miaka 10 na tulimpoteza Rais, vyombo vyetu ikiwemo Idara hii vikasimamia usalama wa nchi, nchi iko salama kwa sababu ya hii Idara na mambo mengine ambayo mimi na wewe hautayajui yametuliza nchi kwa sababu ya Idara hii, leo unaleta siasa?

Haipendezi. Tunaweza kujadili changamoto zetu za nchi lakini kwa staha na kutambua kazi kubwa za vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.# Kila neno moja kabla hujaliandika au kulitamka fikiria IMPACT yake. 🙏🙏🙏
Ndo wale walichapana Risasi na Zakaria tarime au siyo?
 
Nimelala nikakosa usingizi usiku wa leo nikiwaza, ndege yetu ya Tanzania ilifikaje Uholanzi?

1. Hatuna route ya kwenda Uholanzi
2. Hakuna connection useme ilipitia huko ikakamatwa
3. Haikwenda kwa matengenezo ikakamatwa
4. Ndege zote kubwa zimepakiwa kisingizio injini ni mbovu Kumbe zinatafutwa Ili zikamatwe
Nimewaza kuna watanzania wameshiriki Ili ndege ikamatwe ilikokuwa Ili kupata mgao wa 380 bilioni,

Tangu ndege ikamatwe sasa ni mwaka mmoja serikali imepiga kimya.

Tanzania tunaendelea wapi?
TABIA YA NCHI NDIYO ILISABABISHA IFIKE HUKO.
 
Hii si kauli ya mtu makini. Peaceful transition of leadership inafanyika kila baada ya miaka 10 na tulimpoteza Rais, vyombo vyetu ikiwemo Idara hii vikasimamia usalama wa nchi, nchi iko salama kwa sababu ya hii Idara na mambo mengine ambayo mimi na wewe hautayajui yametuliza nchi kwa sababu ya Idara hii, leo unaleta siasa?

Haipendezi. Tunaweza kujadili changamoto zetu za nchi lakini kwa staha na kutambua kazi kubwa za vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.# Kila neno moja kabla hujaliandika au kulitamka fikiria IMPACT yake. 🙏🙏🙏
Miongoni mwa kazi za idara ni kulinda rasilimali za nchi ndio maana maafisa huchomekwa kila mahali ili kukusanya taarifa na kuzifanyia kazi kabla majanga hayajatokea.

Sasa Tiss walikuwa wapi hadi lijidege tuliloambiwa kuwa halina uwezo wa kupaa likafika Netherlands 🇳🇱? Tiss inatakiwa iwe ni jicho la nchi, but something fishy is going on
 
Ukisoma kwa makini chanzo Cha kukamatwa ndege yetu huko Netherlands utaona wazi kuwa huu ni mchongo wa wazi kabisa.

Kwa niaba ya watanzania wazalendo nauliza ndege yetu ilifuata Nini Nethelands?
Tunamalizia kupiga deki barabara mama apite, tukimaliza kujigalagaza tutarudi kwenye habari ya ndege
 
Miongoni mwa kazi za idara ni kulinda rasilimali za nchi ndio maana maafisa huchomekwa kila mahali ili kukusanya taarifa na kuzifanyia kazi kabla majanga hayajatokea.

Sasa Tiss walikuwa wapi hadi lijidege tuliloambiwa kuwa halina uwezo wa kupaa likafika Netherlands 🇳🇱? Tiss inatakiwa iwe ni jicho la nchi, but something fishy is going on
Nailewa sana hoja yako kakaa mkubwa! Ila, kwakuwa bado hatujui imefikaje huko basi tuvute subra. Kama hadi gazeti na siye raia tunajua basi Idara itakuwa inajua zaidi ya mara 100 na hata kinachoendelea kipo viganjani mwao. 🙏🙏🙏
 
Nimelala nikakosa usingizi usiku wa leo nikiwaza, ndege yetu ya Tanzania ilifikaje Uholanzi?

1. Hatuna route ya kwenda Uholanzi
2. Hakuna connection useme ilipitia huko ikakamatwa
3. Haikwenda kwa matengenezo ikakamatwa
4. Ndege zote kubwa zimepakiwa kisingizio injini ni mbovu Kumbe zinatafutwa Ili zikamatwe
Nimewaza kuna watanzania wameshiriki Ili ndege ikamatwe ilikokuwa Ili kupata mgao wa 380 bilioni,

Tangu ndege ikamatwe sasa ni mwaka mmoja serikali imepiga kimya.

Tanzania tunaendelea wapi?
Waliipeleka wenyewe baada ya mambo kuwa magumu
 
Hii si kauli ya mtu makini. Peaceful transition of leadership inafanyika kila baada ya miaka 10 na tulimpoteza Rais, vyombo vyetu ikiwemo Idara hii vikasimamia usalama wa nchi, nchi iko salama kwa sababu ya hii Idara na mambo mengine ambayo mimi na wewe hautayajui yametuliza nchi kwa sababu ya Idara hii, leo unaleta siasa?

Haipendezi. Tunaweza kujadili changamoto zetu za nchi lakini kwa staha na kutambua kazi kubwa za vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.# Kila neno moja kabla hujaliandika au kulitamka fikiria IMPACT yake. 🙏🙏🙏
Sawa tufanye kuwa tumekubaliana na rai yako, una maoni gani juu ya;

1. Namna ndege ilivyofika uholanzi na kushikiliwa.

2. Jinsi vijana wengi wa uvccm wanavyojinasibu kuwa wao ni usalama wa taifa na hasa pale wanapokutwa na uovu na hata likiibuka hakuna taarifa kutoka idara husika kutoka hadharani kukanusha. Rejea ya Sabaya, Alihappy nk
 
Miongoni mwa kazi za idara ni kulinda rasilimali za nchi ndio maana maafisa huchomekwa kila mahali ili kukusanya taarifa na kuzifanyia kazi kabla majanga hayajatokea.

Sasa Tiss walikuwa wapi hadi lijidege tuliloambiwa kuwa halina uwezo wa kupaa likafika Netherlands 🇳🇱? Tiss inatakiwa iwe ni jicho la nchi, but something fishy is going on
Ukitaka kujua wapo suabiri 2025
 
Nimelala nikakosa usingizi usiku wa leo nikiwaza, ndege yetu ya Tanzania ilifikaje Uholanzi?

1. Hatuna route ya kwenda Uholanzi
2. Hakuna connection useme ilipitia huko ikakamatwa
3. Haikwenda kwa matengenezo ikakamatwa
4. Ndege zote kubwa zimepakiwa kisingizio injini ni mbovu Kumbe zinatafutwa Ili zikamatwe
Nimewaza kuna watanzania wameshiriki Ili ndege ikamatwe ilikokuwa Ili kupata mgao wa 380 bilioni,

Tangu ndege ikamatwe sasa ni mwaka mmoja serikali imepiga kimya.

Tanzania tunaendelea wapi?
Screenshot_20221202-223827.png

Screenshot_20221202-223906.png
 
Ndege iliyotengenezwa Canada 🇨🇦 inaenda kuchekiwa Uholanzi, kwanini iingepelekwa kwa mtengenezaji Canada 🍁?
Issue ni Engine... na manufacturer anaweza kuwa na vituo nchi mbalimbali. Swala hapa ni upumbavu wa kuvunja mikataba hovyohovyo. Hawana gharama hawa.
 
Back
Top Bottom