Ndege aina ya Boeing 737 Max, ni hatari, zimepigwa marufuku nchi nyingi

Ndege aina ya Boeing 737 Max, ni hatari, zimepigwa marufuku nchi nyingi

Ni kuhusu usalama na ustawi wa watumiaji wa ndege hiyo au ni CHADEMA kutoa uhalisia?
Mtu akiulizwa swali basi tayari huyo ni chadema, sijui ni kwa nini wanaogopa kuulizwa maswali na wao ndio wameshika uskani kuiongoza nchi...
Yaani abiria tumo ndani ya basi ( Nchi) halafu hilo basi linayumba yumba na sisi abiria tunyamaze tu kisa ni chadema? Hii ni hatari sana...
Au uone mkeo kashika simu anachati na yuko serios kweli(Boeing wapiga filimbi) na wewe ukae tu unabung'aa unadhani uko salama? Utaliwa tu bila kujalisha ni ccm au chadema.
 
Mtu akiulizwa swali basi tayari huyo ni chadema, sijui ni kwa nini wanaogopa kuulizwa maswali na wao ndio wameshika uskani kuiongoza nchi...
Yaani abiria tumo ndani ya basi ( Nchi) halafu hilo basi linayumba yumba na sisi abiria tunyamaze tu kisa ni chadema? Hii ni hatari sana...
Au uone mkeo kashika simu anachati na yuko serios kweli(Boeing wapiga filimbi) na wewe ukae tu unabung'aa unadhani uko salama? Utaliwa tu bila kujalisha ni ccm au chadema.
Usimchague mpinzani(walilengwa hasa ni CHADEMA)atskucheleweshea maendeleo!Ndiyo akili zao.
 
CEO wa Boieng kajiuzuru kisa usalama wa baadhi ya ndege za Boieng upo chini sisi tunaenda tena kuongeza ndege huko ipo ndege moja ilipata tatizo sijui Mkoa wa Mbeya huko eti Eng wa Atcl ndio akaisemea na si Eng wa Boieng Tanzania bhana mna utani sana...
halafu ukiwaulizwa swali wanasema ni incident ndogo sio ajali, unaambiwa mzushi, unaitwa Chadema.
Yaani abiria tumo ndani ya basi ( Nchi) halafu hilo basi linayumba yumba na sisi abiria tunyamaze tu kisa ni chadema? Hii ni hatari sana...
Au uone mkeo kashika simu anachati na yuko serios kweli(Boeing wapiga filimbi) na wewe ukae tu unabung'aa unadhani uko salama? Utaliwa tu bila kujalisha ni ccm au chadema.
 
Wanajamvi aina ya hizi ndege zimepigwa marufuku sehemu nyingi sana Duniani baada ya mfululizo wa ajali.

Inadaiwa Boeing 737 Max, ni ndege za kisasa mno lakini zina hitilafu kwenye mifumo yake ya utengenezajji.

Ethiopia hii ndege ilianguka na kuua watu wote, majuzi Marekani hii ndege mlango wake ulifunguka ikiwa angani.

Inadaiwa hizi ndege zimeshusha mno hadhi ya ndege za Boeing Duniani, kwa hiyo zimekuwa grounded na hivyo nyingi kurudishwa kiwandani.

Tanzania leo imepokea ndege hiyo hiyo ya Boeing 737 Max,wanajamvi hii imekaaje?
Na mashaka na uraia wako.
 
Lion flight iliua 346
2018

Ethiopia airline ikataka KUPIGA idadiya vifoo kama lion ikaishia 302

same acraft
 
Wanajamvi aina ya hizi ndege zimepigwa marufuku sehemu nyingi sana Duniani baada ya mfululizo wa ajali.

Inadaiwa Boeing 737 Max, ni ndege za kisasa mno lakini zina hitilafu kwenye mifumo yake ya utengenezajji.

Ethiopia hii ndege ilianguka na kuua watu wote, majuzi Marekani hii ndege mlango wake ulifunguka ikiwa angani.

Inadaiwa hizi ndege zimeshusha mno hadhi ya ndege za Boeing Duniani, kwa hiyo zimekuwa grounded na hivyo nyingi kurudishwa kiwandani.

Tanzania leo imepokea ndege hiyo hiyo ya Boeing 737 Max,wanajamvi hii imekaaje?
KIUFUPI HIZI NDEGE ZOTE ZILIAGIZWA NA MWENDAZAKE NA WALIPIGA MSIGO MREFU TU....KUPITIA DALALI WA NDEGE PALE NCHI JIRANI ..WAKAINGIXWA CHAKA SISI TUMEJAZA MANDEGE MENGI KWA MKOPO UNAENDA DIR KWENYE KAMPANI MAREKANI...BILA KUKUMBUKA HUYU JAMAA ANAWAACHIA MAREKANI MADINI PALE KWAKE WANABADILISHANA NA MANDEGE.NDIO MAANA ATAKI.KUTOKA CONGO ....

TUSILAUMU SERKL YA SASA HAYA MANDEGE YALISHALIPWA MENGI TU ..NA KAMA MNAKUMBUKA CAG ALIKUJA NA MSHANGAO MMOJA KUNA MALIPO YALIBAKI DOLA KADHAA MAREKANI....JAMAA WAKAONGEXA DOLER KAMA 32000 JUU YAKE WALIPWE NA HAXINA

HII ISSUE IKO KIMYA MPAKA LEO HAPA NDIPO PA KUANZIA ALIEANDIKA BARUA KUPELEKA HAZINA ALIEZISAINI NANI...NA JE WALILILIPWA AMA CAG ALIKUJA MSIGO USHATOKA

CHANGAMOTO NYINGI MNAKUMBUKA NDEGE LA LEBANON AIRBUS 319 ILISAINIWA IKIWA MBOVU LIKAJA HAPA LIKAKAA MWAKA ALIJARUKA JUMBA BOVU LIKAMUANGUKIA MATAKKA.....NA WENZIE

OK WAKAJA KUSEMA MADLALI NDIO WALIKUWA SHIDA WAMEPIGA HELA NDEFU SASA WAMEENDA KIWANDAN UNAKUTANA NA VIOJA VINGINE VIMEIBULIWA NA CAG


10-20 PERC ITATUUUA TU
 
Wanajamvi aina ya hizi ndege zimepigwa marufuku sehemu nyingi sana Duniani baada ya mfululizo wa ajali.

Inadaiwa Boeing 737 Max, ni ndege za kisasa mno lakini zina hitilafu kwenye mifumo yake ya utengenezajji.

Ethiopia hii ndege ilianguka na kuua watu wote, majuzi Marekani hii ndege mlango wake ulifunguka ikiwa angani.

Inadaiwa hizi ndege zimeshusha mno hadhi ya ndege za Boeing Duniani, kwa hiyo zimekuwa grounded na hivyo nyingi kurudishwa kiwandani.

Tanzania leo imepokea ndege hiyo hiyo ya Boeing 737 Max,wanajamvi hii imekaaje?
 
NDEGE MPAKA ije hapa KUNA inspector WA tcaa Hawa huenda kuikagua na kutosha report na HATA wanapokwenda kuchukua huambatama NAO

likitokea la kutokea Hawa NDIO WA kudili naoo na ndioo MAANA NCHI zingine likitokea la kutokea Hawa wanangwanyoooo....

 
NDEGE MPAKA ije hapa KUNA inspector WA tcaa Hawa huenda kuikagua na kutosha report na HATA wanapokwenda kuchukua huambatama NAO

likitokea la kutokea Hawa NDIO WA kudili naoo na ndioo MAANA NCHI zingine likitokea la kutokea Hawa wanangwanyoooo....

Sio kwa Tanzania,hatuko serious kwa jambo lolote lile.
 
Mkuu , there is a saying that "Birds of the same feather fly together". Usitegemee hawa jamaa wakapiga debe bovu kwa mwenzao. Jamaa kasema Rigorous inspection . Je, huo ukaguzi wa kina unauthaminishaje na kwa kipimo gani hivi kwamba ww mbongo useme Eeee; sasa huu ndo rigorous na sio haphazard au ndo intensive n.k.n.k.?
Swali jepesi nani alizisimamisha na nani kaziruhusu? We here such talking jiblish another simple question, are thier pilots flying them with gun point? Wao hawajui sio safe?
 
Swali jepesi nani alizisimamisha na nani kaziruhusu? We here such talking jiblish another simple question, are thier pilots flying them with gun point? Wao hawajui sio safe?
Aisee sijui aliyezisimamisha na nani kaziruhusu. Habari ya marubani kujua ni safe au siyo safe ni kitu kingine kwani wao ni madereva sio wataalam na ndo mana hata milango iliwahi funguka ndege ikiwa angani. Ni kweli hawalazimishwi lakini kama waajiriwa; ni sharti awe mtiifu.
 
Wanajamvi aina ya hizi ndege zimepigwa marufuku sehemu nyingi sana Duniani baada ya mfululizo wa ajali.

Inadaiwa Boeing 737 Max, ni ndege za kisasa mno lakini zina hitilafu kwenye mifumo yake ya utengenezajji.

Ethiopia hii ndege ilianguka na kuua watu wote, majuzi Marekani hii ndege mlango wake ulifunguka ikiwa angani.

Inadaiwa hizi ndege zimeshusha mno hadhi ya ndege za Boeing Duniani, kwa hiyo zimekuwa grounded na hivyo nyingi kurudishwa kiwandani.

Tanzania leo imepokea ndege hiyo hiyo ya Boeing 737 Max,wanajamvi hii imekaaje?
hebu acha uongo,fanya utafiti vizuri
 
Back
Top Bottom