Ndege aina ya Boeing 737 Max, ni hatari, zimepigwa marufuku nchi nyingi

Ndege aina ya Boeing 737 Max, ni hatari, zimepigwa marufuku nchi nyingi

Hili swali ni kwenu nyie mamlaka ya usalama wa Ndege zetu, usalama wetu abiria, usalama wa anga letu.
Nisiwachoshe, ukiisikiliza hii video hapa chini, ndege tuliyo nunua bado ni mtihani wa usalama wetu abiria. Wanasema sio salama, ina matatizo mengi sana na inafaa iwe grounded.

Huyu mfanyakazi wa zamani wa Boeing na mpiga filimbi mkubwa anasema kwamba ndege hii ya aina ya max sio salama, ina matatizo makubwa. Serikali njooni huku mtuambie ukweli ni upi kabla hatujachinjwa kama ndugu zetu wa Kule Ethiopia na Indonesia.

Sikilizeni video hii na mutoe majibu ya uhakika kabla hayajatokea ya kutokea maana hawa ngozi nyeupe sisi kwao ni litmus test yao wakati mwingine: Video hii hapa:
View: https://youtu.be/pT4B7oyGBw8?si=3kLm309dbgig8xRO

Usiwe na wasiwasi; kwa sasa hivi ndege hizi ni salama kabisa. Mwezi jana tu, American Airlines imenununa ndege 85 kwa mpigo.

1712001618133.png



Uongozi wa Boeing ulijifanya kujiendesha kibishara zaidi na kudhoofisha gharama za Engineering ndio uliosababisha ndege hizo zipate jina baya. Baada ya zile ajali za Malaysia na Ethiopia, kulifanyika marekebisho na kuhakikisha engineering na safety standards vinapewa kipaumbele kama zamani. Nadhani viongozi wa Boeing waliokuwa wanakimbilia kufanya mambo kwa pupa wakiangalia faida tu wameshaachia ngazi.
 
Ni jambo jema sana. Vipi kama unanunua ticket mtandaoni, unajuaje kama ni Max au nyingine?
Nadhani information zote unazipata humo au unakwenda kwenye Website ya Airline yenyewe ina list za Ndege zinazoenda Ruti fulani .
 
Usiwe na wasiwasi; kwa sasa hivi ndege hizi ni salama kabisa. Mwezi jana tu, American Airlines imenununa ndege 85 kwa mpigo.

View attachment 2951142


Uongozi wa Boeing ulijifanya kujiendesha kibishara zaidi na kudhoofisha gharama za Engineering ndio uliosababisha ndege hizo zipate jina baya. Baada ya zile ajali za Malaysia na Ethiopia, kulifanyika marekebisho na kuhakikisha engineering na safety standards vinapewa kipaumbele kama zamani. Nadhani viongozi wa Boeing waliokuwa wanakimbilia kufanya mambo kwa pupa wakiangalia faida tu wameshaachia ngazi.
hawa jamaa wanazungumzia Max8 na max 9. Hili chapisho wanasema kuhusu max 10, kwa nini max 8 na max 9 zinaogopewa sana, maana hata ktk hilo andiko wanasema " converting 30 existing max 8 tu Max 10... kuna nini kuhusu max 8 au 9?
 
hawa jamaa wanazungumzia Max8 na max 9. Hili chapisho wanasema kuhusu max 10, kwa nini max 8 na max 9 zinaogopewa sana, maana hata ktk hilo andiko wanasema " converting 30 existing max 8 tu Max 10... kuna nini kuhusu max 8 au 9?
Tofauti ni body size tu. <Max 10 zinachukua abiria wengi kuliko Max 7 na Max 8. Avionics ni sawasawa tu. Hapo hao American Airlines wanataka kuwa na fleet inayofanana ili kurahisisha management tu, kwa hiyo order za zamani za Max8 wameziupgrade to Max 10.

Tatizo la viongozi wa Boeing walipounda hizo ndege za Max hawakutaka kuwekeza kwenye development ya avionics mpya, wakataka kutumia avionics za zamani tu kwa kuweka viraka viraka. Baada ya ajali zile, walilazimika kuunda upya avionics ambazo ndizo zinazotumika kwenye Max 7, 8, 9, na 10 mpya.
 
Tofauti ni body size tu. <Max 10 zinachukua abiria wengi kuliko Max 7 na Max 8. Avionics ni sawasawa tu. Hapo hao Ameriucan Airlines wanataka kuwa na fleet inayofanana ili kurahisisha management tu, kwa hiyo order za zamani Max8 wamezipgrade to Max 10.

Tatizo la viongozi wa Boeng walipounda hizo ndege za Max hawakutaka kuwekeza kwenye developmenet za avionics mpya, wakataka kutumia avionics za zamani tu kwa kuweka viraka viraka. Baada ya ajali zile, walilazimika kuunda upya avionics ambazo ndizo zinazotumika kwenye Max 7, 8, 9, na 10 mpya.
asante kwa maelezo na kunielewesha... kwa hiyo hii video ya mwezi Marchi mwaka huu ni Magumashi au ni biashara ya youtube...
 
Hii video ni ya siku 10 zilizopita baada ya hiyo CNN interview- sikiliza pande zote ujue ukweli uko wapi
Nimepanda Max 9 more than 4 times from New York to Kingstone ya Caribbean Airlines then from Montego bay to ....
Mkuu , there is a saying that "Birds of the same feather fly together". Usitegemee hawa jamaa wakapiga debe bovu kwa mwenzao. Jamaa kasema Rigorous inspection . Je, huo ukaguzi wa kina unauthaminishaje na kwa kipimo gani hivi kwamba ww mbongo useme Eeee; sasa huu ndo rigorous na sio haphazard au ndo intensive n.k.n.k.?
Avionic au mfumo wa kielektroniki unaosaidia kuongoza mifumo ya uendeshaji ndege iliundwa upya kwa ndege zote kwa Max 7,8,9 and 10. FAA wakipitisha wengine wote tunamamlaka gani kumkosoa mwenye usama wake.
 
asante kwa maelezo na kunielewesha... kwa hiyo hii video ya mwezi Marchi mwaka huu ni Magumashi au ni biashara ya youtube...
Hiyo anaongelea yaliyokuwa yanafanyika huko nyuma, siyo yanayofanyika sasa hivi baada ya ajali zile. Anaongelea ya mwaka 2019 !
 
kwa hiyo mpaka ajali kubwa itokee ndio utastuka? wasiwasi ndio akili yenye, au hili jambo limekupita kando? mlango ufunguke angani mwezi wa tatu halafu useme hakuna ajali kubwa iliyotokea? hii ni akili ya wapi? matope au? halafu unajiita sir Khan, jiite Kanjibai ndio nitakuelewa... angalau wanasemaga joto ya jiwe... utamalizia
Kwenye
Aviation kuna tofauti kati ya accident na incident,mlango kufunguka angani ni incident.Huwezi kusema kung`oka kwa mlango angani ni ajali kubwa labda kama una matatizo ya akili.
Tangu dec 2020 hadi leo hakuna accident iliyotokea ikihusisha hizo,sasa sijui wewe homosapiens wa Tanganyika unatumia kigezo gani kutilia mashaka usalama wake.Unatakiwa ujue kila kampuni kubwa dunian inapigwa vita na wapinzani kwa kutumia wafanyakazi wa sasa au wazamani ili madai yao yaweze kuaminika na wajinga wajinga kama wewe.Eg cocacola imesemwa kwa kila ubaya tangu late 19'th century hadi leo na kuna wajinga kama wewe wanaamini uzushi huo.
 
Juzi nilicheka kuskia eti jamaa aliyeingiza vifaa ya starlink havijaizinishwa na wataalamu wa mamlaka ya Tanzania kuhusu usalama wake, nikajiuliza kwa akili gani mpaka wawe na mamlaka ya kuhakiki vifaa vya starlink, kuna vituko hii nchi. Hapa unawataka wakwambie kuhusu usalama wa hiyo ndege wakati wao wakiambiwa inafaa basi watakwambia inafaa hata kama waliingizwa chaka. Yaani watu wa spend miaka ku develop dude halafu mpiga chaputa na Masters yake ya makaratasini sijui pHD hata hakumbuki kimoja alivyosoma baada ya kufaulu ndio ahakiki kama ndege iko salama, My poor nose.
 
Hiyo anaongelea yaliyokuwa yanafanyika huko nyuma, siyo yanayofanyika sasa hivi baada ya ajali zile. Anaongelea ya mwaka 2019 !
Mleta mada ni mzushi anayetafuta sapoti ya wazushi wenzie ndio maana anatumia archaic video kama msingi wa hoja yake.
Anajua ndege zimefanyiwa marekebisho makubwa na zinasafiri tangu dec 2020 bila kupata ajali yoyote bado mpuuzi anasisitiza ndege hizo sio salama.
 
Kwenye
Aviation kuna tofauti kati ya accident na incident,mlango kufunguka angani ni incident.Huwezi kusema kung`oka kwa mlango angani ni ajali kubwa labda kama una matatizo ya akili.
Tangu dec 2020 hadi leo hakuna accident iliyotokea ikihusisha hizo,sasa sijui wewe homosapiens wa Tanganyika unatumia kigezo gani kutilia mashaka usalama wake.Unatakiwa ujue kila kampuni kubwa dunian inapigwa vita na wapinzani kwa kutumia wafanyakazi wa sasa au wazamani ili madai yao yaweze kuaminika na wajinga wajinga kama wewe.Eg cocacola imesemwa kwa kila ubaya tangu late 19'th century hadi leo na kuna wajinga kama wewe wanaamini uzushi huo.
Haya Sir Khan, Kwanini unatoa matusi Kwa swali dogo? Mbona umepaniki sana
 
Mleta mada ni mzushi anayetafuta sapoti ya wazushi wenzie ndio maana anatumia archaic video kama msingi wa hoja yake.
Anajua ndege zimefanyiwa marekebisho makubwa na zinasafiri tangu dec 2020 bila kupata ajali yoyote bado mpuuzi anasisitiza ndege hizo sio salama.
Uzushi wa mleta Mada ni upi? Wazushi ni walio walio irekodi hiyo video… rejea tafsiri ya neno mzushi…
 
Kwenye
Aviation kuna tofauti kati ya accident na incident,mlango kufunguka angani ni incident.Huwezi kusema kung`oka kwa mlango angani ni ajali kubwa labda kama una matatizo ya akili.
Tangu dec 2020 hadi leo hakuna accident iliyotokea ikihusisha hizo,sasa sijui wewe homosapiens wa Tanganyika unatumia kigezo gani kutilia mashaka usalama wake.Unatakiwa ujue kila kampuni kubwa dunian inapigwa vita na wapinzani kwa kutumia wafanyakazi wa sasa au wazamani ili madai yao yaweze kuaminika na wajinga wajinga kama wewe.Eg cocacola imesemwa kwa kila ubaya tangu late 19'th century hadi leo na kuna wajinga kama wewe wanaamini uzushi huo.
Haya maelezo mengi sana ungetumia tu hata sentensi Tatu kujibu hoja ungeonekana wa maana.
 
CEO wa Boieng kajiuzuru kisa usalama wa baadhi ya ndege za Boieng upo chini sisi tunaenda tena kuongeza ndege huko ipo ndege moja ilipata tatizo sijui Mkoa wa Mbeya huko eti Eng wa Atcl ndio akaisemea na si Eng wa Boieng Tanzania bhana mna utani sana...
 
Haya Sir Khan, Kwanini unatoa matusi Kwa swali dogo? Mbona umepaniki sana
Hajatoa matusi. Kila mtu hapa duniani ni mjinga i.e Asiyejua. Huwezi kujua kila kitu. Kwa hiyo bro usikasirike kwa kuitwa mjinga - have a smile na maisha yaendelee.:CarltonPls:
 
Back
Top Bottom