Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 2,717
- 3,895
Trip moja haitoshi ku-justify kwamba ni salama.Ngoja, labda akina Ladslaus Matindi wana majibu ya Uhakika na usalama wa hii maxi 9 kabla jambo halijawa jambo. Naona leo wameanza safari za Dubai- Good luck to them.
