S.M.P2503
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 2,421
- 4,344
Mkata umeme anachukiwa sana, sijui ni kwa nini Mungu huwa hayasikii maombi ya watu akampandishe kwenye ile iliyochomoka mlango , angetoka humo angekuwa wa kujali usalama wa watu zaidiHii tumpe simple awe anatembelea ili kumpunguzia Sir God majukumu na yule kiungo mkata umeme.