Ndege aina ya Kware: Kwa mahitaji ya mayai ya Kware, Vifaranga na Kware kwa ajili ya nyama n.k

Ndege aina ya Kware: Kwa mahitaji ya mayai ya Kware, Vifaranga na Kware kwa ajili ya nyama n.k

Mayai ya kware kama chakula bora katika nutrients 78 ukilinganisha na yale ya kuku, Nutrients 31 hazimo kabisa kwenye kuku ila kwenye kware zipo hiyo ni kutokana na Database ya USDA (Unites state Department of Agriculture)
 
Ni vyema kama unataka kutotolesha maya ya kware toka yatangwe yasikae zaid ya siku 10 ndio uwezo wa kuanguliwa kwa asilimia kubwa
 
Mayai ya kware vile vile yana virutubisho vingi vya chuma, ambayo watu wanaona tabu kula maini wanaweza pia kutumia badala yake
 
Naamini watu wanatakiwa kuufanyia utafiti wa kina chakula hiki maana kila nikisoma nakuta kitu kingine kipya embu tuandae reserch team
 
Mayai ya kware kama chakula bora katika nutrients 78 ukilinganisha na yale ya kuku, Nutrients 31 hazimo kabisa kwenye kuku ila kwenye kware zipo hiyo ni kutokana na Database ya USDA (Unites state Department of Agriculture)

naweza kumpa kuku akatotoa
 
Kware siuzi mayai Tshs 25000 kwa tray

Hizi ni zaidi ya shillingi elfu moja na mia mbili za Kenya. Mhh...naona kule TZ bado kware ziko na biashara. Huku yai moja lilikuwa likiuzwa kwa Shillingi 100 (Karibu TSH 1800.) Hivi sasa yai moja ni shilingi kumi, na hata wanunuzi hawapo. Strike the hammer while the Iron is still hot mzee. Baada ya miezi mitatu, kutakuwa tofauti sana
 
Hata huku ilikuwa hivyo yaani Tshs 60,000 kwa tray sasa imeshafika hapo na wengi wakifuga kama huko Kenya bei itaendelea kushuka
 
Nauza mayai ya kware. Kwa wale waliointerested tuwasiliane 0652498798.. Mayai haya ni kwa ajili ya tiba na afya bora.
 
Mkuu Tumainiandy kwani biashara ya nyama na mayai ya hawa kwale iko vipi kwa sasa hapa kwetu Tanzania?masoko yapo ya kutosha?na mimi nahitaji kufuga hawa kwale,ila naogopa ku-risk haka kahela kangu kadogo,tafadhali naomba ushauri wako mkuu!
 
Nyama bado ni changamoto wafugaji wengi hawajwa nao wengi wakuwaza kuuza nyama na watu bado hawajawa aware na umuhimu wa haya mayai kwahiyo wafugaji ni wachache ila kwa sasa watu wameanza kuzalisha mayai ila bei inateremeka na risk yake ni kama ya kufuga kuku tu

Mkuu Tumainiandy kwani biashara ya nyama na mayai ya hawa kwale iko vipi kwa sasa hapa kwetu Tanzania?masoko yapo ya kutosha?na mimi nahitaji kufuga hawa kwale,ila naogopa ku-risk haka kahela kangu kadogo,tafadhali naomba ushauri wako mkuu!
 
Kutokana na uzalishaji kuongezeka sasa nimeshusha bei to Tshs 20,000 kwa tray ni mambo ya supply and demand hayo na kutaka kuingia sokoni kwa nguvu zaidi
 
Kwa ajili ya its restorative cell power of quails eggs your skin will be smoothly, to see more benefit you can google benefit of Quail eggs there so much literature about the subject and how this is one of super food that every body suppose to consume
 
Consume two to three quail eggs per day may keep you away from doctor as it help to improve your immune system ans as we know kinga siku zote ni bora kuliko tiba. Jipende na jilinde
 
Mayai ya kware yameonekana vile vile yanasaidia katika kuongeza CD4 ndio maana watu walio nazo chini kutokana na nutrients zilizopo zinasaidia kuongeza, weka kinga yako ya mwili vizuri kwa kutumia mayai ya kware.
 
Back
Top Bottom