Habari za muda huu.. hope mko vizur popote mlipo.
Ndugu wenzangu wanajamii forum.. ni ukweli usiopingika kwamba magonjwa yamekua tatizo kubwa sana ambalo jamii kila cku wanakumbana nayo na pamoja na kupoteza pesa nyingi kwaajili ya matibabu kutokana na Magonjwa mbali mbali. Jioni hii nimekuja kwenu na moja ya dawa ambayo inatibu magonjwa takriban 31 na imethibitisha na Madaktari. Nayo ni Mayai ya kware.
Kware ni ndege waporini wanaofanana kuku lkn wao ni wadogo kidogo mayai yao ni tiba pia nyama yao kwa magonjwa kama vidonda vya tumbo.. asthma, skin rash, nguvu za kiume (sexual potency) obesity, gouts, diabetes, anemia .etc n.k nafikiri dawa hii si ngeni kwenu kwa baadhi ya watu ambao mmeshaisikia na kuitumia na shuhuda mnazo kuwa inatibu kabisa.
Ninafuga kware na ninauza mayai yake trei moja sh 30,000 kwa yeyote atakae hitaji kwaajili yako au una ndugu na marafiki wenye magonjwa mbali mbali tusiache kufahamisha na ilituweza kusaaidia wenzetu no: 0713881353 asanteni