Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Bado tunapambana tupate viza ya kwenda mamtonWhat about you, africans ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado tunapambana tupate viza ya kwenda mamtonWhat about you, africans ?
[emoji38] [emoji23] 168 tu kama yutongIdadi ya abiria tafadhali
Shit hole bado tunasingizia mengi ooh tukitengeneza madawa wazungu wanatuwekea bitiWhat about you, africans ?
Waafrika wamejaa funza vichwani ndio maana muda mwingi wanawaza kugongana tu.Shit hole bado tunasingizia mengi ooh tukitengeneza madawa wazungu wanatuwekea biti
Ooh tukijenga bwawa wazungu wanakataa
Ooh tukikataa ushoga watakata misaada
Yaani visingizio vyetu ni mzungu tu
Binadamu wanajaribu na kufanya kila kitu mahali alipo
Leo mchina ana madaraja marefu duniani na ametengeneza Visiwa kwa kujaza mchanga baharini
Kwa sasa ana visiwa vikubwa vya kijeshi vitatu na hakuna wa kumuambia kitu
Sasa sisi ukisema tunapitisha reli Serengeti watz watasema unataka tugombane na wazungu eti
Hivi wazungu waume zetu?
How does that elevate you as an African as long as technological development is concerned ?The fall on boeing and airbus is on the way...
Mtafika mbinguni mmetumia 0000.11111% ya ubongo wenu.Bado tunapambana tupate viza ya kwenda mamton
Na sidhan km utumiaj wa kiwango hicho ni dhambMtafika mbinguni mmetumia 0000.11111% ya ubongo wenu.
Sio dhambi ila unachangia uzubaifu.Na sidhan km utumiaj wa kiwango hicho ni dhamb
WatumiajiZiaminike na nani?
Sana mkuuWaafrika wamejaa funza vichwani ndio maana muda mwingi wanawaza kugongana tu.
Nchi yako unayotoka inaweza kucopy ndege ikapaa?Unajua ilivyopatikana hiyo aircraft carry au umenogewa tu na mapicha ya jack chan na jet li.......hao bado sana kwenye kubuni vitu........mwendo wa copy
Vp Airbus na Boeing wao hawana parts ambazo zinakuwa sourced nje ya Ulaya na US?
Tunasafari ndefu sanaSana mkuu
Kuna mmarekani alitengeneza dawa za binadamu na akauza bei ya kichaa
Some medicine zikatengenezwa na vijana watatu wa 6th form UK na wakauza kwa bei rahisi sana
Sasa mwafrika wawekee uzi wa ngono au kiongozi atukane jukwani ndio wanafurahia
Uzubaif huo ukiwa mbingun au dunianSio dhambi ila unachangia uzubaifu.
Wote wanategemeana mkuuVp Airbus na Boeing wao hawana parts ambazo zinakuwa sourced nje ya Ulaya na US?
Shoga baba yako bladifaken, kambinue uoneHivi ni kwanini mashoga mnaichukia China na urusi?
The fall on boeing and airbus is on the way...