Ndege kubwa ya abiria ya C919 yaanza rasmi kutumika nchini China

Ndege kubwa ya abiria ya C919 yaanza rasmi kutumika nchini China

Unajua ilivyopatikana hiyo aircraft carry au umenogewa tu na mapicha ya jack chan na jet li.......hao bado sana kwenye kubuni vitu........mwendo wa copy
 
What about you, africans ?
Shit hole bado tunasingizia mengi ooh tukitengeneza madawa wazungu wanatuwekea biti
Ooh tukijenga bwawa wazungu wanakataa
Ooh tukikataa ushoga watakata misaada
Yaani visingizio vyetu ni mzungu tu
Binadamu wanajaribu na kufanya kila kitu mahali alipo

Leo mchina ana madaraja marefu duniani na ametengeneza Visiwa kwa kujaza mchanga baharini

Kwa sasa ana visiwa vikubwa vya kijeshi vitatu na hakuna wa kumuambia kitu

Sasa sisi ukisema tunapitisha reli Serengeti watz watasema unataka tugombane na wazungu eti

Hivi wazungu waume zetu?
 
Shit hole bado tunasingizia mengi ooh tukitengeneza madawa wazungu wanatuwekea biti
Ooh tukijenga bwawa wazungu wanakataa
Ooh tukikataa ushoga watakata misaada
Yaani visingizio vyetu ni mzungu tu
Binadamu wanajaribu na kufanya kila kitu mahali alipo

Leo mchina ana madaraja marefu duniani na ametengeneza Visiwa kwa kujaza mchanga baharini

Kwa sasa ana visiwa vikubwa vya kijeshi vitatu na hakuna wa kumuambia kitu

Sasa sisi ukisema tunapitisha reli Serengeti watz watasema unataka tugombane na wazungu eti

Hivi wazungu waume zetu?
Waafrika wamejaa funza vichwani ndio maana muda mwingi wanawaza kugongana tu.
 
The fall on boeing and airbus is on the way...
Never
Screenshot_20230604_100301_Chrome.jpg
 
Waafrika wamejaa funza vichwani ndio maana muda mwingi wanawaza kugongana tu.
Sana mkuu
Kuna mmarekani alitengeneza dawa za binadamu na akauza bei ya kichaa
Same medicine zikatengenezwa na vijana watatu wa 6th form UK na wakauza kwa bei rahisi sana

Sasa mwafrika wawekee uzi wa ngono au kiongozi atukane jukwani ndio wanafurahia
 
Sana mkuu
Kuna mmarekani alitengeneza dawa za binadamu na akauza bei ya kichaa
Some medicine zikatengenezwa na vijana watatu wa 6th form UK na wakauza kwa bei rahisi sana

Sasa mwafrika wawekee uzi wa ngono au kiongozi atukane jukwani ndio wanafurahia
Tunasafari ndefu sana
 
Back
Top Bottom