Ndege ya kivita ya Iran imeingia Lebanon kupambana na Israel

Ndege ya kivita ya Iran imeingia Lebanon kupambana na Israel

Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel.

Rada za Israel zimeinasa ndege hiyo ya kivita ya Iran kitu kilicho pelekea kuzuka Kwa tension kubwa kwamba iran ameanza rasmi kuingiza mguu wake Huko Lebanon kupambana na israel,
Watashushwa na ndevu zao kuzimu
 
"Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel."
Hizi post zinatufanya Watanzania tuonekane na IQ n

Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel.

Rada za Israel zimeinasa ndege hiyo ya kivita ya Iran kitu kilicho pelekea kuzuka Kwa tension kubwa kwamba iran ameanza rasmi kuingiza mguu wake Huko Lebanon kupambana na israel,
Muwe mnaandika kwa weledi basi, siyo kiushabiki.
Jet ya kivita inabeba mizigo?
 
Sass muwe pole iyo na mjue kuwa ata iyo inayoitwa serikali y Lebanon nayo inapewa ufadhili na iran. boss anuniwi
 
Inaelekea serikali ya Lebanoni nayo ni dhaifu sana; Hezbollah ni kikundi cha kigaidi, hakimilikiwi na serikali, in fact serikali haikitaki, serikali inajua kabisa kikundi hicho kina fadhiliwa na Iran but still wala serikali haineshi kama haipendi; nchi yao imegeuzwa kua uwanja wa vita ambayo kimsingi haina faida yoyote kwao; stupid
Kuna uzi humu unaeleza kuwa hyo nchi haina rais toka 2022,na hao hezbollah ni chama cha siasa chenye nguvu huko lebanon na wana jeshi kabisa
 
Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel.

Rada za Israel zimeinasa ndege hiyo ya kivita ya Iran kitu kilicho pelekea kuzuka Kwa tension kubwa kwamba iran ameanza rasmi kuingiza mguu wake Huko Lebanon kupambana na israel,
Ndiyo umeshamaliza kuandika? Au imeji post ukiwa unaendelea kuandika?
 
Lebanon awana jesh ukitafuta ukweli ila sungusungu tu jesh kama jesh wanategemea hezbollah ulinzi w nchi ni hezbollah mue mnaelewa.
 
Inaelekea serikali ya Lebanoni nayo ni dhaifu sana; Hezbollah ni kikundi cha kigaidi, hakimilikiwi na serikali, in fact serikali haikitaki, serikali inajua kabisa kikundi hicho kina fadhiliwa na Iran but still wala serikali haineshi kama haipendi; nchi yao imegeuzwa kua uwanja wa vita ambayo kimsingi haina faida yoyote kwao; stupid
Kumbe tuna watu wengi hapa hawajui lolote kuhusu Lebanon Wala Hezbollah. Kwa taarifa Yako Hezbollah ndio Wana wabunge wengi wanaounda serikali ya waziri mkuu wa Lebanon. Hezbollah ni kama CCM kule Lebanon
 
"Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel."
Hizi post zinatufanya Watanzania tuonekane na IQ ndogo.
😅 😅

Afadhali umeona,
 
Hii dunia tunakoelekea ni kutamu
Twende huko huko tu maana vizazi vingi vya sasa havijashudia madhara ya vita vya mataifa (Dunia). Tutakapopita huko ndipo tutajua kufanya siasa za usawa na kuthamini maisha ya kila binadamu na maendeleo halisi ya kipindi husika.
 
"Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel."
Hizi post zinatufanya Watanzania tuonekane na IQ ndogo.
IQ inahusikaje hapo?
 
Back
Top Bottom