Lebanon hao Hezbollah ni askari wa IranNdege za Iran mbona zinaingia lebanon na wamesema waone mbabe awadunguwe, juzi kashuka waziri wao wa mambo ya nje.
Lebanon wenyeji waislamu ni wachache na hawana uadui na Israel
Iran ndiye kajaza askari wake Lebanon
Hivyo ukisikua Israel inapigana na Hezbollah ujue inapigana na Iran na sio Lebanon