Ndege ya kivita ya Iran imeingia Lebanon kupambana na Israel

Ndege ya kivita ya Iran imeingia Lebanon kupambana na Israel

Inaelekea serikali ya Lebanoni nayo ni dhaifu sana; Hezbollah ni kikundi cha kigaidi, hakimilikiwi na serikali, in fact serikali haikitaki, serikali inajua kabisa kikundi hicho kina fadhiliwa na Iran but still wala serikali haineshi kama haipendi; nchi yao imegeuzwa kua uwanja wa vita ambayo kimsingi haina faida yoyote kwao; stupid
Hizbollah ni chama cha siasa pale Lebanon na kina siti za bunge katika bunge la Lebanon na wao ndio wana mamlaka kusini mwa Lebanon.
Usiongee kama hujui kitu.
Waisoipenda Hizbollah ni pro-west ila kila Mlebanon mwenye akili anaipenda Hizbollah.
Sawa hatukatai uwepo wa Hizbollah umeleta maafa Lebanon ila pasi na Hizbollah hiyo Lebanon sasa ingekua imemegwa kama Gaza na ingekua imesambaratika kama Syria.
 
Lots of wishful and poor brains

Kipindi Cha Hamasi mlileta Taarifa Kem Kem kuwa Israel kaenda kujichimbia kaburi Gaza.

Hiyo imepita Sasa mmehamia kwa Hazbollah - Lebanon na huko vifusi vinazidi kujaa vya makaburi na miundombinu

Sasa Subirini tu scene ijayo mtaanza kusema Israel inaenda kujichimbia kaburi Tehran.

Garbage in, garbage out
 
Mbona ya
Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel.

Rada za Israel zimeinasa ndege hiyo ya kivita ya Iran kitu kilicho pelekea kuzuka Kwa tension kubwa kwamba iran ameanza rasmi kuingiza mguu wake Huko Lebanon kupambana na israel,
Urusi hujasema
 
Lots of wishful and poor brains

Kipindi Cha Hamasi mlileta Taarifa Kem Kem kuwa Israel kaenda kujichimbia kaburi Gaza.

Hiyo imepita Sasa mmehamia kwa Hazbollah - Lebanon na huko vifusi vinazidi kujaa vya makaburi na miundombinu

Sasa Subirini tu scene ijayo mtaanza kusema Israel inaenda kujichimbia kaburi Tehran.

Garbage in, garbage out
Kwani uongo israel haijajichimbia kaburi ghaza

Maana mpaka sasa wameshindwa kutimiza malengo yao na mbaya zaidi mateka hawajakombolewa

Au mwenzetu unataarifa tofauti
 
Wakiristo aliyewabatiza jina la makondoo mumlaani hasa maana tabia za kondoo zinafahamika.

Kondoo ndiye mfugo anayeaminika kukosa akili kabisa yeye ni kuswagwa tu kokote hana akili kabisa afadhali ya mbuzi ni mjanja anakwepa mitego ya kibwege.
Sasa na anayewaita majini itakua yuko sawa
 
Israel 🇮🇱 🇮🇱 🇮🇱. Tunasoma ilipambana na wafilisti, waashuru, wababeli, wamisri.nk. Leo hao wote waliopigana na Israel hatuwasikii tena bali wamekuja hawa Hezbollah, Hamas, nk. Baada ya miaka kadhaa watapotea naona kuendelea kubakia waisraeli, huku vikiibuka vikundi vingine. Hakuna wa kupigana na Israel akabaki salama kuendeleza uzao kwenye hii dunia.
Kwa akili hiizi za Waafrika tutaendelea kuwa wa Mwisho duniani.
 
Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel.

Rada za Israel zimeinasa ndege hiyo ya kivita ya Iran kitu kilicho pelekea kuzuka Kwa tension kubwa kwamba iran ameanza rasmi kuingiza mguu wake Huko Lebanon kupambana na israel,
Source ya hii habari ni ipi
 
Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel.

Rada za Israel zimeinasa ndege hiyo ya kivita ya Iran kitu kilicho pelekea kuzuka Kwa tension kubwa kwamba iran ameanza rasmi kuingiza mguu wake Huko Lebanon kupambana na israel,
Kwani Kuna shida gani Israel na yeye si anapewa siraha na ulinzi kutoka Marekani na uingereza

Tena Biden amaiambia Pentagon imuongezee ulinzi Israel
 
Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel.

Rada za Israel zimeinasa ndege hiyo ya kivita ya Iran kitu kilicho pelekea kuzuka Kwa tension kubwa kwamba iran ameanza rasmi kuingiza mguu wake Huko Lebanon kupambana na israel,
Source ya hii habari ni ipi
 
Inaelekea serikali ya Lebanoni nayo ni dhaifu sana; Hezbollah ni kikundi cha kigaidi, hakimilikiwi na serikali, in fact serikali haikitaki, serikali inajua kabisa kikundi hicho kina fadhiliwa na Iran but still wala serikali haineshi kama haipendi; nchi yao imegeuzwa kua uwanja wa vita ambayo kimsingi haina faida yoyote kwao; stupid
Kinacho umiza zaidi wale wamama na watoto wanauliwa halafu hao wa kubwa wa lebanoni hawasemi kitu kisa kuwasaidia Hezbollah, Makambi yenyewe wanayaweka kwenye watu wasio hata na hatia jamani.
 
Inaelekea serikali ya Lebanoni nayo ni dhaifu sana; Hezbollah ni kikundi cha kigaidi, hakimilikiwi na serikali, in fact serikali haikitaki, serikali inajua kabisa kikundi hicho kina fadhiliwa na Iran but still wala serikali haineshi kama haipendi; nchi yao imegeuzwa kua uwanja wa vita ambayo kimsingi haina faida yoyote kwao; stupid
Huna unachojua
 
Kumbe tuna watu wengi hapa hawajui lolote kuhusu Lebanon Wala Hezbollah. Kwa taarifa Yako Hezbollah ndio Wana wabunge wengi wanaounda serikali ya waziri mkuu wa Lebanon. Hezbollah ni kama CCM kule Lebanon
Haiondoi ukweli kwamba serikali ya Lebanoni ni dhaifu; hawa Hezbollah kwa asili ni Wapalestina waliokimbilia Lebanoni kama wakimbizi, sawa tu na kinacho endelea Congo/Zaire; wale Watutsi almaarufu kama Banyamulenge walikimbilia kule na sasa wanatishia kuipndoa serikali iliopo madarakani, nonsense.
Huna unachojua
Karibu kwa elimu kaka; nipo tayari kujifunza
 
Inaelekea serikali ya Lebanoni nayo ni dhaifu sana; Hezbollah ni kikundi cha kigaidi, hakimilikiwi na serikali, in fact serikali haikitaki, serikali inajua kabisa kikundi hicho kina fadhiliwa na Iran but still wala serikali haineshi kama haipendi; nchi yao imegeuzwa kua uwanja wa vita ambayo kimsingi haina faida yoyote kwao; stupid
Ndugu yangu uslilijua ni usiku wa kiza
Hizbullah ni sehemu ya serikali ya Lebanon mawaziri wawili wa serikali wametokea hizbullah na pia spika ni swahiba wa hizbullah yaani hizbullah ni chama cha siasa na pia ni paramilitary force kinacontrol south lebanon yote na wabunge wa huko wote ni hizbullah au wachache ni wale wa chama cha spika wa bunge political structure ya lebanon lazima hizbullah apewe nafasi za uwaziri na pia lazima christian part zitoe president na vyama vingine vitoe waziri mkuu tatizo wewe unaendeshwa na propaganda kuwa wale magaidi jiulize dhidi ya nani maana wao ni serikali pia pale Lebanon karibu world politics 101.
 
Ndugu yangu uslilijua ni usiku wa kiza
Hizbullah ni sehemu ya serikali ya Lebanon mawaziri wawili wa serikali wametokea hizbullah na pia spika ni swahiba wa hizbullah yaani hizbullah ni chama cha siasa na pia ni paramilitary force kinacontrol south lebanon yote na wabunge wa huko wote ni hizbullah au wachache ni wale wa chama cha spika wa bunge political structure ya lebanon lazima hizbullah apewe nafasi za uwaziri na pia lazima christian part zitoe president na vyama vingine vitoe waziri mkuu tatizo wewe unaendeshwa na propaganda kuwa wale magaidi jiulize dhidi ya nani maana wao ni serikali pia pale Lebanon karibu world politics 101.
Nilijua hilo bro, naijua vizuri sana historia yao kaka. Iko hivi, hao waliounda hiko chama cha Hezbollah hawakuunda kama political party for Lebanon, it was made for Israel; kwa ufupi hawa ni wahamiaji (you may call WAKIMBIZI ) kutoka ardhi ya Palestine, baada ya chama chao cha PLO kuona kama hakina mwelekeo ndio sasa hawa wahamiaji wakawa ba nguvu, nguvu yao imekua kubwa sana hasa baada ya rais wa PLO bwana Yassir Arafat kufariki dunia, hapa sasa ndio hawa jamaa wakaanza kuingia kwenye siasa hasa huko Beirut. Hi naiganajisha na kinacho endelea Congo kwa wale Waasi wa M23, they kept on changing names everytime, walimsaidia Kabila Sn kuingia madarakani kwa kumuondoa Mabutu Seseko but kwa ufupi waasi wale wa Congo ni Watutsi from Rwanda na wanayumiwa sana na PK kuifanya Congo isiwe na amani todate na ndio kilicho tokea Lebanon, wamezaliana, wanakua sponsored na Iran and his allies na finally wataifanya Lebanoni kua nchi yao. Kwa ufipi, kinacho tokea Lebanon Vs this guy's ndio moja kati ya sababu ya why other Arabic countries kuwakataa wakimbizi wa Kipalestina.
 
Back
Top Bottom