Ndege ya kivita ya Iran imeingia Lebanon kupambana na Israel

Ndege ya kivita ya Iran imeingia Lebanon kupambana na Israel

Haiondoi ukweli kwamba serikali ya Lebanoni ni dhaifu; hawa Hezbollah kwa asili ni Wapalestina waliokimbilia Lebanoni kama wakimbizi, sawa tu na kinacho endelea Congo/Zaire; wale Watutsi almaarufu kama Banyamulenge walikimbilia kule na sasa wanatishia kuipndoa serikali iliopo madarakani, nonsense.

Karibu kwa elimu kaka; nipo tayari kujifunza
Kwahiyo wewe unaona ni dhaifu kwa sababu Hezbollah anapigana na Israel au kwa sababu ipi?
 
Israel imedhamiria kuleta ukombozi Lebanon kutoka kwenye mikono ya magaidi.
Sababu ya kuanzishwa Hezbollah ni kuikomboa Lebanon kutoka Kwa Israel waliokuwa wanakalia maeneo ya Lebanon leo Tena Israel awe mkombozi wa Lebanon kweli bangi sio nzuri
 
Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel.

Rada za Israel zimeinasa ndege hiyo ya kivita ya Iran kitu kilicho pelekea kuzuka Kwa tension kubwa kwamba iran ameanza rasmi kuingiza mguu wake Huko Lebanon kupambana na israel,
Zinaingia sana na kutoka na Israel anajua na anaziona aziguse aone mziki wake.
 
Zinaingia sana na kutoka na Israel anajua na anaziona aziguse aone mziki wake.
Prince; tujipe muda. Naona kama hili suala ni kama tunaingiza sana ushabiki kama wa Yanga na Simba or Chadema na CCM. Watu wana KUFA again those guys wanajuana for so long, sie wa Mbagara rangi 3 tunahusisha na dini which is not true.
 
Ndege za Iran mbona zinaingia lebanon na wamesema waone mbabe awadunguwe, juzi kashuka waziri wao wa mambo ya nje.
Hezbollah sialaha zao n frm Iran mesahau hii walitaka ziende kwa wifi au bulhuuuuutuuuuthi
 
Hilo ni suala la IQ?
images (2).jpeg
 
Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel.

Rada za Israel zimeinasa ndege hiyo ya kivita ya Iran kitu kilicho pelekea kuzuka Kwa tension kubwa kwamba iran ameanza rasmi kuingiza mguu wake Huko Lebanon kupambana na israel,
kitu pekee kinachoweza kuitisha israel toka iran ni misiles, sio ndege. kama ni ndege, israel na marekani wanazo nyingi mno mno.
 
Inaelekea serikali ya Lebanoni nayo ni dhaifu sana; Hezbollah ni kikundi cha kigaidi, hakimilikiwi na serikali, in fact serikali haikitaki, serikali inajua kabisa kikundi hicho kina fadhiliwa na Iran but still wala serikali haineshi kama haipendi; nchi yao imegeuzwa kua uwanja wa vita ambayo kimsingi haina faida yoyote kwao; stupid
Hezbollah ni chama cha kisiasa.
 
Back
Top Bottom