Watashushwa na ndevu zao kuzimuLeo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel.
Rada za Israel zimeinasa ndege hiyo ya kivita ya Iran kitu kilicho pelekea kuzuka Kwa tension kubwa kwamba iran ameanza rasmi kuingiza mguu wake Huko Lebanon kupambana na israel,
"Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel."
Hizi post zinatufanya Watanzania tuonekane na IQ n
Muwe mnaandika kwa weledi basi, siyo kiushabiki.Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel.
Rada za Israel zimeinasa ndege hiyo ya kivita ya Iran kitu kilicho pelekea kuzuka Kwa tension kubwa kwamba iran ameanza rasmi kuingiza mguu wake Huko Lebanon kupambana na israel,
Kuna uzi humu unaeleza kuwa hyo nchi haina rais toka 2022,na hao hezbollah ni chama cha siasa chenye nguvu huko lebanon na wana jeshi kabisaInaelekea serikali ya Lebanoni nayo ni dhaifu sana; Hezbollah ni kikundi cha kigaidi, hakimilikiwi na serikali, in fact serikali haikitaki, serikali inajua kabisa kikundi hicho kina fadhiliwa na Iran but still wala serikali haineshi kama haipendi; nchi yao imegeuzwa kua uwanja wa vita ambayo kimsingi haina faida yoyote kwao; stupid
Ndiyo umeshamaliza kuandika? Au imeji post ukiwa unaendelea kuandika?Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel.
Rada za Israel zimeinasa ndege hiyo ya kivita ya Iran kitu kilicho pelekea kuzuka Kwa tension kubwa kwamba iran ameanza rasmi kuingiza mguu wake Huko Lebanon kupambana na israel,
Juzi waziri wa mambo ya nje wa iran alikua lebanonSidhani kama ni kweli hii. Kwa hali iliyopo kwasasa sio rahisi Ndege ya Iran ikaingi Lebanon halafu ikaacha bila kulipuliwa
FaizaFoxy njoo inboxNdege za Iran mbona zinaingia lebanon na wamesema waone mbabe awadunguwe, juzi kashuka waziri wao wa mambo ya nje.
Kumbe tuna watu wengi hapa hawajui lolote kuhusu Lebanon Wala Hezbollah. Kwa taarifa Yako Hezbollah ndio Wana wabunge wengi wanaounda serikali ya waziri mkuu wa Lebanon. Hezbollah ni kama CCM kule LebanonInaelekea serikali ya Lebanoni nayo ni dhaifu sana; Hezbollah ni kikundi cha kigaidi, hakimilikiwi na serikali, in fact serikali haikitaki, serikali inajua kabisa kikundi hicho kina fadhiliwa na Iran but still wala serikali haineshi kama haipendi; nchi yao imegeuzwa kua uwanja wa vita ambayo kimsingi haina faida yoyote kwao; stupid
Una nyege mshindo? Nenda jukwaa la mapenzi, hapa siyo mahala pake.FaizaFoxy njoo inbox
😅 😅"Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel."
Hizi post zinatufanya Watanzania tuonekane na IQ ndogo.
Twende huko huko tu maana vizazi vingi vya sasa havijashudia madhara ya vita vya mataifa (Dunia). Tutakapopita huko ndipo tutajua kufanya siasa za usawa na kuthamini maisha ya kila binadamu na maendeleo halisi ya kipindi husika.Hii dunia tunakoelekea ni kutamu
Mbona wanadunguliwa dailyNdege za Iran mbona zinaingia lebanon na wamesema waone mbabe awadunguwe, juzi kashuka waziri wao wa mambo ya nje.
ChaiNdege za Iran mbona zinaingia lebanon na wamesema waone mbabe awadunguwe, juzi kashuka waziri wao wa mambo ya nje.
IQ inahusikaje hapo?"Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel."
Hizi post zinatufanya Watanzania tuonekane na IQ ndogo.
Wairan waliodunguliwa kisasi chao si juziMbona wanadunguliwa daily
Wewe unaonesha hata kinachodedelea hukielewi.Kama Rais alidunguliwa huyo Waziri wanashindwaje, hajaingia kwenye mfumo
Sio kuzikana sasaHii dunia tunakoelekea ni kutamu