Ndege ya kivita ya Iran imeingia Lebanon kupambana na Israel

Kwahiyo wewe unaona ni dhaifu kwa sababu Hezbollah anapigana na Israel au kwa sababu ipi?
 
Israel imedhamiria kuleta ukombozi Lebanon kutoka kwenye mikono ya magaidi.
Sababu ya kuanzishwa Hezbollah ni kuikomboa Lebanon kutoka Kwa Israel waliokuwa wanakalia maeneo ya Lebanon leo Tena Israel awe mkombozi wa Lebanon kweli bangi sio nzuri
 
Zinaingia sana na kutoka na Israel anajua na anaziona aziguse aone mziki wake.
 
Zinaingia sana na kutoka na Israel anajua na anaziona aziguse aone mziki wake.
Prince; tujipe muda. Naona kama hili suala ni kama tunaingiza sana ushabiki kama wa Yanga na Simba or Chadema na CCM. Watu wana KUFA again those guys wanajuana for so long, sie wa Mbagara rangi 3 tunahusisha na dini which is not true.
 
Ndege za Iran mbona zinaingia lebanon na wamesema waone mbabe awadunguwe, juzi kashuka waziri wao wa mambo ya nje.
Hezbollah sialaha zao n frm Iran mesahau hii walitaka ziende kwa wifi au bulhuuuuutuuuuthi
 
kitu pekee kinachoweza kuitisha israel toka iran ni misiles, sio ndege. kama ni ndege, israel na marekani wanazo nyingi mno mno.
 
Hezbollah ni chama cha kisiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…