Ndege ya Precision yazimika injini ikiwa angani

Inawezekana huyu dogo wa kutoka ubeberuni asingewaambia abiria wa kibongo kuwa injini moja imezima rubani angeforce kulifikisha dude Dar
You nailed it , air crash investigation kuna scenario nyingi sana zinasikitisha , na kuna mchango mkubwa kwa abiria kwa pilots just incase .
Kuna moja jamaa walipata engine fire kwenye engine , namba mbili , kwa kuwa bado ilikuwa inafanya kazi , pilot aamkua kuzima engine ili moto usiendelee , badala ya kuzima ile yenye kukolea moto akazima hii nzima namba moja , dude likashuka mazima .
 
yeah kwa sababu midege hii ina power backup nyingi. kama ni engine moja tu imekufa yeah anaweza kwenda kwa muda huo. haya yana migenerator ya kuzalisha umeme kusaida kuendesha ndege, lakini pia ya batteries kama generator pia zitazingua
Aisee!
 
Usikariri.
 
Ningekuwepo humo ndegeni ningevaa zangu earphone sauti hadi mwisho kabsa. Ningeweka nyimbo ya rose muhando _Nakaza mwenendo nifike mbinguni.
Ningefanya hivyo kwa sababu hata ningepiga makelele ingebadikisha chochote??
Njoo uone reaction ya nduguyo Extrovert
 
Kifupi alikuwa anatembelea choki 😁😁😁
 
Hivi mkondo wa Nungwi unavyoyumbishaga ndege mlipoufikia si karibu ujiharishie kwa hofu?🀣
 
Ndege ya engine mbili ikizima engine moja huwa haina shida kabisa, huwa zinatua uwanja ulio karibu ili kuepuka endapo engine iliyobakia inaweza kuzima pia. Ila ndege inaweza kuruka na engine moja na ikatua salama kabisa
Hakuna rubani anaweza kubali ruka na engine 1
Hiyo ikukute tu angani ndo waweza angalia karibu wapi, na ikitokea ikafail ndo yale ya Captain Sully, tafuta maji au mlipuke
 
yeah kwa sababu midege hii ina power backup nyingi. kama ni engine moja tu imekufa yeah anaweza kwenda kwa muda huo. haya yana migenerator ya kuzalisha umeme kusaida kuendesha ndege, lakini pia ya batteries kama generator pia zitazingua
Ila pia huwa haishauriwi kufanya hivyo, maana engine failure moja inaweza sababisha zote zikazima, kwani moja yaweza zidiwa
 
Ngozi nyeusi wala hazikuwa zinajua bout engine shut off .hakuna kitu wanajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…