You nailed it , air crash investigation kuna scenario nyingi sana zinasikitisha , na kuna mchango mkubwa kwa abiria kwa pilots just incase .Inawezekana huyu dogo wa kutoka ubeberuni asingewaambia abiria wa kibongo kuwa injini moja imezima rubani angeforce kulifikisha dude Dar
Aisee!yeah kwa sababu midege hii ina power backup nyingi. kama ni engine moja tu imekufa yeah anaweza kwenda kwa muda huo. haya yana migenerator ya kuzalisha umeme kusaida kuendesha ndege, lakini pia ya batteries kama generator pia zitazingua
Usikariri.Napata shida kuelewa juu ya kuzima kwa engine moja na ndege na kuendelea na safari. Ndege za Precision Air hazina engine tatu; zote zina engine mbili, kila bawa imefungwa engine moja. Kuruka na kupaa kwa ndege hizi za engine mbili, ni lazima engine zote mbili zifanye kazi. Ikitokea engine moja ikazima, ndege hiyo haiwezi kuendelea na mwendo katika uelekeo wake, kwani engine moja inayofanya kazi itavuta upande mmoja na kupoteza direction. Nadhani kulikuwa na hitilafu tu ya engine, lakini sio engine kuzima. Kama ingekuwa na engine tatu; engine hii ya tatu ambayo haitegemeani na nyingine (unpaired), hata ikizima, ndege inaweza kwenda in the same direction, labda speed ndio itapungua, kwakuwa the turning torque is balanced.
Hata rubani nae hapendi kufa.Na ukute lapigwa gia hivyo hivyo na injini moja Kila siku Leo ndo mzungu kastukia,
Anyway wazungu wako mbele sana na sisi tuko nyuma sana.
Hukuona ile ndege ya Air Tanzania na tairi kipara inarushwa hivyo hivyo,mtu mweusi hajawahi kuwa serious na vitu muhimu.Hata rubsni nae hapendi kufa.
Usipoamini hakuna linaloharibikaChanzo? Tunaaminije
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usipoamini hakuna linaloharibika
Njoo uone reaction ya nduguyo ExtrovertNingekuwepo humo ndegeni ningevaa zangu earphone sauti hadi mwisho kabsa. Ningeweka nyimbo ya rose muhando _Nakaza mwenendo nifike mbinguni.
Ningefanya hivyo kwa sababu hata ningepiga makelele ingebadikisha chochote??
Kifupi alikuwa anatembelea choki πππHizi ndege ndogo nakumbuka niliwahi kukaa pale mbele na pilot, tulikua tunatokea Pemba, ndege ilikua imekwisha kabisa mafuta na ilikua inapiga alarm tukaruka mpaka unguja, hakujaza mafuta, tukaenda nayo mpaka uwanja wa Dar.
Siku hiyo ilikua tete maana jamaa alikua mbishi mno yeye alikua analazimisha kufika dar ndio ajaze mafuta.
Jinga sana yule jamaa.
Hivi mkondo wa Nungwi unavyoyumbishaga ndege mlipoufikia si karibu ujiharishie kwa hofu?π€£Hizi ndege ndogo nakumbuka niliwahi kukaa pale mbele na pilot, tulikua tunatokea Pemba, ndege ilikua imekwisha kabisa mafuta na ilikua inapiga alarm tukaruka mpaka unguja, hakujaza mafuta, tukaenda nayo mpaka uwanja wa Dar.
Siku hiyo ilikua tete maana jamaa alikua mbishi mno yeye alikua analazimisha kufika dar ndio ajaze mafuta.
Jinga sana yule jamaa.
Tumia tu ungo wako ule ni salama kuliko hizi ndege.Na mchana huu nilikuwa nataka ni book ticket ya kurudi Dar kupitia kwao[emoji15][emoji3064]
Hakuna rubani anaweza kubali ruka na engine 1Ndege ya engine mbili ikizima engine moja huwa haina shida kabisa, huwa zinatua uwanja ulio karibu ili kuepuka endapo engine iliyobakia inaweza kuzima pia. Ila ndege inaweza kuruka na engine moja na ikatua salama kabisa
Panga boi usijue ikisimama zungukaNawaza huyp dogo amejuaje kama engine moja imezima? While haoni dashboard? Nitoeni ushamba hapo
Inategemea ndege na ndege ila haiwezi zidi masaa 2Muda gani inaweza kuruka na engine moja?
Ila pia huwa haishauriwi kufanya hivyo, maana engine failure moja inaweza sababisha zote zikazima, kwani moja yaweza zidiwayeah kwa sababu midege hii ina power backup nyingi. kama ni engine moja tu imekufa yeah anaweza kwenda kwa muda huo. haya yana migenerator ya kuzalisha umeme kusaida kuendesha ndege, lakini pia ya batteries kama generator pia zitazingua
Ngozi nyeusi wala hazikuwa zinajua bout engine shut off .hakuna kitu wanajuaView attachment 2306678
Abiria ndani ya ndege ya Kampuni ya Precision, jana waliingiwa na hofu ya usalama wao baada ya injini moja kuzima ikiwa angani.
Ndege hiyo yenye namba PW 467 ikitokea Kahama, ikielekea Dar es Salaam kupitia Mwanza, ilizima injini baada ya dakika 51 kuruka kutoka uwanja wa ndege wa Mwanza.
Hofu ilianza kutokea baada ya abiria mmoja, kijana wa kizungu, kuanza kupiga kelele, akiwaeleza wenzake waliokuwa wameketi jirani, kwamba injini imezima.
Baadaye abiria wengine waliingiwa hofu, huku baadhi wakisali, wakilia na wengine kuonekana wamejiinamia, huku wamefunika nyuso zao.
Baada ya abiria kuonekana 'wakipaniki' ndipo rubani wa ndege hiyo alitangaza kuwepo kwa hitilafu hiyo huku akieleza kwamba hali siyo ya kutisha sana.
"Abiria wetu wapenzi, ndege yetu imepata tatizo la kiufundi, injini moja imezima, lakini hakuna haja ya kuwa na wasiwasi kwani, tunapanga kutua katika kiwanja jirani na hapa tulipo," alisema rubani huyo.
Hata hivyo, tulizo la mwana anga huyo halikuleta afueni ya wasiwasi kwa abiria wengi, waliendelea na hofu yao, huku wengine waliokuwa hawajatambua kinachoendelea wakiungana na wengine kusononeka.
Rubani alirejea tena kwa tangazo; "Abiria wetu wapendwa, tunasikitika kwa kilichotokea, nawaomba kuwa watulivu wakati sasa tunajiandaa kutua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro. Tutatua ndani ya dakika 20."
Baada ya muda huo, ndege hiyo ilitua salama katika uwanja huo na abiria walishangilia. Wengine walipiga kofi, wengine wakipiga kelele za shangwe na wengine wakimshukuru Mungu.
Mmoja wa abiria aliyekuwamo ndani ya ndege hiyo, Simon Mkina, aliandika katika ukurasa wake wa Twitter na taarifa hiyo kusambaa dunia nzima, huku akipongezwa kwa kutoa taarifa hiyo mapema.
Ni kupewa taarifa ili ujitayarishe na matokeo, siyo taharuki.Vitu vingine ni kuwatengenezea watu taharuki ambazo hazina maana ..
Sasa unavaaje boya angani we mzeee..... Au ulitaka kusema parachute...ππππNi hatari sana, eti usalama wako ni kuvaa boya, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mdau hapo amesema hadi dakika 370 kwa sababu ya backups mbalimbaliInategemea ndege na ndege ila haiwezi zidi masaa 2