Ndege ya Precision yazimika injini ikiwa angani

Kifupi alikuwa anatembelea choki 😁😁😁
Kama ni muvi utasikia; 'Flight nainanaina, we are out of fuel, the plane is flying on vapours'....... hatari mwanawanee.

Ila inakuwaga tamu kwenye muvi tu sio wewe ndiyo uwe ndani laivulaivu wee!

Ila kwa upande mwingine suala la alarm kawaida tu mbona mabasi ya mikoani yanapigaga kale ka spidi gavana ng'ooo ng'ooooo karibu robotatu ya safari halafu kawaida tu!
 
Kuna ndege inaruka bila ya kuwa na mafuta?
 
Yenye engine moja?
Yes they can but I believe there are other conditions for this to be possible eg pleasant weather meaning no strong wind, heavy clouds
Yes one engine. Under severe weather conditions even two engines can struggle.
 
Thank God we are safe.
 
Ila ukweli hivi vindege vina fly chini sana kwa MTU mwenye utaalamu anajirusha tu anaogelea angani taaratiiiiiiiibu
 
Au mimi huwa sielewi... ukipanda ndege za Far trip mbona kama kuna wakati mlio wa engine huwa siusikii.. mimi nikajua Pilots huwa anaweza zima Engine m1 kuipumzisha kisha kuiwasha... wakakati ndege ikiwa angani
🀣🀣🀣🀣 Duh!!!!!
 
Mimi huwa nashangaa vile vindege ambavyo huwa vina pangaboi moja pale mbele tu. Sipati picha Hilo pangaboi likizungua.
Likizingua huwa vinatua hadi juu ya mti πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Uzuri wake hata barabarani kanatua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…