Duh! Siyo kweliMatibabu gani? Anabeba mihuri ya ikulu kwenda kwa waarabu kusaini mikataba ya kuuza nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Siyo kweliMatibabu gani? Anabeba mihuri ya ikulu kwenda kwa waarabu kusaini mikataba ya kuuza nchi
Inawezekana kabisa,I believe it all has to do with the DP World Agreement,mkataba mbaya kabisa nchi yetu kuwahi kuingiza tangu tupate Uhuru 1961.Pengine Atakuwa kwenye vikao vya kubembeleza walegeze masharti magumu ya mkataba
Mambo ni mengi muda mchacheWabongo nuksi mamaé [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787]
Chawa unalipwa beigani?Wanachekesha kweli hawa!!!!! Wanazidi kujidhalilisha.......kumbe mama mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, ni lidude likuubwa mno kwao.
Kitu kama hicho
Huna hata aibu, kisa mkate wa kutupiwa? Simama kama mwanaume acha ukibaraka.Hivi huwa vinawafariji wenyewe vikauli kama hivi ee?!!!
Mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, yuko fresh na kama anatoka basi kwa ajili ya mipango yake tu mingine ya kimaendeleo kwa nchi yake na raia wake na wala siyo hivi vikelele vya kisungo vya hawa nyumbu a.k.a majuha......she's too busy to waste her valuable time kwa nyumbu ndo maana anatulia tu, anawachora tu.
Kwa pesa za mauzo?Wajinga nyie mnaohangaika kumpekenyua Mama wakati yeye anajilia bata tu.
Na hata akiachia ngazi leo hii bata litaendelea mpk kufa kwake. Sasa sijui nyie mnapata nn kwa kazi hii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kweli ulinzi umeimarishwa. Asante mleta mada.
Walipe wao wenyewe!!!Ni bora tuilipe hiyo hela waliopewa kama rushwa Ili tuachane na huo mkataba
Haijalishi yuko wapi? Rais wa nchi popote alipo ni suala la Nchi, asipoonekana hadharani tunahoji, ndege yake hawezi kuiruhusu kuzurura ovyo bila kujali maslahi mapana ya nchi.Nyie ni kama bundi mara mseme Iko Saudia siku ya 8 Sasa mara Iko Oman mara saizi mnasema Iko Dubai yaani ni upuuzi tuu.
Tafuteni wajinga wenzenu ndio muwe mnaambizana huu utoto.
Keshafika ukomo wa uvumilivu, kaziba masikio amebakiza kuwaweka kwenye viroba mtupwe kawe beach.Aibu tu...
Na ataipata fresh!!
Msubirie 8/8 na tarehe 10 utamuona tuuHaijalishi yuko wapi? Rais wa nchi popote alipo ni suala la Nchi, asipoonekana hadharani tunahoji, ndege yake hawezi kuiruhusu kuzurura ovyo bila kujali maslahi mapana ya nchi.
Mungu aepushie mbali,yaani tutawaliwe na mhutu tena???Ikimpendeza mwenyezi Mungu afunge hesaabu tu.....
Kwa nini hafai mkuu tuambie,kwa kuwa mimi naona ni mtu mwaminifu na mwenye msimamo sana,na hiyo ndiyo aina ya Rais tunayetaka.Ni mpigaji tu atakayeona Mpango hafai kuwa Rais.Mpango hafai kuwa Rais hata kidgo