Ndege ya watalii yapokelewa Uwanja wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA)

Nchi iliyokua inategemea watalii milioni 2 leo inashangilia watalii mia 2, aisee.
Huu ni mwanzo lazima furaha iwepo,mlitaka wasije kabisa,bora hao 200 kuliko kukosa kabisa,uchawi sio mpaka mtu abebe tunguli,jitazameni kauli zetu

Endeleeni kusubiri taifa hili lifeli,mtasubiri sana.
 
Tuwekewe sanctions tumefanya nini?
 
Kweli TBC ni tv ya propaganda mbona ndege yenyewe imeshusha watu 6 ?
Hao wengine watakuwa maeshukia vituo vya nyuma huko. Ilikuwa inashusha kama Daladala...KIA wapooo...Shushaaa..Andaa nauli kabisa...Ngorongoro unashusha.....Poa bi mkubwa andaa mzigo kama ni chenji niandae kabisa. Nasikia mmoja kachenjiana na konda katoa buku 10 konda hana chenji wakati ndo biashara inaanza. Alikuwa anashukia BURIGI Chato!


MATAGA mtakufa kwa kihoro. Narudia tena kama mnategemea utalii na hii ficha ficha yenu ukweli basi mmeshafeli mapema kabisaaa. Msije kusema sijawaambia. Usanii wenu utabaki huko huko bongo.

Nyambaf!
 
Lakini vitu vingine kama Miundombinu imeboreka sana hadi Ubungo junction tumepata Flyover kuchelewa kazini ndo basi tutawahi kwenda mjini
 
Tuwekewe sanctions tumefanya nini?
Siwezi kubishana utoto kama timamu ungeona mantiki ya post ni umuhimu wa kuonyesha resilience ata wakati unapitia kipindi kigumu.

Haya ebu nielezee ulivyo tafsiri wewe hiyo aya mwisho inasemaje?
 
Siwezi kubishana utoto kama timamu ungeona mantiki ya post ni umuhimu wa kuonyesha resilience ata wakati unapitia kipindi kigumu.

Haya ebu nielezee ulivyo tafsiri wewe hiyo aya mwisho inasemaje?
Unathrow back swali nililokuuliza
 
Ujio wa watalii uonekane kwenye mapato ya nchi. Hizo mbwembwe za kupotezeana muda waziache.
 
Watalii watakuja tu maana Corona lazima tujifunze kuishi nayo kama yalivyo magonjwa mengine.
Ni mawazo yako na huyo kilaza wako wa Chato. Dunia nzima watu wanaongelea ''maisha kubadilika'' mpaka hapo chanjo itakapopatika na wewe unaleta ufahamu wa nyumbu hapa. Watu kama wewe hata hawajui wastaafu ndiyo wanafanya kundi kubwa la watalii na hawawezi ku-risk maisha yao kuja nchi yenye viongozi wajinga kama yetu!
 
Kwa kipindi hiki watalii 200 Ni wengi Sana..😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…