saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Inakuhus nini kafanye mambo yako, unajipa majukumu yasiyokuhusu na usiyoyaweza kwanini. Mtu mzima umejaa umbea bila haya?Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!
*********** **************
Update
Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836
Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
umecopy mapicha ya hovyo hovyo huko mtandaoni unatuleta uzushi, shenzi kabisa.
Tanganyika si ni shamba la bibi au kichwa cha mwendawazi? Watakuwa wamebeba chochote wakitakacho. Labda UraniumNdege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!
*********** **************
Update
Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836
Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
Kwa nini?Jitahidi upate matibabu
Pembe zimesalimika kweliNdege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!
*********** **************
Update
Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836
Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
Imepotea kwenye Radar?! Au imepata ajali nini?! Ilibeba nini?!Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!
*********** **************
Update
Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836
Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
Au wanatorosha dhahabu nini?Tanganyika ianaliwa na wahuni watakavyo.waliokuwa karibu wanasema yalibebwa mafurushi makubwa makubwa yamewekwa kwenye mifuko.inaonekana kama maliasili zitapelekwa Dubai.
Hao ni washamba wa hovyo, eti haionekani kwenye radar, ye ana radar? Mbona kila siku asubuhi pale Manyara airport ndege zinashusha abiria na kupakia wengine, hizo ni shuttle za kawaida na pale ni zaidi ya hata ndege 20 kwa siku, huyu mshamba sijui ni wapi. Wenzio wanaoishi maeneo ya kitalii wameshazoea hayo mambo. Wanajifanya wanajua kuifuatilia hii serikali, wapumbavu kabisa. Hawamwezi Rais wetu minyau hiyo.Kwani safari za ndege hizo ni A kawaida na watalii wanakaa hotel Zanzibar Asubuhi wanachukua ndege na kwenda kwenye Mbuga za wanyama.moja kwa moja na ipo kwa mbuga zote lakini kwa ujinga wako ndiyo unqtaka kuanzisha taharuki kuwapata wajinga wenzio.. Ukienda uwanja wa ndege wa Nungwi hizo ndiyo trip zake kila siku na chache huindika airport ya Abeid Karume.
Unataka wajivunie machafuko? Ndugu penye amani unapata fursa hata ya huu uhuru wa maoni kama.. Pasipo na amani hakuna maisha. Tuendelee kuilinda na kujivunia amani yetu. πππBongo watu wanajivunia amani. Ujinga tu.
Kazi yako ni njema, juzi ulimuumbua mtu aliyekwenda Dubai kwa kificho
we kalinde shamba la bibi yako, kenge weShamba la bibi linapigwa kushoto kulia. Hafi 2030. Hakuna rangi mtaacha kuona
Unazungumzia jeshi Gani? Bila shaka utakuwa unaishi Nyuyoku.Naamini huenda Jeshi letu la Anga watakuwa wameiona!
we ndio zuzu, sisi tuna akiliWabongo sisi ni mazuzu .
Kwani safari za ndege hizo ni A kawaida na watalii wanakaa hotel Zanzibar Asubuhi wanachukua ndege na kwenda kwenye Mbuga za wanyama.moja kwa moja na ipo kwa mbuga zote lakini kwa ujinga wako ndiyo unqtaka kuanzisha taharuki kuwapata wajinga wenzio.. Ukienda uwanja wa ndege wa Nungwi hizo ndiyo trip zake kila siku na chache huindika airport ya Abeid Karume.
Pale selous hazitui zaidi ya chata za watu wasiozidi kumiNi ndege kubwa au ndogo? Ina uwezo wa kubeba wanyama pori hai?