Sasa mbona umepaniki?Kwani safari za ndege hizo ni A kawaida na watalii wanakaa hotel Zanzibar Asubuhi wanachukua ndege na kwenda kwenye Mbuga za wanyama.moja kwa moja na ipo kwa mbuga zote lakini kwa ujinga wako ndiyo unqtaka kuanzisha taharuki kuwapata wajinga wenzio.. Ukienda uwanja wa ndege wa Nungwi hizo ndiyo trip zake kila siku na chache huindika airport ya Abeid Karume.
we ndio mtanganyika, nchi ya kufikirika, sisi ni watanzania,Hapo wa kulaumu ni Watanganyika wenzetu inakuwaje Mzanzibar mmoja awapelekeshe na kufanya atakavyo ikiwemo hilo la kuiba maliasili zetu toka mbugani na wao wakakubali tu kama makondoo! Naona wabaya ni Watanganyika wenzetu ambao wanashirikiana naye lakini jumba bovu wanamwangushia Mzanzibar.
Ccm wana hasira sanaHoja yako ina mashiko na ukweli but uwasilishaji wako umekuwa kama wa kusutana
Ukisoma hoja ya mleta hoja wala ajaweka wazi Jambo lolote
Yeye ameshangaa kama wengine tunavyoshangaa why haina transponder
Majibu yako yanaweza kuwa sahihi
Sema ukoo wako ndio mazuzuWabongo sisi ni mazuzu .
Ushamba ni mzigo bwashee, labda anadhani hiyo app anayo peke yake😂😂😂q🤣🤣🤣Kwani safari za ndege hizo ni A kawaida na watalii wanakaa hotel Zanzibar Asubuhi wanachukua ndege na kwenda kwenye Mbuga za wanyama.moja kwa moja na ipo kwa mbuga zote lakini kwa ujinga wako ndiyo unqtaka kuanzisha taharuki kuwapata wajinga wenzio.. Ukienda uwanja wa ndege wa Nungwi hizo ndiyo trip zake kila siku na chache huindika airport ya Abeid Karume.
Tusiwe na mashaka! Tuwe na Imani na viongozi wetu. Labda, kulikuwa na tatizo la kiufundi n.k. Na maadam imetoka Selous, huenda ilikuwa katika shughuli za kitalii au shughuli zinginezo njema na halali.Pale selous hazitui zaidi ya chata za watu wasiozidi kumi
Ni Bwenyenye mmoja mashuhuri hakutaka kusumbuliwa na Waswahili alikuja kwa kupumzika. Msisumbue ndege za matajiri mtakosa watalii fuatilieni tu ya Hangaya kwani mnamlipia mafuta na ukarabati wengine haiwahusu msiwe malimbukeniNdege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!
*********** **************
Update
Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836
Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
Wacha uongo wewe kuna Nyumbu kama weweSelous ni viunga vya home Land.
Kuna madini kuliko sehemu yoyote Tanganyika.
Nchi iko mikononi mwa majangili na mafisadi papa wasiogusika, kweli Samia ni hatari kwa ustawi wa Tanganyika yetu, Zanzibar ndio Chato ya sasaNdege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!
*********** **************
Update
Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836
Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
Hata ukipeleka Wabongo wana DNA za Kushamba , unafiki, wizi, wivu, ujinga na upumbavu sugu usioondoka hata uwapeleke duniani kote. Nje ya nchi wanaonekana walivo limbukeni wakirudi Bongo wanavaa makoti yao ya ujinga na upumbavu na kuanza kuitwa waheshimiwaNdugu yangu ushamba mzigo. Tupeleke watoto wetu nje wapate exposure. Jf imekuwa kituko nowdays
Itakuwa ni dhahabu wanaipeleka DubaiAu wanatorosha dhahabu nini?
ch na yule Mwendazake mshenzi yeye mbona alificha hela china,.Kama ungejua Uranium ni nini usingeandika ulichoandika mjinga weweTanganyika si ni shamba la bibi au kichwa cha mwendawazi? Watakuwa wamebeba chochote wakitakacho. Labda Uranium
Bila kuwa Mtanganyika au Mzanzibar hauwezi kuwa Mtanzania.we ndio mtanganyika, nchi ya kufikirika, sisi ni watanzania,
Ninachoshukhuru sasa hivi kila mtu amekuwa au awe mlinzi wa mali zetu za asili,kama wewe ni mtanganyika sababu kipindi hiki tutaona mengi sana.Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!
*********** **************
Update
Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836
Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
Ccm wana hasira sana
Mchunga ng'ombe huyuHao ni washamba wa hovyo, eti haionekani kwenye radar, ye ana radar? Mbona kila siku asubuhi pale Manyara airport ndege zinashusha abiria na kupakia wengine, hizo ni shuttle za kawaida na pale ni zaidi ya hata ndege 20 kwa siku, huyu mshamba sijui ni wapi. Wenzio wanaoishi maeneo ya kitalii wameshazoea hayo mambo. Wanajifanya wanajua kuifuatilia hii serikali, wapumbavu kabisa. Hawamwezi Rais wetu minyau hiyo.