Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

Alinyanyaswa kijinsia!

.jiulize mwanamke akibakwa mpaka amuone mwanasaikolojia ndio anapona!

Kila siku mimi huwa namwambia tindo akamuone mwanasaikolojia hataki, matokeo yake ndio haya kila kona anamtaja mtesi wake kwa hasira.
 

Nchi imeoza hii, hadi vyura wanalamba asali
 
Umaliza kila kitu ktk hii comment. Sukuma gang wamekuwa ni watu wa kusubiria hitilafu na matatizo madogo madogo ili wamuinue legacy wao
Unateseka ukiwa vichani ukiogopa sabaya kukubaka tena?
 
Hamna kitu kama icho mkuu samia atapeta kama kawa
 
Umekula hashua za mbuzi!!!?..mbona una utoko mwingi kichwani!?.. Corona ilikua na sifa ya kuua wenye magonjwa ya moyo,kisukari,ukimwi, saratani,wangapi kwenye circle ya magu walikufa kwa Corona!?..maalim seif kilimuua nini,mahiga!?..kwa taarifa yako uchaguzi huwa ni maonesho tu ili kuondoa lawama kimataifa tusikose mikopo na kuondoa fikra za uasi ndani ya nchi Kama kule Libya
 
Nchi ina laana hyo.. hadi watajane walioitenda ile dhambi. Bila hvyo tegemeeni njaaa na karaha sizizoisha
 

..kwanini haikutua CHATO International Airport?

..halafu watalii wakatembezwa ktk mbuga ya Burigi-Chato.
 
NAJARIBU KUSAIDIA KUSIKITIKA HIVI HAWA JAMAA AMBAO MAMA ANAWABEBA KILA UCHWAO NI WA AINA GANI NA MALENGO YAO NI YAPI?, MARA LUPASO, KILA SIKU MTAANI SHIDA TUPU, HAWA WANATUMIA NDUMBA ZA KUZUBAISHA, SI BURE!
 
Jana tulishindwa kutua KIA kwa tatizo hilihili ikabidi tukatue Nairobi.

Tumekaa pale zaidi ya saa nne ndio tukarudishwa tena baada ya kurekebisha.

Ilikuwa Precision Air. Leo imeroga tena!!? 😳
 
Kawaida sana.. Ilinikuta 2020 KLM flight tuliambiwa tungoje warekebishe.. we were on hold huko juu 20mins plus’Shida ni nini viwanja vyetu watalii wengi lakini uwanja wa KIA ni aibu…
Haya haya bald head kuya na maelezo yaliyonyooooka…
 
Wezi ni wale wale wizi ni ule ule na wezi wale wanahamishwa huku na kule tumefumba macho… eniwei
 
Duh na report ya kai taba iliishia wapi?
 
Jana tulishindwa kutua KIA kwa tatizo hilihili ikabidi tukatue Nairobi.

Tumekaa pale zaidi ya saa nne ndio tukarudishwa tena baada ya kurekebisha.

Ilikuwa Precision Air. Leo imeroga tena!!? [emoji15]
Kuondokewa na Magufuli ilikuwa hasara ya karne kwa Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…