Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

Hakuna kitu kinoudhi kama kukuta sehemu unokwenda ipo "below standards".

Sasa KIA pana wizi wa mizigo ya wasafiri na kisha kuna kukatika umeme mara kwa mara.

Na safari hii ni kwa sababu ndege ya KLM imekwenda Uganda ndio imebidihabari hii iwe public.

Sifahamu taratibu za malipo ya fidia kwa ndege ambazo zina "landing rights" kwenye viwanja vya kigeni, zinakuwaje.
Mama amehangaika na royal tour, mamlaka zilizo chini yake zinamkwamisha. 150 ni idadi kubwa.
 
Si wangekuja Dar au Mwanza, entebe wameenda kufanya nn? Fitna tuu mama aonekane haupigi mwingi. Hii ni kazi ya timu mwendazake hii. Alisikika kada mmoja
Mkuu... KLM kwa Tanzania wana operate KIA.. Zanzibar na Dar
Kuna route Amst - KIA - Zenj . Pia kuna Amst - KIA - Dar na wanayo Amst -KIA - Ent..
Ndege ya leo ilikuwa ni njia ya Entebbe kupitia KIA
 
Ujinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Asante kwa kuweka records vyema?
 
View attachment 2578766

Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.

Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.

Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo!!! Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa....wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja.
Mzee Mwanakijiji mimi ni Mwanafunzi wako kupitia makala zako fikirishi za kisiasa na kijamii.Lakini siku hizi sioni makala zako humu Mzee,nimejifunza sana Ujenzi wa hoja na mpangilio wako wa uandishi.
 
View attachment 2578766

Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.

Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.

Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo. Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa, wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja.
Kwa nini hawakwenda Dar au Nairobi??
 
Tindo nadhani wewe kama siyo una tatizo binafsi basi una chuki binafsi. Enzi za Dkt Magufuli huu ujinga usingetokea kwanza bwawa la Mwl Nyerere lingekuwa limeshakamilika. Sasa wana ongeza invoice kwa kuchelewesha mradi ili hela ya kuila iongezeke na 10%. Usidhani watanzania ni wajinga, wana take a note na kuweka moyoni wakisubiri hukumu 2025, na utaona jinsi ambavyo Rais Samia atahaha na kuhangaika na asipokaa makini atashindwa.
Wewe acha kujifariji nyie Watanzania ni wajinga,tena sio wajinga tu bali tu bali matahira.

Mfumo wa kiutawala wa hii Nchi hata wakiaamu Kingwendu ndio agombee urais kwa bandera ya CCM anashinda.
 
Ni Tanzania pekee ambapo utakuta jambo la maana limejaa vituko vya kijinga kulikoni kuonyesha kukerwa na upuuzi wa viongozi wao!

Ukweli unaotukanwa na usiopendwa na wapumbavu ni huu! JPM ameonyesha namna inavyotakiwa nchi hii kuongozwa, na upumbavu wa hao wezi na wazembe wa nchi hii ulielekea kukoma!
 
kuhisiwa anahakikisha kila alichoanzisha Dkt Magufuli kinakufa (umeme wa REA, etc). Hivyi vitu viwili na vingine ni kikwazo kikubwa sana kwa Dkt Samia
Hivi nyie sukuma gang mbona mngekuwa na akili visoda hivyo? Mkiwa tumboni mlikuwa mnalishwa, how comes mtu anayejua kuandika hapa JF akawa na akili fivyu hivi? REA ilianzishwa 2005 na kuanza utekelezaji wake 2007, unapata wapi akili za kusema REA ilianzishwa na Magufuli??

Hizo hearsay hakuna mwenye habari nazo. Kila mmoja anajua Ulinzi wa JPM ulivyokuwa kiasi hakuna mtu atakayekuelewa kusema eti JPM ameuliwa. Tembea vijijini uone, hakuna mtu anayesikitikia hayo unayosema. Kilio kikubwa kwa wananchi ni mvua kutonyesha kwa plan iliyozoeleka. Sasa sjui Samia ana nguvu gani kuilazimisha mvua kunyesha kwa matakwa yetu.
 
Ni Tanzania pekee ambapo utakuta jambo la maana limejaa vituko vya kijinga kulikoni kuonyesha kukerwa na upuuzi wa viongozi wao!

Ukweli unaotukanwa na usiopendwa na wapumbavu ni huu! JPM ameonyesha namna inavyotakiwa nchi hii kuongozwa, na upumbavu wa hao wezi na wazembe wa nchi hii ulielekea kukoma!
Magufuli mwenyewe alikuwa mwizi,sasa uliona wapi mwizi amkalipie mwizi mwenzake.

Rais pekee ambaye alikemea wizi na yeye hakuwa mwizi ni Nyerere pekee,hao wengine wote sijui Mkapa,Kikwete,Magufulu,Mwinyi wote majizi matupu.
 
Back
Top Bottom