Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tindo nadhani wewe kama siyo una tatizo binafsi basi una chuki binafsi. Enzi za Dkt Magufuli huu ujinga usingetokea kwanza bwawa la Mwl Nyerere lingekuwa limeshakamilika. Sasa wana ongeza invoice kwa kuchelewesha mradi ili hela ya kuila iongezeke na 10%. Usidhani watanzania ni wajinga, wana take a note na kuweka moyoni wakisubiri hukumu 2025, na utaona jinsi ambavyo Rais Samia atahaha na kuhangaika na asipokaa makini atashindwa.Ujinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Mkuu una chuki sana na Mzee Magu sijui kwanini?Ujinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
----aonekane haupigi mwingi😂😂😂😂Si wangekuja dar au mwanza, entebe wameenda kufanya nn? Fitna tuu mama aonekane haupigi mwingi. Hii ni kazi ya timu mwendazake hii. Alisikika kada mmoja
Rais gani atahaha kwenye uchaguzi? Kwa taarifa yako Tanzania hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Rais anaamua nani atangazwe mshindi, na yeye anaamua atangazwe mshindi kwa kura ngapi. Dhalimu alidhibitisha hili.Tindo nadhani wewe kama siyo una tatizo binafsi basi una chuki binafsi. Enzi za Dkt Magufuli huu ujinga usingetokea kwanza bwawa la Mwl Nyerere lingekuwa limeshakamilika. Sasa wana ongeza invoice kwa kuchelewesha mradi ili hela ya kulia iongezeke na 10%. Usidhani watanzania ni wajinga, wana take a note na kuweka moyoni wakisubiri hukumu 2025, na utaona jinsi ambavyo Rais Samia atahaha na kuhangaika na asipokaa makini atashindwa.
Mkuu una chuki sana na Mzee Magu sijui kwanini?
KIA bora ingekuwa kwa Watu Makini ARUjinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Vyeti FekiMkuu una chuki sana na Mzee Magu sijui kwanini?
Bwashee unaua...Vyeti Feki
Jamaa ni muuguzi!