Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
dah,dharura hutokea tusiwe watu wa kosa moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CAG kasema pia uwanja wa Benjamin Mkapa hauna mifumo sahihi na salama ya Taa.View attachment 2578766
Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.
Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.
Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo!!! Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa....wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja...
Jitu gani Kwa mfanojitu linaiba na tunalijua na bado tunaliacha linazurura na kuendelea kula kodi za raia.
hawa watu hawana huruma na hatupaswi pia kuwa na huruma nao na kuwaza kitu kinaitwa demokrasia na haki za binadamu BALI ADHABU YAO NI KUWAUA TU NA KUPOTEZA MIILI YAO HUKU TUKIFILISI FAMILIA ZAO.
Gerson Msigwa alisema “baada ya kufanyiwa Marekebisho, kuanzia jana Usiku saa tano na nusu hadi sasa Uwanja unafanya kazi kama kawaida.”dah,darura hutokea tusiwe wa kosa moja
Suali ni kwanini uwanja wa ndege wa kimataifa uwe na tatizo la kukatika umeme mara kwa mara?Gerson Msigwa alisema “baada ya kufanyiwa Marekebisho, kuanzia jana Usiku saa tano na nusu hadi sasa Uwanja unafanya kazi kama kawaida.”
Yaan unasema wamemtaja Marehemu gani vile😁😁😁 Mzee Heshima Yako ilishapotea Kwa upuuz kama huu! Watalii wamtaje Marehemu ...! Afu hao Watalii Wazee,wajawaziti na watoto umewatoa wapi!View attachment 2578766
Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.
Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.
Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo!!! Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa....wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja...
mchakato unaweza kuanza shida Tz hadi muone watu na hekaheka ndio mnaamini marekebisho yameanza heshimuni taalumaGerson Msigwa alisema “baada ya kufanyiwa Marekebisho, kuanzia jana Usiku saa tano na nusu hadi sasa Uwanja unafanya kazi kama kawaida.”
Kiboko yako Sabaya yuko kitaa!Ujinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Sasa Sukama gang linaingiaje hapo?? MBONA UNATOA POVU JINGIUjinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Ni kweli, itabidi hata ni signout hapa jf ili kiboko yangu asiniteke.Kiboko yako Sabaya yuko kitaa!
Sasa mkuu hilo swali ni nani anaulizwa?Suali ni kwanini uwanja wa ndege wa kimataifa uwe na tatizo la kukatika umeme mara kwa mara?
Uwanja wa ndege wa KIA.
Yaani hii ni aibu sana aisee.
Ingeundwa death squad tu nami niwe member kazi yetu kuwaua kikatili wanaopiga za umma. CAG anakabidhi ripoti tunawavamia na kuwateka, zinaokotwa maiti. Wangeacha hawa mbwa.Ujinga ujinga ujinga kila kukicha.
Tunaleta diplomasia kwa wapumbavu?..
Wewe akili zako ni sawa na kum ya mama yako tu!! HujitambuiRais gani atahaha kwenye uchaguzi? Kwa taarifa yako Tanzania hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Rais anaamua nani atangazwe mshindi, na yeye anaamua atangazwe mshindi kwa kura ngapi. Dhalimu alidhibitisha hili.
Bwawa gani lingekuwa limeshakamilika, kama alisema reli ya SGR kipande cha Dar-Moro kingekuwa kimekamilika hadi Dec 2019, lakini hadi anaelekea jehenamu ilikuwa ni story. Hakuna mtu alikuwa muongo kama dhalimu. Yule alisema chini ya utawala wake amejenga viwanda 4,000+, wakati ulikuwa ni uongo wa wazi. Je umesahau ule uongo wa 50m kila kijiji?
Utameza sumu safari hii mfuasi wa dhalimu,😂😂Wewe akili zako ni sawa na kum ya mama yako tu!! Hujitambui