Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

Ni marufuku kwa uwanja wa ndege kukosa umeme yatakiwa kuwa na kitu chaitwa "resillience".

Umeme ukikatwa mara kwa mara kwanza waharibu operations za uwanjani kuanzia nje hdai ndani kwenye kuscan.

Yaani umeme ukirudi shughuli kama za scanning yabidi kurudiwa.

Viwanja vyetu vya kimataifa vyahitaji umeme ulo imara usokatika mara kwa mara.
ni kweli vifaa vipo ila tatizo halibishi hodi mkuu
 
Si ndio unatakiwa uje sasa. Kwa jinsi ulivyopanick naona unatamani jf isiwepo. Vumilia tu mfuasi wa dhalimu maana hapa tunaweka rekodi sawa.
Nipanic kwa sababu ya shoga kama wewe. Just a shithole like you!!?
 
ni kweli vifaa vipo ila tatizo halibishi hodi mkuu
Tatizo ni Tanzania.

Ila hili tatizo la KIA hutokea mara kwa mara.

Je halijatafutiwa ufumbuzi?

Kwasababu tatizo la mvua lipo duniani kote na ni hali kama upepo mkali ndo huweza kusababisha ndege zitue kwa uangalifu wa hali ya juu.

Miundombinu ya taa za kuongozea ndege kweli?
 
Mchakato gani wewe unaouongelea? Umesoma ukaelewa nilichopost?

Don’t act like a robot. Read and understand before you reply.
usifikiri kiwanja cha ndege ni jaruba la mpunga,watalamu wako pale na ukaguzi unafanyika mara kwa mara na viwango vinazingatiwa sanjari
 
Si wangekuja Dar au Mwanza, entebe wameenda kufanya nn? Fitna tuu mama aonekane haupigi mwingi. Hii ni kazi ya timu mwendazake hii. Alisikika kada mmoja
Wabeligiji wa Uholanzi wale....ndio mtajua hamjui....na ndio maana mnaelekeza mashambulizi yenu kwa Hayati badala ya wale wanaotushitaki huko na kutususababishia dhihaka hizi
 
Kabla ya Kujifanya Royal na kwenda kufanya Tour labda kwanza tungehakikisha hata hao watalii wakija wanafikia wapi.....

Sijui na hizi Sifa tutampa nani ?
 
Unavyomwaga matusi ni dalili kuwa umepanick kinoma. Na mangiri wa sampuli yako huwa nawamudu vibaya. Nasema hivi, utatulia tu mfuasi wa dhalimu safari hii.
Kweli nitatulia na mama yako nitakapokuwa na mshughulikia usiku huu.
 
Back
Top Bottom