Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

U
Ujinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Situdanganye kama una ushaidi atuli maneno ss
 
Ndio maana napinga sana ujenzi wa maviwanja makubwa sababu maintenance yake huwa ni kubwa kuliko mapato
Mkuu kwa heshima na taadhima niruhusu niseme, hiyo si sababu.

Tanzania ina viwanja vya ndege na viwanja hivyo vyapaswa kuendeshwa na watanzania wenye akili ya kujituma kwa kila hali ili nchi iendelee.
 
Ripoti hii ya CAG inatizamwa kwa kurunzi na inatengenezewa ushahidi endelevu....kinachokuja kufuatilia ni kurudisha taasisi za kiserikali kwenye "private sector" manake huko ndiko kunawatoa mate mabeberu wanaotaka kuja kuiangamiza Nchi hii. SSh amedanganywa kuhusu Tume ya Uajiri sasa wanaingizwa hawa mabeberu kuja kupika yale yanayoonekana kama mapungufu katika Taasisi za kiserikali ili zije kuuzwa-au kwa lugha nyepesi, zisalimishwe kwa wawekezaji wa kibeberu. Naacha akiba ya maneno.
 
S
jitu linaiba na tunalijua na bado tunaliacha linazurura na kuendelea kula kodi za raia.

hawa watu hawana huruma na hatupaswi pia kuwa na huruma nao na kuwaza kitu kinaitwa demokrasia na haki za binadamu BALI ADHABU YAO NI KUWAUA TU NA KUPOTEZA MIILI YAO HUKU TUKIFILISI FAMILIA ZAO.
Stupid imetosha
 
U

Situdanganye kama una ushaidi atuli maneno ss
Taarifa zilizopo ni kwamba pale KIA pana kamchezo fulani huwa kanachezwa na nafikiri kale kamchezo kamerudi.

Kale kamchezo ka wale ndege wadogo wa kinega kuruka kutokea viota vya pembeni.

Hawa wakiruka huchukua kila kitu kutoka kwenye vile viota vyao.

Nadhani utanielewa.
 
View attachment 2578766

Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.

Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.

Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo!!! Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa....wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja...
Umeleta hoja muhimu sana ila umeharibu mwishoni
Nchi hawezi kuongozwa kwa kumtegemea mtu mmoja
 
Ujinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Unataka kusemaje ww chawa ..hebu rudiana tena utagundua kuwa haujameza dawa zako aina risperidone
 
View attachment 2578766

Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.

Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.

Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo!!! Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa....wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja...
Mkuu umeongea na nzi wako hata mmoja akupe habari zaidi?
 
Tindo nadhani wewe kama siyo una tatizo binafsi basi una chuki binafsi. Enzi za Dkt Magufuli huu ujinga usingetokea kwanza bwawa la Mwl Nyerere lingekuwa limeshakamilika. Sasa wana ongeza invoice kwa kuchelewesha mradi ili hela ya kuila iongezeke na 10%. Usidhani watanzania ni wajinga, wana take a note na kuweka moyoni wakisubiri hukumu 2025, na utaona jinsi ambavyo Rais Samia atahaha na kuhangaika na asipokaa makini atashindwa.
Tindo ana msongo wa mawazo
 
View attachment 2578766

Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.

Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.

Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo!!! Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa....wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja...
Mtanikumbuka sana

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Acha kuteseka kijana unakonda ukiwa wapi?

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 2578766

Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.

Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.

Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo!!! Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa....wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja...
Mtanikumbuka by JPM

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu una chuki sana na Mzee Magu sijui kwanini?
Inawezekana Kuna kitu kikubwa sana na Cha ajabu sana ambacho huyu jamaa alifanyiwa na the late JPM. Comments zake karibu zote lazima aingize jina la JPM hata kama hapastahiki. Hilo la wizi wa kura sidhani kama ndo sababu, inawezekana Kuna unyanyasaji mkubwa tusioujuwa alifanyiwa na JPM. Haiwezi kuwa Bure.
 
Tindo nadhani wewe kama siyo una tatizo binafsi basi una chuki binafsi. Enzi za Dkt Magufuli huu ujinga usingetokea kwanza bwawa la Mwl Nyerere lingekuwa limeshakamilika. Sasa wana ongeza invoice kwa kuchelewesha mradi ili hela ya kuila iongezeke na 10%. Usidhani watanzania ni wajinga, wana take a note na kuweka moyoni wakisubiri hukumu 2025, na utaona jinsi ambavyo Rais Samia atahaha na kuhangaika na asipokaa makini atashindwa.
Huyu ana mimba ya Magufuli soon atazaa mapacha

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Kuwaondolea wewe na nani?
 
Hili la KLM ni leo, issue ilianza jana…

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, amethibitisha Taa za njia ya ndege zilizima kuanzia saa moja Usiku hadi saa tano Usiku kutokana na Mvua nyingi zinazoendelea kunyesha na kuathiri miundombinu.

Ndege iliyokuwa itue muda huo, ililazimika kwenda kutua Entebbe Nchini Uganda.

Hakuna abiria hata mmoja aliyetelekezwa na na Wote watarudi Tanzania.

Ameongeza Uwanja wa KIA baada ya kufanyiwa Marekebisho, kuanzia jana Usiku saa tano na nusu hadi sasa Uwanja unafanya kazi.

Nipo kilomanjaro hizo mvua nyingi zipo wapi mbona masisiem mnapenda sana uongo
 
Back
Top Bottom