Dhalimu mama yakoNasema hivi, mfuasi wa udhalimu nishakutoa nje ya mchezo, hapa umebaki kumwaga matusi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhalimu mama yakoNasema hivi, mfuasi wa udhalimu nishakutoa nje ya mchezo, hapa umebaki kumwaga matusi tu.
Situdanganye kama una ushaidi atuli maneno ssUjinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Mkuu kwa heshima na taadhima niruhusu niseme, hiyo si sababu.Ndio maana napinga sana ujenzi wa maviwanja makubwa sababu maintenance yake huwa ni kubwa kuliko mapato
Kiboko yako Sabaya yuko kitaa!
Stupid imetoshajitu linaiba na tunalijua na bado tunaliacha linazurura na kuendelea kula kodi za raia.
hawa watu hawana huruma na hatupaswi pia kuwa na huruma nao na kuwaza kitu kinaitwa demokrasia na haki za binadamu BALI ADHABU YAO NI KUWAUA TU NA KUPOTEZA MIILI YAO HUKU TUKIFILISI FAMILIA ZAO.
Taarifa zilizopo ni kwamba pale KIA pana kamchezo fulani huwa kanachezwa na nafikiri kale kamchezo kamerudi.U
Situdanganye kama una ushaidi atuli maneno ss
Umeleta hoja muhimu sana ila umeharibu mwishoniView attachment 2578766
Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.
Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.
Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo!!! Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa....wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja...
Unataka kusemaje ww chawa ..hebu rudiana tena utagundua kuwa haujameza dawa zako aina risperidoneUjinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Kwa nini tusiseme saa 100 ndo mzimbe halafu mawaziri ndo wanamfuata kwa uzembeAnaupiga mwingi.Yaani watu wamerudi kwenye uzembe ule ule.
Mkuu umeongea na nzi wako hata mmoja akupe habari zaidi?View attachment 2578766
Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.
Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.
Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo!!! Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa....wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja...
Tindo ana msongo wa mawazoTindo nadhani wewe kama siyo una tatizo binafsi basi una chuki binafsi. Enzi za Dkt Magufuli huu ujinga usingetokea kwanza bwawa la Mwl Nyerere lingekuwa limeshakamilika. Sasa wana ongeza invoice kwa kuchelewesha mradi ili hela ya kuila iongezeke na 10%. Usidhani watanzania ni wajinga, wana take a note na kuweka moyoni wakisubiri hukumu 2025, na utaona jinsi ambavyo Rais Samia atahaha na kuhangaika na asipokaa makini atashindwa.
Mtanikumbuka sanaView attachment 2578766
Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.
Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.
Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo!!! Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa....wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja...
Acha kuteseka kijana unakonda ukiwa wapi?Ujinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Mtanikumbuka by JPMView attachment 2578766
Ndege ya KLM kutoka Amsterdam imeshindwa kutua uwanja wa ndege wa KIA masaa machache yaliyopita na kusababisha watalii na watu wengine karibu 150 kushindwa kuingia nchini.
Ndege hiyo ililazimika kwenda kutua Entebbe ambako taa zilikuwa zinaangaza kwa manjonjo yote. Pamoja na watu wazima wengi ndege hiyo imebeba wamama wajawazito, watoto na wazee ambao sasa wanahangaika kutafuta usafiri wa haraka.
Haieleweki tatizo ni taa au umeme au upepo!!! Kuna watu wengine wamesikika wakilitaja Jina la yule Marehemu Mpendwa....wakionesha kusikitishwa na Tanzania kuzidiwa na umeme wa Jinja...
Inawezekana Kuna kitu kikubwa sana na Cha ajabu sana ambacho huyu jamaa alifanyiwa na the late JPM. Comments zake karibu zote lazima aingize jina la JPM hata kama hapastahiki. Hilo la wizi wa kura sidhani kama ndo sababu, inawezekana Kuna unyanyasaji mkubwa tusioujuwa alifanyiwa na JPM. Haiwezi kuwa Bure.Mkuu una chuki sana na Mzee Magu sijui kwanini?
Huyu ana mimba ya Magufuli soon atazaa mapachaTindo nadhani wewe kama siyo una tatizo binafsi basi una chuki binafsi. Enzi za Dkt Magufuli huu ujinga usingetokea kwanza bwawa la Mwl Nyerere lingekuwa limeshakamilika. Sasa wana ongeza invoice kwa kuchelewesha mradi ili hela ya kuila iongezeke na 10%. Usidhani watanzania ni wajinga, wana take a note na kuweka moyoni wakisubiri hukumu 2025, na utaona jinsi ambavyo Rais Samia atahaha na kuhangaika na asipokaa makini atashindwa.
Kuwaondolea wewe na nani?Ujinga mtupu, tatizo la kukatika kwa umeme lilianza miezi michache kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2020. Tuna kumbukumbu ya kutosha kuhusu tatizo hilo. Hao waliomtaja labda ni sukuma gang. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Nipo kilomanjaro hizo mvua nyingi zipo wapi mbona masisiem mnapenda sana uongoHili la KLM ni leo, issue ilianza jana…
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, amethibitisha Taa za njia ya ndege zilizima kuanzia saa moja Usiku hadi saa tano Usiku kutokana na Mvua nyingi zinazoendelea kunyesha na kuathiri miundombinu.
Ndege iliyokuwa itue muda huo, ililazimika kwenda kutua Entebbe Nchini Uganda.
Hakuna abiria hata mmoja aliyetelekezwa na na Wote watarudi Tanzania.
Ameongeza Uwanja wa KIA baada ya kufanyiwa Marekebisho, kuanzia jana Usiku saa tano na nusu hadi sasa Uwanja unafanya kazi.
Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe
Wanabodi, hii imetokea jioni hii, mpaka sasa ndege zimeshindwa kutua KIA, chanzo kikiwa kutokufanya kazi kwa taa za runway. Precison iliyotoka Dar jioni hii imekua re routed to Nairobi as we speak, wameambiwa matengenezo might take up to 5 hours. Wahusika changamkeni kurekebisha tatizo...www.jamiiforums.com